USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Família yake ilihamia ngara miaka ya 1970 ikitokea Burundi na kuishi nchini kama wakimbizi bila kupewa uraia yeye na kaka yake wakasomea Ngara na kujichanganya na watanzania na kuingia kwenye Siasa .
Japo wanangara walimkataa akiwa CHADEMA kwa sababu ya uraia wake akiwa Dk Mkuu wa hospital (teuli)ya Murugwanza ya ngara akahamia biharamulo na kujiunga na CCM kisha kugombea ubunge na kuwa namba moja kabla hajakatwa jina na kubakia mwakilishi wa vijana taifa mpaka sasa.
Kwa sasa Dkt. Ssebuyoya ni Dkt Mkuu wa hospitali teule ya Biharamulo na anatuhumiwa kujaza warundi wenzake hospitali hapo huku watanzania wakibaki hawana kazi, amulikwe haraka
Kwa kuwa onyo la Mkuu wa majeshi lipo bayana na serkali kupitia Rais amekubali kufanyia kazi basi kuna haja ya vyombo vya uchunguzi vimulike watu kama hawa wanakuja nchini kwa malengo ovu .
USSR
Japo wanangara walimkataa akiwa CHADEMA kwa sababu ya uraia wake akiwa Dk Mkuu wa hospital (teuli)ya Murugwanza ya ngara akahamia biharamulo na kujiunga na CCM kisha kugombea ubunge na kuwa namba moja kabla hajakatwa jina na kubakia mwakilishi wa vijana taifa mpaka sasa.
Kwa sasa Dkt. Ssebuyoya ni Dkt Mkuu wa hospitali teule ya Biharamulo na anatuhumiwa kujaza warundi wenzake hospitali hapo huku watanzania wakibaki hawana kazi, amulikwe haraka
Kwa kuwa onyo la Mkuu wa majeshi lipo bayana na serkali kupitia Rais amekubali kufanyia kazi basi kuna haja ya vyombo vya uchunguzi vimulike watu kama hawa wanakuja nchini kwa malengo ovu .
USSR