Dodoma 20, 2019
WAZIRI MPANGO: Baada ya Uchumi wa Tanzania 'kufanya vizuri' kumepelekea Kupungua kwa misaada na kumeathiri baadhi ya miradi ya maendeleo nchini
Serikali imesema kupungua kwa misaada ya maendeleo kumeathiri baadhi ya vyanzo vya ugharamiaji wa miradi ya maendeleo nchini na hivyo imetaka maafisa mipango kuendelea kubuni vyanzo vipya vya ukusanyaji wa mapato vitakavyo linufaisha taifa kiuchumi.
Hii ni kutokana na Tanzania katika siku za karibuni kujinasibu kuwa uchumi wake unakuwa kwa kasi zaidi ya 7%, , serikali sasa ni donor country, serikali inatekeleza miradi mikubwa ya fedha myingi kwa kutumia pesa zake za ndani kama ununuzi wa ndege, Ujenzi wa Reli mpya SGR, Mradi wa Umeme Rufiji. flyovers, Madaraja makubwa ya kupigiwa mfano Afrika yanayojengwa baharini / ziwa Victoria bado miradi ya ujenzi wa majengo ya Hospitali, Mahakama n.k nchi kote hii ni kwa kutaja kwa uchache
Baada ya serikali ya Tanzania kujimwambafai kuwa uchumi wake unakuwa na nchi ni tajiri, sasa mashirika ya kifedha na mabenki kama AfDB (African Development Bank) na Banki ya Dunia /World Bank inataka Tanzania iache kupewa mikopo maalum iliyotengwa kwa nchi masikini ya IDA Blend What Is IDA? . Tanzania katika awamu hii ya Tano imekuwa ikipingana na ripoti za awali za mashirika hayo kuwa uchumi wake ni duni na kupelekea Wakurugenzi wa mashirika na mifuko hiyo ya fedha ya kimataifa kuitwa na kupewa takwimu sahihi za Ofisi ya Takwimu ya Taifa, Benki Kuu na Wizara ya Fedha ya Tanzania
Tanzania ipo katika 5 bora ya nchi zenye uchumi unaokua kwa kasi 7% mfululizo
With the ratification of the Sustainable Development Goals (SDGs) in 2015, along with a historic agreement in Addis Ababa on ways to mobilize financing needed for the SDGs, the world has a new roadmap for ending poverty by 2030. The International Development Association (IDA) is poised to play a key role in this mission, by catalyzing trillions of dollars in needed investment – public and private, national and global—and translating the SDGs into country-led action.
As the largest source of concessional finance, IDA is recognized as a global institution with a transformative effect that individual national donors cannot match. Here’s why:
WAZIRI MPANGO: Baada ya Uchumi wa Tanzania 'kufanya vizuri' kumepelekea Kupungua kwa misaada na kumeathiri baadhi ya miradi ya maendeleo nchini
Serikali imesema kupungua kwa misaada ya maendeleo kumeathiri baadhi ya vyanzo vya ugharamiaji wa miradi ya maendeleo nchini na hivyo imetaka maafisa mipango kuendelea kubuni vyanzo vipya vya ukusanyaji wa mapato vitakavyo linufaisha taifa kiuchumi.
Hii ni kutokana na Tanzania katika siku za karibuni kujinasibu kuwa uchumi wake unakuwa kwa kasi zaidi ya 7%, , serikali sasa ni donor country, serikali inatekeleza miradi mikubwa ya fedha myingi kwa kutumia pesa zake za ndani kama ununuzi wa ndege, Ujenzi wa Reli mpya SGR, Mradi wa Umeme Rufiji. flyovers, Madaraja makubwa ya kupigiwa mfano Afrika yanayojengwa baharini / ziwa Victoria bado miradi ya ujenzi wa majengo ya Hospitali, Mahakama n.k nchi kote hii ni kwa kutaja kwa uchache
Baada ya serikali ya Tanzania kujimwambafai kuwa uchumi wake unakuwa na nchi ni tajiri, sasa mashirika ya kifedha na mabenki kama AfDB (African Development Bank) na Banki ya Dunia /World Bank inataka Tanzania iache kupewa mikopo maalum iliyotengwa kwa nchi masikini ya IDA Blend What Is IDA? . Tanzania katika awamu hii ya Tano imekuwa ikipingana na ripoti za awali za mashirika hayo kuwa uchumi wake ni duni na kupelekea Wakurugenzi wa mashirika na mifuko hiyo ya fedha ya kimataifa kuitwa na kupewa takwimu sahihi za Ofisi ya Takwimu ya Taifa, Benki Kuu na Wizara ya Fedha ya Tanzania
Tanzania ipo katika 5 bora ya nchi zenye uchumi unaokua kwa kasi 7% mfululizo
IDA is the largest source of concessional finance for the world’s 76 poorest countries, 39 of which are in Africa. Resources from IDA bring positive change to the 1.3 billion people who live in IDA countries.
- Benki ya Dunia: Uchumi wa Tanzania haukupanuka kwa 7%
Benki ya Dunia: Uchumi wa Tanzania haukupanuka kwa 7% chumi wa taifa la Tanzania ulipanuka kwa asilimia 5.2 mwaka 2018 kulingana na benki ya dunia iliosema katika katika ripoti yake kuu mwaka huu ambapo imetofautiana na takwimu zilizotolewa na serikali hiyo za kuimarika kwa uchumihuo...- Benki ya Dunia: Tanzania kwa muongo mmoja uliopita imekuwa na uchumi imara na ukuaji mkubwa wa pato la taifa
Takwimu za Benki ya Dunia zinaonesha kuwa Tanzania kwa muongo mmoja uliopita imekuwa na uchumi imara na ukuaji mkubwa wa pato la taifa wa wastani wa asilimi nane. Kwa mujibu wa takwimu hizo Tanzania imehakikisha pia ukua
With the ratification of the Sustainable Development Goals (SDGs) in 2015, along with a historic agreement in Addis Ababa on ways to mobilize financing needed for the SDGs, the world has a new roadmap for ending poverty by 2030. The International Development Association (IDA) is poised to play a key role in this mission, by catalyzing trillions of dollars in needed investment – public and private, national and global—and translating the SDGs into country-led action.
As the largest source of concessional finance, IDA is recognized as a global institution with a transformative effect that individual national donors cannot match. Here’s why:
- IDA provides leadership on global challenges. From its support for climate resilience to the creation of jobs to get former combatants back into society, IDA rallies others on tough issues for the common good and helps make the world more secure.
- IDA is transformational. IDA helps countries develop solutions that have literally reshaped the development landscape—from its history-changing agriculture solutions for millions of South Asians who faced starvation in the 1970s to its pioneering work in the areas of debt relief and the phase-out of leaded gasoline.
- IDA is there for the long haul. IDA stays in a country after the cameras leave, emphasizing long-term growth and capability to make sure results are sustained.
- When the poorest are ignored because they’re not profitable, IDA delivers. IDA provides dignity and quality of life, bringing clean water, electricity, and toilets to hundreds of millions of poor people.
- IDA makes the world a better place for girls and women. IDA works to reverse gender discrimination by getting girls to school, helping women access financing to start small businesses, and ultimately helping to improve the prospects of families and communities.
- Working with the World Bank Group, IDA brings an integrated approach to development. IDA helps create environments where change can flourish and where the private sector can jumpstart investment.
- IDA is also a global leader in transparency and undergoes the toughest independent evaluations of any international organization. For example, IDA placed in the highest category in the 2018 Aid Transparency Index every year since the index was first published in 2010—ranking highest among multilateral development banks.
- Equally, a 2018 assessment by the Center for Global Development and the Brookings Institution named IDA one of the international community’s top performing providers of development assistance, citing IDA’s low administrative costs, more predictable aid flows, and large project size relative to other donors.
- And a 2017 survey of policymakers from 126 low- and middle-income countries by AidData ranked the World Bank 2nd out of 56 bilateral donors and multilateral institutions on its agenda-setting influence in developing countries. The report cites the World Bank as “punching above its weight” on value for money.