HII KAULI YA KUWAAMBIA VIJANA WAJIAJIRI INAWAKERA SANA.
Na Thadei Ole Mushi.
Mzee Mangula Shikamoo!!! Mwenye number ya Mzee Mangula Mpeni huu Ujumbe wa kutaka vijana wajiajiri. Mwambieni kuwa:-
Kiongozi anayepokea Mshahara kila Mwezi, Posho kila Siku, anawekewa mafuta ya gari, analipiwa...