Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,785
Tanzania yetu ni moja kati ya nchi zinazoongoza Duniani kwa ongezeko la watu, kwa mujibu wa statista mwaka 2100 nchi yetu itakuwa zaidi ya watu milioni 200 na moja kati ya nchi kubwa kwa idadi ya watu Duniani.
Najiuliza hao watu watakula nini? Wataishi wapi na kulala wapi? Duh, sipati, nitakuwa nimeshaenda hata hivyo, nyie fyatueni tuu, kazi kwenu ukichukulia IQ haiongezeki sijui mtatua vipi matatizo, Tanzania watu zaidi ya milioni 200? Duh!
Najiuliza hao watu watakula nini? Wataishi wapi na kulala wapi? Duh, sipati, nitakuwa nimeshaenda hata hivyo, nyie fyatueni tuu, kazi kwenu ukichukulia IQ haiongezeki sijui mtatua vipi matatizo, Tanzania watu zaidi ya milioni 200? Duh!