tena

TENA is a Swedish-based brand of Essity that specializes in products for adults with urinary or fecal incontinence, such as pads and diapers. TENA also produces a youth diaper brand for teenagers and larger children. The company has offices in all of North America, most of Europe, in Australia and New Zealand, and some parts of Asia and Central America. TENA has specific lines for retail and health care. They can be found at grocery, drug and discount stores, in aisles where other bladder control products are sold.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    Iran yatangaza kufungwa kwa anga hadi itakapotangazwa tena

    Iran yatangaza kufungwa kwa anga hadi itakapotangazwa tena Na AFP na Wafanyakazi wa ToI Leo, 11:41 asubuhi Mamlaka ya usafiri wa anga ya Iran imetangaza kwamba anga ya nchi hiyo imefungwa "hadi ilani zaidi," vyombo vya habari vya serikali vimeripoti, huku Israel na Iran zikiendelea kufyatua...
  2. Komeo Lachuma

    Israel yasema bado Itatuma tena mabinti wakatalii Iran na kusalimia. Imepata ilichotaka...

    Baada ya mabinti kutumwa kwenda kutia vidole vifinyio vya Irani. Wanasema wanataka waende tena kabla hawajawaachia wanaume kwenda malizia, kufika kileleni. Israel imefanikiwa kabisa katika kushambulia Iran — hususan katika operesheni ya Rising Lion ya tarehe 13 Juni 2025 — lakini mafanikio...
  3. U

    Israel yaanza kuitandika Iran tena muda huu

    Wadau hamjamboni nyote. Mlipuko mkubwa ulisikika muda mfupi uliopita karibu na kambi ya kijeshi ya kijeshi katika mkoa wa Hamedan magharibi mwa Iran, vyombo vya habari vya serikali vimeripoti, kufuatia shambulio kubwa la Israel dhidi ya nchi hiyo. "Saa chache zilizopita, mlipuko mkubwa...
  4. MK254

    Trump asema waliokua wanashupaza shingo wameuawa, Israel inaandaa kushambulia tena

    Napata raha hadi naumwa, Trump alionya Iran kwamba watapigwa wakashupaza shingo, makamanda waliokua na misimamo mikali leo wamewahishwa kwa mabikira, Israel imesema bado haijakamilisha mapigo na hakuna kenge wa kuizuia, itapiga mpaka ifikie malengo yake, anga ya Iran peupe hamna ulinzi wowote...
  5. MK254

    Iran kwa unyonge wasema hata wakipigwa bado watajenga tena

    Imekua dhahiri muda wowote Israel watatembeza kibano kule Iran, na hawa Iran waliokua wanajipiga kifua wameanza kuwa wanyonge, rais wao anasema wataamka tena haitakua mwisho wao. Nasemaje nasemaje nasemaje Israel piga hayo magaidi ya dini. Wayahudi wana historia ya kushinda vita hata kabla hiyo...
  6. BLACK MOVEMENT

    Dar ilipaswa kuwa jiji linalotoa Wabunge vichwa sana ila hali ni tofauti na Majiji mengine ilimwenguni

    Majiji makuu mengi hasa Africa huwa yana Wabunge moto sana na hii ni kwa sababu huwa ndio kitovu cha upinzani na pia ndio kumejaa Wasomi na watu waelewa wenye information zote. Ila sasa njoo Dar ambako Jiji lina Wabunge Vilaza sana kuzidi hata huko mikoani, mtu kama Talimba eti ni Mbunge...
  7. Tlaatlaah

    PreGE2025 Ushindi wa kishindo kwa Rais Samia katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 utachochewa na mgombea mwenza kuwa Dr. Nchimbi

    My friends ladies, and gentlemen.. Ni wazi, utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM kwa zaidi ya 95% chini ya serikali sikivu ya CCM inayo ongozwa na rais kipenzi cha waTanzania wote Dr.Samia Suluhu Hassan kutamfanya achaguliwe tena kwa kishindo, kumalizia ngwe yake ya pili muhimu sana ya...
  8. A

    DOKEZO Trafick Police wa Dodoma ‘wanatusuuza’ sana tena live kwenye magari

    Wanatufanya hamna yani hujampa hela ya kiwi (2000) anakuweka mkeka bila kujali kama unalisha familia kwa kuwa barabarani #dereva wa daladala
  9. ChoiceVariable

    PreGE2025 Mzee Wasira: Mitano Tena" ni kwa Samia, wengine watasubiria mchujo

    My Take Safi sana Wasira unajua sana kuwakera 😂😂👇👇 Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, leo Juni 11, akizungumza na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Wilaya ya Nyasa, mkoani Ruvuma, ametumia jukwaa hilo kuwakumbusha wanachama wa CCM nchini kuwa kwa sasa mgombea...
  10. username1

    Yule aliyekataliwa Januari kurudi tena kivingine

    Iko hivi yule kaka mchuuzi wa kisiasa ndiye yupo nyuma ya vijana wa meza kuu yake. Wameenda upande wa pili wanapima upepo lakini mpango ni kaka yao aje pindi mambo yamechangamka adai ni wananchi wameniomba. Hakuna kitu ni ulaghai tu na biashara ya kisiasa.
  11. I

    Watumiaji na Wataalamu Hawatumii HDD Tena Wana M.2 SSD, Wewe Je?”

    M.2 SSD ni Nini? Fahamu Chanzo cha Kasi Mpya kwenye Kompyuta za Kisasa Na Maleko GJ Ikiwa kuna kitu kimoja watumiaji wa kompyuta wanataka zaidi kila siku, ni kasi. Kasi ya kuwasha kompyuta, kufungua programu, kuhifadhi mafaili, na kufanya kazi nzito kama video editing au gaming. Na jibu la...
  12. Shanily

    Katika vitu ambavyo Rais Samia anapokosea ni kukopa kopa. Hajui mikopo huleta umaskini

    Kwakua deni la Taifa Bado ni himilivu, mama aendele kukopa mpaka Kila mtanzania adaiwe milioni 10🤣. Katika vitu ambavyo mama ananikera ni kukopa kopa 😡 Hajui mikopo huleta umaskini hasa ikiwa inakopwa bila mpangilio maalum!?. Ndani ya miaka 3 mama kakopa kuwazidi watangulizi wake, halafu...
  13. F

    Imezidi sasa na tena ni dharau kwa Watanzania. N wakati wa CCM kuondoka sasa tumechoka!

    Hali ya kisiasa nchini imeendelea kuwa mbaya na demokrasia yetu inazidi kutoweka kwa kasi kubwa. Tumefika pahali vyama vya upinzani vinafutwa kienyeji hivi. Juzi tuliona CHADEMA wakinyimwa ruzuku, leo wamefungiwa kabisa kushiriki siasa! Nafikiri ni wakati wa mfumo CCM kuondoka madarakani kwa...
  14. kingphisher

    Nimerudi tena kuomba kazi

    Wakuu kama kazi za ofisini bado hazipikani, basi naombeni hata za bandarini. Nimeingia ajira portal kuangalia nafasi za kazi, nimetoka huko nduki. Naombeni kazi, wale ma agents wa bandarini, sikieni basi hili ombi langu. Msinichoke lakini. Naombeni mnisaidie hata namna ya kupata kazi za...
  15. M

    Leo rasmi naacha pombe, imenidhalilisha tena

    Wananajamvi kwema jamani, walevi wenzangu rasmi leo nifuteni kwenye chama, juzi nimelewa nikatia aibu kwenye sherehe ya kazini, bado nikaenda kutia aibu kwa majirani, Tutaonana wakati mwingine
  16. Mad Max

    Wapenzi wa Magari ya Audi: Kuanzia mwaka 2025 Audi A4 hatunazo tena, zimekua replaced na Audi A5!

    Tumetoka mbali sana na Audi A4, kuanzia mwaka 1994 na hatimaye tumefika mwisho wake baada ya miaka 30. Hadi sasa tumekua na jumla ya generations tano za A4, kuanzia B5 ya mwaka 1994 hadi B9 ya 2015. 1st Gen B5 2nd Gen B6 3rd Gen B7 4th Gen B8 5th Gen B9 Ni moja ya gari nilizowahi zielewa...
  17. Setfree

    Shetani ameaibika tena! Alituma mtu aibe 'assets' zangu zenye thamani ya dola 5000, amenaswa!

    Ndugu zangu, mara kwa mara nimekuwa nikiwasimulia humu mambo makuu anayonitendea Mungu maishani mwangu. Leo tena nawaletea ushuhuda wa kweli, kweli tupu, jinsi Mungu alivyoniwezesha kupata 'assets' zangu zilizokuwa zimeibwa na ajenti wa shetani(ibilisi). Ilikuwa hivi: Hivi majuzi, mimi na...
  18. Common Folk

    CHADEMA imeshakuwa imani kamili, watu wanatoa "Tone Tone" kama wanavyotoa "Sadaka" makanisani na misikitini, tena kwa moyo mkunjufu

    Hii level ya imani hakuna chama cha siasa imeifikia kwenye hii nchi na majirani zake. Isingekuwa polisi nk, basi kijani wangekuwa hawana chao siku nyiiiingii.
  19. ngara23

    Simba yamponza Heri Sasii, afungiwa miezi 6 kwa kushindwa kumudu mechi dhidi ya Singida Black Stars

    Mwamuzi wa kati wa mchezo tajwa hapo juu, Henry Sasi amefungiwa miezi sita (6) kwa kosa la kushindwa kumudu mchezo huo baada ya kufanya maamuzi mengi yaliyoashiria kushindwa kutafsiri sheria 17 za mpira wa miguu. Adhabu hiyo ni kwa mujibu wa Kanuni ya 42:1(1.1) ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti kwa...
  20. FK21

    Niliacha pombe sasa hivi nimerudia ulevi tena

    Wakuu habari za mda huu Natumaini mpo wazima niliacha pombe mwaka Jana mwezi wa 7 Hadi mwaka huu mwezi wa 4 nimejikuta narudia Tena ulevi nalewa Hadi napoteza simu hii Hali siipendi kabisa niliwahi kuambiwa ni kurogwa ila kwakweli nahitaji mtu ata wa kunifanyia therapy niachane na hili tatizo...
Back
Top Bottom