telegram

  1. sergio 5

    Nawezaje kujiunga Telegram?

    Nina shida kubwa sana na mtandao wa Telegram Ila nashindwa kujiunga naambiwa Hadi nilipie je kuna ujuzi WA kujiunga bila kulipia?
  2. Echolima1

    Ku download movie kwenye Telegram

    Napenda ku download movies kwenye Telegram Naomba muongozo kwa anayefahamu tafadhali
  3. Pakome

    Taarifa nilizonazo ni kuwa X, Telegram, Signal, JF zimezuiwa Tanzania, ushauri wangu kwa anayefunga ni kuwa amalizie na mingine iliyobakia

    X, Signal, Telegram, JF imezuia Tanzania kwa muda mrefu Nataka kumshauri anayefunga kuwa alisahau Facebook, Instagram, Threads, Whatsapp, Snapchat, TikTok, YouTube na mingineyo Ni kana kwamba amefanya kazi nusu hajamalizia mpaka mwisho Ili kazi ikamilike kwa usahihi basi amalizie na hii...
  4. Scared

    Hivi telegram bado imefungwa wazee maana ninaugwadu

    Naombeni kujua wakuu telegram bado imefungwa na upwiru kinyama nataka demu wa kusuuza rungu
  5. Cute Wife

    GE2025 Mitandao ya YouTube, TikTok na Signal imeliwa kichwa kama X na Telegram. Facebook, Instagram na WhatsApp kufuatia?

    Wakuu, Mpaka sasa motandao ya Youtube, TikTok na Signal imeliwa kichwa, haipatikani mpaka utumie VPN, yote hii ikiwa ni kuzuia wananchi kupata taarifa wakati muhimu kabisa wa uchaguzi ambao wananchi wana haki na wanastahili kupata taarifa kujua kinachoendelea katika siku muhimu inayoenda...
  6. Manepesa

    Mnatufungia mtandao Facebook unahusika nini na siasa zenu?

    Wengi Tunategemea sana kutangaza biashara zetu kupitia mtandao mnazima ili iweje ..nmepoteza hela. Mmefunga Twitter (x) , sasa hivi mmehamia Facebook. Fungueni hii mitandao, wengine siasa hatuzitaki ni ujinga tu.
  7. Mbwichichi

    Naomba kujua chanel nzuri telegram kwa movies?

    Naombeni kujua ni chanel gani nzuri kwa ajili ya kupata movies telegram
  8. Heritage123

    VPN 3 Bora za Kutumia Twitter na Telegram Tanzania (2025)

    Katika kipindi ambacho baadhi ya mitandao kama Twitter na Telegram hupata vikwazo vya upatikanaji nchini Tanzania, kutumia VPN (Virtual Private Network) ni suluhisho la haraka, rahisi na salama. VPN huficha anwani yako ya mtandao (IP address) na kukupa uhuru wa kutumia mtandao kama uko nchi...
  9. sayoo

    Mtandao wa telegram

    Habari wadau , hivi ndo tuseme telegram bongo imepigwa ban , maana Nina zaidi ya miezi kadhaa nashindwa kuitumia , nime uninstall na kuinstall upya lakini wap, shida Nini waugwana
  10. monotheist

    Telegram sipokei verification code

    Natumaini hamjambo, ni muda mrefu kidogo sijatumia telegram nimekumbuka lile group la Xiaomi users tz nimedownload lakin sipokei verification code tatizo inaweza kua nini?
  11. RALO

    Je hili group la Telegram la Aliexpress 605 si la kitapeli?

    Mambo vipi wadau? Heri ya pasaka pili! Kuna group moja la telegram lenye hilo jina la Aliexpress 605 ambalo linatoa kazi za online hasa kuhusu bidhaa zinazopostiwa kwenye website au app ya Aliexpress ambapo kwa maelezo yao ukikamilisha kazi fulani kama labda kulike bidhaa fulani na kuiweka...
  12. Davidmmarista

    Telegram Yafikia Watumiaji Bilioni 1 na Kufanikiwa Zaidi Kuliko Washindani Wake

    Telegram sasa ina zaidi ya watumiaji bilioni 1 kwa mwezi, na kuwa program ya pili maarufu zaidi ya kutuma ujumbe ulimwenguni (ikiondoa WeChat, ambayo ni maalum kwa China) 🥈 Ushiriki wa watumiaji pia unazidi kuongezeka. Kila mtumiaji hufungua Telegram wastani wa mara 21 kwa siku na hutumia...
  13. Technophilic Pool

    ivi hii telegram ndo imekufa mbona hai respond tangu january?

    Jamuhuri ya telegram Kila nikifungua inaandika updating na haijawai kumaliza
  14. stabilityman

    Nauliza mbona Telegram haifanyi kazi kwangu

    Wakuu, Naomba msaada, kwa nini Telegram haifanyi kazi kwangu? Wenye uelewa tafadhali nisaidieni.
  15. Mwachiluwi

    Msaada wajuzi wa simu na telegram

    Kuna kitu nataka kuangalia hapa sasa inaonyesha ivi kama unajua nielekeze hapa au kama hapa uwezo pm iko wazi msaada
  16. Morning_star

    Hivi mtandao wa telegram bado umefungiwa Tanzania au vipi? Maana muda sana siupati! Kulikoni?

    Huu mtandao wengi walikuwa wanautumia kwasababu za ngono! Lakini kwa wanaodeal na kutuma package za picha kubwa ulikuwa mzuri! Hapa kwangu ni zaidi ya miezi kama 6 hivi siupati!
  17. A

    Telegram book bot

    Wakuu naombeni msaada wa Best Telegram Book Bots 🤖, kidgo nachemka apa
  18. R

    Kuna aliyekutana na GALAXY LADY wa Telegram!!!!

    Habari Kuna mwanadada mmoja anajiitwa Galaxy lady username telegram ni santie360. Wadau kama umewahi kukutana nae naomba taarifa zaidi yupp na umemuonaje.
  19. Mindyou

    Kenya yaripotiwa kufungia mtandao wa Telegram ili kuzuia udanganyifu kwenye mitihani

    Shirika la Netblocks, hivi karibuni limeripoti kuwa, kampuni ya mawasiliano ya Safaricom imezuia upatikanaji wa app ya Telegram kwa wateja wake walioko nchini Kenya. Netblock imedokeza kuwa Safaricom ambayo ndio kampuni kubwa ya mawasiliano nchini Kenya – imezuia upatikanaji wa Telegram nchini...
  20. E

    Tazama maneno ya Pavel Durov mmiliki wa Telegram baada ya kuachiwa

    ❤️ Thanks everyone for your support and love! Last month I got interviewed by police for 4 days after arriving in Paris. I was told I may be personally responsible for other people’s illegal use of Telegram, because the French authorities didn’t receive responses from Telegram. This was...
Back
Top Bottom