tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. funaku

    Tanzania itafanya uchaguzi mwezi oktoba na Kazi itaendelea

    Waliotaka kususa wanatafuta huruma ya kurejea. Kamwe huruma hii isitolewe na kwa nguvu za Mwenyezi maanani uchaguzi utafanikiwa kwa amani na kazi itaendelea.
  2. Ricky Blair

    Elimu ya Tanzania izingatie kufundisha lugha ngeni nyingi

    Tanzania sio kisiwa na pamoja na sio kisiwa bado ni nchi masikini duniani na ivyo Kiswahili chetu bado hakitatupaisha sana duniani sio kama Kichina, Kijapani au lugha zingine duniani kwenye nchi tajiri. Cha Kwanza; Kiswahili ifundishwe kote kutoka primary hadi chuo kikuu kama lugha kuu ila...
  3. USSR

    Ugawaji wa tuzo za wasanii wa Rwanda Tanzania tunalakujifunza sisi ujinga mwingi

    Kuanzia mdhari ya ukumbi, stage, mavazi yaka kiulaya sana burudani zote live band MC hawana ule ujinga wakina mpoki na matusi Tanzania kuna la kujifunza hapa sio kina majizo wanakuja na ndala za kuogea kuchukua tuzo za singeli USSR
  4. mshale21

    Tanzania yaongoza kuwa na amani Africa Mashariki

    Katika ripoti mpya ya Global Peace Index (GPI) 2025, Tanzania imetajwa kuwa nchi yenye amani zaidi Afrika Mashariki, ikishika nafasi ya 73 kati ya nchi 163 duniani. Ingawa Tanzania imeporomoka kwa nafasi 8 ikilinganishwa na mwaka uliopita, bado inaongoza kanda hii, huku majirani wengine...
  5. J

    Tanzania benki zanawiri

    Rais Samia amepunguza kiasi cha Mikopo isiyolipika|Chechefu (NPL) kwenye mabenki, Kutoka 9.3% mwaka 2020 hadi 3.3% Mwaka 2025 ikiwa ni sawa na tofauti ya 6% hii inaonesha uwezo wa Serikali kuboresha mazingira ya biashara. Hadi February 2025 jumla ya faida za mabenki ya biashara makubwa...
  6. Ojuolegbha

    Tanzania yaungana na Marekani kusherehekea miaka 249 ya uhuru wa Marekani

    Tanzania imeungana na Marekani kuadhimisha miaka 249 ya Uhuru wa Marekani katika hafla iliyofanyika katika Makazi ya Balozi wa Marekani jijini Dar es Salaam, sambamba na kutimiza miaka 64 ya uhusiano wa kidiplomasia kati ya mataifa hayo. Akizungumza katika hafla hiyo, Waziri wa Mambo ya Nje na...
  7. PendoLyimo

    SADC yaitaja Tanzania kinara utekelezaji ajenda ya nishati safi ya kupikia

    SADC YAITAJA TANZANIA KINARA UTEKELEZAJI AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA 📌 Rais Samia aendelea kupongezwa kwa kuwa kinara wa Nishati safi ya Kupikia Afrika 📌 Mhe. Kapinga ataka mikakati, ubunifu utekelezaji nishati safi ya Kupikia Jumuiya ya SADC 📌 Asisitiza uelimishaji matumizi ya nishati...
  8. M

    GE2025 No reforms no election! Tumekaribia Ushindi, No reforms no election ikishinda, Tanzania inakuwa huru!

    Tumekaribia, ng'ambo yetu ile paleee! Ushindi upo upande wetu No reforms no election ina upepo wa Mungu wenye kisulisuli, unaangusha mibuyu na mibuyu Ndani ya CCM, hivi punde watauimba huu wimbo wazi wazi bila kificho, huu mwezi haupiti, Wengi wao wataumgana na waungwana sisi kuimba kwa...
  9. Ndengaso

    NSSF Tanzania (Mwanza) tunaomba Maelezo kwanini wastaafu wa JWTZ mwanza hawajapata Mafao yao ya kila mwezi hadi leo.

    PSSSF Tanzania tunaomba Maelezo kwanini baadhi ya wastaafu wa JWTZ mwanza hawajapata Mafao yao ya kila mwezi kwa mwezi june hadi leo ? Moderator Active naomba kichwa cha habari kisome PSSSF.
  10. Jamii Opportunities

    Head of Enterprise at SimbaNet Ltd Tanzania July 2025

    Job type Full-time Job Vacancy: Head of Enterprise SimbaNET Tanzania (SimbaNET) is part of Wananchi Group which is a Regional Company that provides Internet, Data, Broadcasting and Multimedia Communication Solutions. We are seeking to recruit a Head of Enterprise, He/she will be reporting to...
  11. Jamii Opportunities

    Uyui District Council Jobs in Tanzania, July 2025

    Uyui District Council, a district council in Tanzania, is dedicated to enhancing public services and fostering community development within the Uyui District. As part of its commitment to improving operational efficiency and service delivery, the council is thrilled to announce 11 full-time job...
  12. Marco Seth

    Nani alifaa baada ya Kifo Cha JPM?

    Wewe uliona nani Angeendelea kuuongoza Urais baada ya kifo cha JPM
  13. S

    Hawa Wakenya wabunge wetu waliosema hawana akili kama sisi Watanzania ndio sasa wanatusaidia ndege za ujasiri wa Tanzania kwenda Ulaya!

    KQ to support Tanzania aviation industry National carrier Kenya Airways (KQ) is in talks with Tanzania to support its aviation industry after it was banned by the European Union (EU). The European Union (EU) banned Tanzanian airlines from operating in its airspace in early June over safety...
  14. MchunguZI

    Wnasiasa wa Tanzania ni kama Changudoa wetu mitaani- Nimemsikia Bulaya

    Nimemsikia Esther Bulaya, aliyehamia CCM. Nimesikiliza maneno yake ya nyuma na yale ya sasa kupitia video inayozunguka. Ninachokiona ni kwamba Wanasiasa wa TZ ni sawa na Changudoa wetu. Hawana aibu, hawataki kazi nyingine na hata tukiwashawishi kwa namna gani, wanaamini kazi yao ni siasa, Hata...
  15. Ojuolegbha

    Tanzania and Korea cooperation on Blue Economy is happening

    Tanzania and Korea cooperation on Blue Economy is happening. Thanks to the MOU on Cooperation on Blue Economy signed during the visit of Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan in Seoul, June, 2024.
  16. stakehigh

    Kuna ukweli wowote Pan African S.C ya Tanzania ishawahi kufika robo fainal CAF?

    Katika kupitia historia ya mpira bongo kuna mtu alinisanua kuhusu timu inaitwa Pan African, kwa maelezo yake anasema ilishawahi kufika robo fainali CAF champions league, katika kupitia mtandaoni kwel naona kuna taarifa za CAF Champions league ila sio za robo fainali...
  17. P

    Kuna shida somewhere: Uganda, Tanzania na Zanzibar zasaini MoU

    Hata kama watu hawanaga akili, siyo kwa level hii ya Tanzania na Zanzibar kuonekana ni nchi mbili tofauti wakati tunajua ni nchi moja.
  18. peno hasegawa

    Madhara ya nchi za Ulaya na Marekani, Kutotambua Uchaguzi wa 2025 wa Tanzania na Athari Zake kwa Viongozi wa CCM na Wananchi

    Uchaguzi wa 2025 nchini Tanzania unakaribia, na tayari kuna wasiwasi kuhusu uwezekano wa kutotambuliwa kwake na nchi za Ulaya na Marekani. Madhara ya hali hii yanaweza kuwa makubwa, sio tu kwa viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) bali pia kwa wananchi wa kawaida. Katika makala hii, tutaangazia...
  19. DolphinT

    Sifa za Ubunge East Africa, Tanzania ni shimoni Bado

    🇹🇿 Tanzania Kulingana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977: Sifa za kuwa Mbunge ni: 1. Awe raia wa Tanzania kwa kuzaliwa au kwa uraia wa kawaida aliyeishi muda mrefu nchini. 2. Awe na umri usiopungua miaka 21. 3. Awe anayejua kusoma na kuandika Kiswahili au Kiingereza. 4...
  20. GenuineMan

    Mwaka 2015, ni Mwaka ambao utakumbukwa sana kwenye Siasa za Tanzania.

    Kuanzia 2015 kuja hadi sasa, ni tofauti sana na hapo kabla. Ni kama vile wakubwa waliona wakicheka na nyani watavuna mabua, Kilichofuata ni vibano kila sehemu. Media, free speech, n.k Ila kama ilivyo 1995, 2015, 2025 nayo wenda ikakumbukwa sana kwenye historia ya Siasa za Tanzania.
Back
Top Bottom