Tarehe 29 October inapaswa kuwa siku ya mashujaa kuwaenzi na kutambua mchango wao katika kutetea watanzania maskini.
Mimi nipo mstari wa mbele kupigania mabadiliko na kusimama na watanzania kwa hali zote, nime mwaga machozi kwa kutambua kuwa watanzania walikufa kwa kunipigania mimi na wewe...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro SACP Simon Maigwa ameeleza kuwa hakuna mwananchi au askari Polisi wa Jeshi hilo Mkoani humo aliyejeruhiwa au kupoteza maisha kutokana na Vurugu zilizotokea siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025.
Hata hivyo nawapongeza kwa kuwaachia huru vijana mia 300...
MY SIDE: HALI JINSI ILIVYOKUWA TAREHE 29. MAANDAMANO, USALITI, UHALIFU NA MAUAJI.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
1. Kulikucha vizuri. Hali ya hewa ya jiji la Dar ilikuwa tulivu.
2. Saa moja unusu nilikuwa nje kijiwe ninapokaaga siku ya jumapili(offday) lakini siku hiyo ya jumatano...
Inasikitisha sana ila ndo tukubali ukweli kuwa ile Tanzania ya watu wapole, wapenda amani wasiotaka fujo iliisha rasmi jana tarehe 29/10/2025. Hakutakuwa tena na kubembelezana kwenye mambo ya haki. Kila kitu kimeanza upya kuanzia jana.
Raia wamevumilia toka awamu ya kwanza hadi leo awamu ya 6...
Hayawi hayawi yanakuja kuwa.
Zimebaki siku tatu tu siku ya siku kuwadia.
Wachache wetu tuliwaambia kuwa mnajipa matumaini hewa tu.
JWTZ kamwe haliwezi kuipindua serikali ya CCM kwa sababu:
1. JWTZ ni majuha.
Hakuna lolote wanalolielewa kuhusu mambo yanayoendelea nchini. Hawajui chochote...
Tarehe 29
Si kila shujaa huvaa viatu vya kupiga hatua barabarani. Wengine wanapigana ndani ya mioyo yao, wakijitahidi kuamini kuwa nchi hii bado inaweza kubadilika. Kama wewe ni mmoja wao yule ambaye hatatoka tarehe 29 basi soma haya kwa moyo wote.
Tunaishi nchi ambayo ofisi zimekuwa masoko ya...
Wahuni na mafisadi wanampago wa kuzima mtandao ili kufanya uchafuzi wao gizani, wameona kuwa mitandao itaeneza haraka mipango ya maandamano, kura fake, rushwa katika uchafuzi huo, na uonevu na matendo ya kinyama ya poliCCM dhidi ya raia Wema
Naona hawa wahuni na mafisadi wanajipalia Mkapa...
Mwekundu kama damu ya ngisi. Msalaba. Mwekundu utaanza kutoa surprise zake 26 kuelekea jioni. Hawa watu tumeshindwaje kuwashika.
Niliwaambia msiwapuuze. Mmemuacha mtu mpaka anatoroka nje ya nchi. Angetakiwa akamatwe ili aseme wengine.
Tupo kenye kitisho hatuwezi nini kipo mbele yetu. Walah...
Pande ni mbili tu. Uwe mpiga kura au mwandamanaji haramu. Uamuzi ni wako. Ukiwa mpiga kura utaenda kituoni na kupiga kura kisha kurudi kwako kwa amani. Ila ukiwa mwandamanaji haramu utakutana na polisi wakiwa tayari kukuzuia kufanya huo upuuzi. Waandamanaji haramu wenye bahati wanaweza rudi...
Yaani huu ndiyo ukweli halisi Polisi siyo wote wanapinga maandano na siyo Wanachama wote wanapinga maandamano bali wengi hawapendi jinsi inchi inavyoendeshwa na Rais
Ni vile wakati wa Magufuli wengi wapinzani walikuwa wanaridhisha na kazi aliyokuwa anafanya kupambana na mafisadi,kinachotakiwa...
1. Hakuna Polisi wakusimamia uchaguzi na kuzuia kwa wakati mmoja, hakuna na hakuna.
2. Watu tukiandamana, kwa hofu ya kuanguka CCM itasema wafuasi wake nao watoke barabarani waandamane kuiunga mkono.
3. Watu wakijaa Barabarani kwa pande zote, Jeshi officially linabeba nchi.
No reform no...
Polisi watatofautishaje huyu kaja Kuandamana, yule anaenda kupiga Kura? Kwa ninavyowajua Ndugu zangu wote mtawekwa kapu moja MTACHEZEA KICHAPO halafu baadae direct kituoni kuchangia uchakavu (kung'arisha viatu) au upelekwe kuzimu direct
Leo hii Padree Kitima, Katibu wa Balaza la TEC angekua mavumbini.
Mapdre wengi wameamua Kuishi kijasusi kuwakwepa Watekaji na Wauaji , yote hii ni sababu tu ya kushauri Mapenzi ya Bwana wetu YESU KRISTO !
Mapadre wengine wametekwa na Kupotezwa !!.
Hizi Hasira zooote Vijana wa Kiseminari ...
A. Hakutakuwa na updates za Usalama (Security updates) – Virusi vipya na mbinu mpya za mashambulizi zitaweza kupenya kwenye mfumo wa Windows 10, ingawa antivirus kama windows defender itaendelea kupokea updates, Windows 10 kama mfumo endeshi haitaendelea kupokea updates rasmi zinazoweka viraka...
Wanaukombozi Aluta.....
Kumekaribia kukucha. Tayari tumeseti mitambo sawa. Hii ni rasharasha kuelekea kulikomboa taifa. Tunauungwaji mkono kutoka watu wote muhimu wa kimkakati. Tutawashangaza! Tumewazidi maeneo muhimu ya kiintelijensia. Hawajui hatua zetu muhimu zaidi ya zile foolsstep...
Wanabodi
Zamani JF ndio ilikuwa ya kwanza kwa ma Breaking News, lakini sasa...!
Yule member wetu, Jasusi, Aliyetoa Breaking News ile siku ya Tarehe 12 March mwaka ule, Taifa tukatangaziwa Tarehe 17 March, Leo ametoa Breaking News nyingine Kule kwenye youtube channel yake ya Jasusi TV, sijui...
Hamjambo!
1. Wanajukwaa Ladies and gentlemen. Upande huu kulia ni waandamanaji wanajipanga. Na kushoto kwa ni Wazuia maandamano. Wote leo wataonyesha mpango kazi wao kukamilisha zoezi la tarehe 29.
2. Kwa kweli haijulikani nani ataibuka kidedea kwani mbinu ni zilezile zinaingiliana.
3. Wote...
Mbinu wanayoitumia hawa Watekaji ni Kumuwahi Kila Mmoja anayeonekana ana Uthubutu wa jambo letu !!.
Sasa katika hali ya Mmoja Mmoja ni rahisi wao kutumaliza na kuchomekea Woga.
Sasa basi kwakua Dhamira zetu ni DHAHIRI na kwa namna tulipofikia 29/10 ni tukio la Ukombozi wa Nchi.
Tuendelee na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.