I will be short
Miundo mbinu yetu ya leo ni kama 2005, barabara mbovu sana, magari mbovu, services mbovu, rushwa imekithiri, USALAMA bado sio mzuri, umeme sio wa uwakika. Hospitals hamna dawa. Shule mbovu, hali ya watu mbaya, pesa imeshuka kuliko 2005,
Same problems kama hatuja fanya...