tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. Ojuolegbha

    Ubalozi wa Tanzania nchini Sweden Unawaalika kwenye Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani

    Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Stockholm - Sweden Unawaalika kwenye Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani Mahali: Piazzablu, Hallonbergsplan 5-7, 174 52 Sunday Sundbyberg Tarehe: Julai 5, 2025 Muda: Saa 7:00 Mchana - Saa 1:00 Jioni Burudani: Saa 1:00 Jioni - Saa 4:00 Usiku
  2. K

    UFUTA : Kwa Nini Serikali ya Tanzania Inapaswa Kusitisha Minada ya Mazao ya Kilimo

    Serikali ya Tanzania imekuwa ikitekeleza mfumo wa kuuza mazao ya wakulima kupitia minada ya kiserikali kwa lengo la kudhibiti bei na kuleta uwazi katika biashara ya mazao. Hata hivyo, mfumo huu una changamoto nyingi ambazo zinaathiri moja kwa moja kipato cha mkulima wa kawaida. Mfano halisi ni...
  3. Mtu Alie Nyikani

    Amani aliyoipigania Nyerere imevurugwa, ila Nina Imani hizi zama zitapita na Tanzania yetu Itarudi Salama na Kusimama tena

    Wakuu kwema? Leo hii, moyo wa taifa letu unapitia majaribu. Kumekuwa na ongezeko la matukio ya utekaji, mateso na mauaji ya raia hasa wale wanaotoa maoni tofauti au kusimamia haki. Hali hii inaleta hofu, giza, na ukimya wa kulazimishwa. Matukio haya yameipaka doa nchi yetu ambayo kwa muda...
  4. J

    Kwa Mujibu wa Fitch Rating, Tanzania yaizidi Marekani kwa kasi ya Ukuaji wa Uchumi

    KAMPUNI ya kimataifa ya Fitch Rating inayojihusisha kufanya tathmini ya nchi kukopesheka katika masoko ya mitaji ya kimataifa, imeithibitisha Tanzania kuwa na uchumi thabiti wenye uwezo wa kukopesheka katika masoko ya mitaji kimataifa. Kupitia taarifa ya kampuni hiyo iliyochapisha hivi...
  5. Allen Kilewella

    Hakuna Rais aliyefikia hata robo ya viwango vya NYERERE

    Hawa ni Marais wa nchi tangu Tanzania ianzishwe 1. Julius Kambarage Nyerere 1965 - 1985 (miaka miaka 20) 2. Ali Hassan Mwinyi 1985 - 1995 (miaka 10) 3. Benjamini William Mkapa 1995-2005 ( miaka 10) 4. Jakaya Mrishi Kikwete 2005 - 2015 ( Miaka 10) 5. John Pombe Magufuli 2015 - 2021 (Miaka...
  6. Ex Spy

    Tanzania: Kanisa Katoliki kufanya ‘sala maalum’ kuombea uwepo wa Haki na Amani katika nchini

    Huu ndo mwongozo maalum umetolewa leo
  7. Dalton elijah

    SI KWELI Tanzania kuiunga mkono Iran kwenye vita

    kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na chapisho linalosambaa kwenye mtandao wa kijamii wa facebook ikionesha gazeti la kishindo likieleza kuwa jeshi la tanzania linajiandaa kupeleka majeshi yake nchini iran kwa jili hya kuipiga Israel.
  8. Dalali_wa_kimataifa

    Apartment for rent Tanzania

    #houseforrent NYUMBA INAPANGISHWA IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI-MBEZI BEACH ______________ KODI USD 800$ KWA MWEZI _________________ MALIPO YA MIEZI 6 ________ NZURI YA KISASA _____________ YA KIFAMILIA, _______ YENYE:- Vyumba Viwili vya kulala #Masta #Sebule #dinning #Jiko zuri lenye stoo...
  9. kyagata

    Top 10 ya Makabila yanayoongoza kwa kula chakula kingi hapa Tanzania

    Mko poa? Nimebahatika kuishi na jamii nyingi za Kitanzania, na hii ndiyo orodha yangu ya top ten ya makabila yanayoongoza kwa kula chakula kingi hapa Tanzania: 1. Wasukuma 2. Wanyakyusa 3. Wasafwa 4. Wajita 5. Wahaya 6. Waha 7. Wajaluo 8. Wakurya 9. Wangoni 10. Wagogo
  10. Dr Adam Francis

    Vita ya serikali na kanisa; je, Tanzania ina cha kujifunza kutoka Uingereza

    Tarehe Mei 28 hadi Juni 2, 1982 itakumbukwa kwa Papa John Poul II, kuwa Papa wa kwanza wa Kanisa Katoliki kutembelea taifa la Uingereza tangu mgawanyiko wa Reformation 1530, uliosababisha kuundwa kwa Kanisa la Anglikana, yaani Church of England. Mojawapo ya matukio muhimu katika ziara hiyo...
  11. Lord Denning

    Hivi ndivyo namna CCM walivyoliua Taifa la Tanzania

    Tanzania kwa sasa inafahamika rasmi kama nchi ya uchawa, ujinga, umasikini, rushwa, ufisadi, pamoja na ubabe wa dola dhidi ya Wananchi. Haya yote hayajafanikiwa kwa mara moja. Ni matokeo ya mfululizo wa masuala kadhaa yaliyofanywa na dola ya CCM yaliyolifikisha Taifa letu hapa. Kama ulikuwa...
  12. Kusini pride

    Kwani waislamu ndiyo wenye hatimiliki ya mpira wa Tanzania?

    Waislamu ndiyo wenye hatimiliki wa mpira wa Tanzania? Mbona wakristo ni wachache kwenye vile vyombo vinavyoongoza mpira kwenye nchi hii kwa maana TFF aisee na hizi timu mbili za kariakoo Simba na Yanga viongozi wake wengi au karibu wote ni waislamu Kwenye uchaguzi huu wa TFF watia nia wa...
  13. X_INTELLIGENCE

    Yatakayotokea Tanzania kabla na baada ya Uchaguzi

    Awali ya yote niwapongeze watanzania kwa busara na uvumilivu wa hali ya juu tulio nao...juzi nilikutana na wazee fulani huko porini wazee hao miongoni mwao waliwahi KUFA kabla mission zao hazijatimia na wengine walitimiza huku wengine wakiwa wametimiza nusu ya mission iliyo waleta duniani...
  14. B

    🇹🇿Je, Tanzania inaweza kufungiwa na FIFA kutokana na sakata la derby (Yanga vs Simba) na uchaguzi wa TFF?

    Habari.... 1. Sakata la Derby Mechi ya watani wa jadi (Yanga na Simba) imekuwa na mvutano mkubwa. Yanga wamepinga maamuzi ya Bodi ya Ligi (TPLB) na TFF, wakidai kuna upendeleo na hujuma. Waligoma kucheza baadhi ya mechi, na waliwasilisha malalamiko yao hadi kwa viongozi wa serikali. Hii...
  15. K

    Hakuna kiongozi mzalendo hapa Tanzania

    Hapa Tanzania hakuna kiongozi mzalendo kama wanavyojinasibisha kwenye majukwaa ya kisiasa Kwa Mfano 1. Hakuna mtoto wa kiongozi anayesomea shule za serikali za msingi, secondary na vyuo vya kati vya serikali 2. Viongozi wetu wakiugua wanakimbila hospital za nje ya nchi au hospital za private...
  16. Inside10

    Elimu Ya Tanzania Kwa Watoto Wa Primary Na Secondary Schools Hazina Likizo?! Kipindi Hiki Cha Likizo Nawaona Alfajiri Na Mapema Wakiwahi Shuleni..!!

    Kama mada inavyojieleza kipindi hiki cha alfajiri na mapema nakutana na watoto wadogo kwenye usafiri wa umma.. wakiwahi shuleni. Je, Ndio sera mpya ya elimu?!
  17. P

    Tanzania siyo kisiwa: tusiseme tena watuache na mambo yetu ya ndani

    Dunia tunamoisha imeweka taratibu zake ili kuhakikisha haki za binadamu zinalindwa. Inapotokea kwamba kuna uvunjifu wa haki za binadamu, ni wajibu wa jumuhiya ya kimataifa kuingilia kati. Approach iliyotumika ku deal na wanaharakati kutoka nchi jirani ilikuwa mbaya sana na ilichafua taswira ya...
  18. Parabolic

    Tanzania yajitetea Umoja wa Mataifa tuhuma za Kutesa, Kudhalilisha Wanaharakati

    Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Dk Abdallah Possi ametoa utetezi katika Baraza la Haki za Binadamu ofisi ya Geneva, Uswisi, kuhusu madai ya kutesa na kudhalilisha wanaharakati. Tanzania Yajitetea Umoja wa Mataifa Tuhuma za Kutesa, Kudhalilisha Wanaharakati, Yasema...
  19. Lord Denning

    Tukubaliane tu: Baada ya kukubali Wanasiasa wawe juu ya Utendaji wa Mifumo, TAKUKURU imejifia rasmi na Rushwa ndo kila kitu Tanzania

    Sasa ni rasmi, Tanzania imeanza kula matunda ya Wanasiasa kuwa juu ya Utendaji/mifumo na Siasa kuwa juu ya Utaalamu. Kwa sasa rushwa imekuwa jambo la kawaida nchini Tanzania na inafanywa waziwazi bila hofu yeyote. Kwa wasiojua, Mataifa yote yaliyofeli haikutokea kwa siku moja. Nigeria unayoiona...
  20. P

    Nakusanya Speech Za Rais SSH akiongolea mustakabali wa Tanzania

    Moja kwa moja kama ilivyo kwenye kicha cha habari hapo juu, yeyote aliye na speech zilizoandikwa za rais akiongelea kuhusu mustakabali wa maendeleo ya taifa letu tukufu, basi anaweza kutuwekea hapa ili tuweke kumbukumbu sawa.
Back
Top Bottom