Upande wa Jamhuri katika kesi ya Uhujumu uchumi umesema unakusudia kutumia mashahidi 24 katika kesi hiyo akiwemo mfanyakazi wa Mtandao wa Airtel na Tigo.Pia utatumia vielelezo vya nyaraka 19 na vielelezo halisia.
View attachment 1932260
Ujumbe wako hasa ni upi hasa,funguka ueleweke.Upande wa Jamhuri katika kesi ya Uhujumu uchumi umesema unakusudia kutumia mashahidi 24 katika kesi hiyo akiwemo mfanyakazi wa Mtandao wa Airtel na Tigo.Pia utatumia vielelezo vya nyaraka 19 na vielelezo halisia.
View attachment 1932260
Mbowe hata akifungwa miaka 100Upande wa Jamhuri katika kesi ya Uhujumu uchumi umesema unakusudia kutumia mashahidi 24 katika kesi hiyo akiwemo mfanyakazi wa Mtandao wa Airtel na Tigo.Pia utatumia vielelezo vya nyaraka 19 na vielelezo halisia.
View attachment 1932260
Unajichanganya, mara hata akifungwa, mara atalipa bil 100, mara hatofungwa! Lipi ni lipi?Mbowe hata akifungwa miaka 100
Sioni chochote utakachofaidika nacho
Maana huyo Mbowe ameshafanya kila kitu hapa duniani
Ni tajiri
Yuko na mtaji wa watu hata akipigwa faini Bil 100 bado hatokaa jela.
Angalizo magufuli amekufa na hatorudi tena . na Mbowe hatofungwa .
Kama mlivyogoma kutoa na kutuma pesa kwa sababu ya tozo?Hapo kuna fabrication za uwongo
Nikweli ikibanika tigo na airtel wameshiriki kwa uovu huu
Lazima tuwagomee na kuchapa line zao zote.
Hilo halina mjadala wala ubishi
Mnajilisha upepo sana nyie MatagaUnajichanganya, mara hata akifungwa, mara atalipa bil 100, mara hatofungwa! Lipi ni lipi?
We garasha tu hapo juu umebeba mzigoKama mlivyogoma kutoa na kutuma pesa kwa sababu ya tozo?
Kama mnafanya haya mkijua mkititafutacho sawa,ila naa mini Airtel ni wabia na sirikali na tigo ni mtafutaji wa kujitafutia, hivyo majaribio ya kuharibu majina ya biashara kwa sababu za siasa sii sawa, nafikiri siasa zetu , zijiepushe na mazingira hayo kwa manufaa ya taifa na wazalendo halisi.Hapo kuna fabrication za uwongo
Nikweli ikibanika tigo na airtel wameshiriki kwa uovu huu
Lazima tuwagomee na kuchapa line zao zote.
Hilo halina mjadala wala ubishi
Hivi huyu MBOWE si anyongwe tu akajiunge na gaidi mwenzake Hamza, watuachie dunia yetu yenye salama?Upande wa Jamhuri katika kesi ya Uhujumu uchumi umesema unakusudia kutumia mashahidi 24 katika kesi hiyo akiwemo mfanyakazi wa Mtandao wa Airtel na Tigo.Pia utatumia vielelezo vya nyaraka 19 na vielelezo halisia.
View attachment 1932260
Endelea kukata viuno JF, kuna kitu kizito kinatua juu ya mtu soonWe garasha tu hapo juu umebeba mzigo
Muulize MagufuliEndelea kukata viuno JF, kuna kitu kizito kinatua juu ya mtu soon
Maviiii mliwahi kuendesha hii kampen ila mpaka sasa lain bado mnazoHapo kuna fabrication za uwongo
Nikweli ikibanika tigo na airtel wameshiriki kwa uovu huu
Lazima tuwagomee na kuchapa line zao zote.
Hilo halina mjadala wala ubishi
Acha kuwashwawashwa, wewe kama unataka kususa susaaa kimpango wakoUpande wa Jamhuri katika kesi ya Uhujumu uchumi umesema unakusudia kutumia mashahidi 24 katika kesi hiyo akiwemo mfanyakazi wa Mtandao wa Airtel na Tigo.Pia utatumia vielelezo vya nyaraka 19 na vielelezo halisia.
View attachment 1932260