😄😄🙈we joanah
UNA WANAWAKE WAWILI MMOJA SINGLE MOTHER NA MWINGINE HANA MTOTO, ILA SINGLE MOTHER KASHAKUZALIA NA MTOTO LAKINI ANA SIFA ZOTE ZA KUWA MWANAMKE, TAYARI WA PILI ANA SIFA ZA KUWA MWANAUME, KWANINI UNATAKA KUOA MWENYE SIFA ZA KIUME, OA HUYO HUYO UNAYEONA ANA SIFA ZA KUWA MWANAMKE, unasumbua tu watu wakati majibu Unayo.Nipo njia panda,single maza nmempenda sana na ana sifa zote za kuitwa mwanamke!!
Kikwazo ni ndugu wamenambia nioe kwingne ambae hana mtoto!!!!
NB.Single maza kashanzalia mtoto mmoja
wadau naomben msaada wenu wa kimawazo
kweli teknolojia haiongopi
Umebaki na akili asilimia ngapi kichwani mwako ?Nipo njia panda,single maza nmempenda sana na ana sifa zote za kuitwa mwanamke!!
Kikwazo ni ndugu wamenambia nioe kwingne ambae hana mtoto!!!!
NB.Single maza kashanzalia mtoto mmoja
wadau naomben msaada wenu wa kimawazo
Usishangae wengine huwa wanaoa usingizini kabla ya kupost au huwa wanasahau kuwa wameshapost!