tena

TENA is a Swedish-based brand of Essity that specializes in products for adults with urinary or fecal incontinence, such as pads and diapers. TENA also produces a youth diaper brand for teenagers and larger children. The company has offices in all of North America, most of Europe, in Australia and New Zealand, and some parts of Asia and Central America. TENA has specific lines for retail and health care. They can be found at grocery, drug and discount stores, in aisles where other bladder control products are sold.

View More On Wikipedia.org
  1. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Maisha hata hayanogi tena,jamiiforum hainogi tena imepoa tuliwaambia nchi inahitaji kiongozi wakuchilimua kama JPM.

    Enzi za awamu ya tano mambo yalikuwa mchakamchaka kila siku unapata sababu ya kuishi ila siku hizi kumepoa sana hakuna wa kuchangamsha maisha, hakuna ziara za kushtukiza wala kutumbua majipu ni kama tunajilazimisha kuishi tu siku ziende.Mpaka topic za kuanzisha thread mtu unakosa. Nikiingia...
  2. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Redcross wasema watu hawataandamana tena. Watadili na mtu wao wanavyojua

    Wanyonge msiumie nyoyo zenyu. Huyu mtu hatutamuacha aingie kuzimu kwa amani. Red Cross wasema lazima alipie. Yeye ajifiche awezavyo wala hiyo haimsaidii hehehee. Yule jamaa wa Baharini. Mzee wa supu ya ngisi anapasha kiporo walahi. Mwambieni kama kufa Kila mtu atakufa asiogope mayii. Siku...
  3. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Israel yaangalia uwezekano wa kuishambulia tena Iran!!!

    🚨 Israel yaionya Marekani: Majaribio ya Makombola ya Iran yanaweza kuficha shambulizi la Iran dhidi ya nchi yake. Maafisa wa Israel wameutahadharisha utawala wa Trump kwamba zoezi kubwa la kombora la IRGC huenda likawa kificho kwa shambulio la kushtukiza linaloweza kutokea dhidi ya Israel...
  4. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Hamna mtu atathubutu kuingia barabarani tena

    Kwa nilivyoona tarehe 29 mpaka tarehe 3 watu kuuawa na tuliaminishwa jeshi lipo na wananchi basi mkae mkijua hii nchi watu hawatoingia barabarani kuandamana tena Sasa hivi kila mtu anasema kama kuiba acha waibe tu kila mtu afe na chake. Ukijichanganya kujifanya mwanaharakati uchwara upo...
  5. G Sam

    JamiiForums Tanzania Hii kamata kamata kila mtaa inayofanywa na serikali iliyojiweka madarakani ya Samia nadhani wote mnaiona

    Hii kamata kamata kila mtaa inayofanywa na serikali iliyojiweka madarakani ya Samia nadhani wote mnaiona. Samia Alihadaa kuwa ameunda tume itakayoshughulikia haya mambo. Sasa imekuwa mwendo wa kuvamia watu na kuwachukua kwenda kuwahifadhi. Kwa kitendo hiki analeta upya chokochoko. Unaweza...
  6. heartbeats

    JamiiForums Tanzania Askari Posho posho za Oct 29 nafikiri zimeisha?

    Manchekesha sana mapot Mnadharaulikia. Mnalipwa ili mtupe watu mnalipwa ili muue watu ,muwabambikizie kesi n.k Adi sasa nafikiri posho zishaisha zile za oct 29 mmerudi apeche alolo mnakula dei waka za kuteka teka watu ovyo. Mpo salama maana watu wengi hawana access ya silaha ,kwa sisi...
  7. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dada yetu mwaka umekata sasa bila ndoa au Tukupe mitano Tena?

    Wewe ni mzuri ndio hatukatai. Una wowo ndio hatukatai. Unanyota kali kila mwanaume anakuulizia na kukuzimikia ndio hatukatai. Kwamba unaenda viwanja vikubwa na watu wazito wenye pesa zao Ndio hatukatai Unajua style zote kitandani na hata ile mpya ya Mafwele kateka tena ni Sawa hatukatai...
  8. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Usipoteze tena vitu vyako kama funguo,bag wallets

    USIPOTEZE TENA VITU VYAKO! 🔔 ANTI-LOST DEVICE FINDER ✔ Inatunza funguo zako, wallet, begi na vitu muhimu ✔ Inakuonyesha Last Location ✔ Ina Beeping Alarm – italia kukusaidia kupata kitu chako ✔ Rahisi kutumia, ndogo na imara 💰 Bei: Tsh 30,000/= (nafuu kabisa) 📍 Arusha Town 📞 0712 350 159
  9. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Mlio karibu na Peter Msigwa na Wenje wambieni wavae sare za CCM za mama mitano Tena wapite barabarani waone kitakachojiri zaidi ya kuwachumu

    Je, Wenje na Peter Msigwa wakivaa nguo za CCM na kuvaa kale kakofia kalikoandikwa mama mitano Tena, tutawachumu au tutawapa zawadi gani? Mimi nitawachumu kwa busu la kenge. "Nyokorikoooooo" wewe je utawafanyaje?
  10. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Wabongo wengi hawana mikazo, wameshaanza kuwashobokea tena wasanii licha ya kudhihakiwa

    Nimesikitika kuona wabongo wanajirudi tena kwa wasanii kama mazezeta. Idadi ya followers kwa wasanii inaanza kurudi kwa kasi kama hapo awali. Mfano huyu diamond nyodo anawaletea na bado kuna majinga yamejirudisha kum follow upya . Marioo juzi kabla hajatoa wimbo wake alitema shiti za...
  11. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Ukivuka miaka 30 umeshaishi nusu ya maisha yako, maisha unayopambania sio yako tena bali familia yako

    Kwa wale ambao walifanikiwa kuzaliwa katika familia nzuri wakakuta kila kitu kipo, kama walikuwa na akili nzuri ya maisha basi kabla ya miaka 30 wanakuwa wameshamaliza kujitafuta na kuweka msingi mzuri, hata kama sio kwa kiasi kikubwa lakini sehemu inayobaki ni ya kujazia tu. Kwa mfano: Kama...
  12. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Wale wahanga wa LLB na FIC ndio basi tena?

    Baada ya serekali kuwaokoa wasiendelee na vipigo vikali kwa kufungia hizo kampuni za LLB na FIC kisha kuwakamata waliokuwa wakiendesha hizi kampuni za kitapeli ndio basi tena? Ukimya ni mwingi. Nini kinaendelea?
  13. D

    JamiiForums Tanzania Ushaaamua kuwa wa moto Mama, acha tena kurudi kwenye baridi

    Hamna haja ya kuwa vuguvugu Mimi ni mtu wa bara lakini nakusapoti harakati zako. Toa Mwigulu WEKA MZANZIBAR Toa Padre IMMA WEKA MZENJI Hakikisha unaisuka timu yako ambayo itabadlisha Katiba isiwe na ukomo wa kugombea, kama unahitaji tena unagombea isiwe ukomo miaka 10, nguvu hiyo unayo maana...
  14. stakehigh

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wote wanaotaka kuandamana wamekuwa maadui wakubwa wa wananchi, hakuna mwananchi yuko tayari kukaa ndani tena

    Wananchi wengi wanakasirika sana kuambiwa kukaa ndan kwa sababu wanakosa kufanya biashara zao, ukwel ni kwamba itakapotokea mtu anataka kuandamana tena basi wananchi watadeal nae moja kwa moja kwa sababu hawataki kuwekwa ndan tena Hivyo wanaharakati angalieni siasa mnazofanya saaahv msije...
  15. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Hahaha! Kesho tena twendege hivihivi twataka hadi D13

    Mwatuona wajinga. Siye wajinga wenyu. Mmetupanda kichwani. Hehehe! Yalaa. Na bado. Tutaelewana walahi. Leo mwalala na Viatu. Biye biye biye. Hamjui hata nini kinakuja. Mayii. Kazi inafanyika. Mwaicheza baikoko. Hehee. Nye Nye. Wanaume leo tupo road. Twaenda hivi mpaka D13. Msiwape nafasi. Na bado
  16. Trainee

    JamiiForums Tanzania Narudia tena; ukifa kwenye kuandamana wewe ni motoni na ukiua wanaoandamana pia wewe ni motoni!!!

    Najua hiyo ni ngumu kumeza lakini hakuna namna isukumieni hivyo hivyo hata na maji Angalizo: Hiyo ni kwa sheria ya uislamu ukipinga lete ushahidi
  17. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hello JF! Siku 90 za kifungo kutoka TCRA zimeisha rasmi, Karibuni wote tuendelee kuenjoy zaidi na zaidi

    Rasmi leo Disemba 6 adhabu ya kufungiwa kwa jukwaa letu pendwa la JamiiForums imemalizika JF Ilipata ban tarehe 6 September 2025 kwa maelezo ya kukiuka Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta kuhusu maudhui mtandaoni Soma Pia: Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Ataua tena? If it were me nawaacha waandamane as long as ni peaceful maandamano

    As long as hawafanyi fujo, acha waandamane. AU NAWASIKILIZA MAHITAJI YAO , TUNAMALIZANA VEMA Ngoja tuone D9. Ataua tena? Time will tell!
  19. Fbn

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Narudia tena ni kweli tunaenda kupelekea kwenye UDINI sio kebehi ndio washafikia hapo

    Tarehe 5 december nilisema kuwa baada ya watu kumaliza kuswali misikiti yote na kwa nini walipunguza sauti kwenye mawaiza. Sikuwa na nia ya uchonganishi ila kuna mambo ambayo pandikizi tumeyaona kama matamko kudai kwa nini yule msaidi ni mkatoliki kutokuongea. Unajua kwa nini kawa kimya dot...
  20. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Bila VPN JF inashindwa kufunguka. Je, imefungiwa tena?

    Wakuu, Mchana nilikuwa naingia bila kutumia VPN lakini muda huu nashindwa kuingia. Shetani gani tena huyu? Binti wa zamani
Back
Top Bottom