sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,521
- 7,368
Baada ya yule kauzibe kupigwa kibuti cha nguvu na Kajala.
Penzi limerudi upya na sasa limekolea nazi.
---
Penzi limerudi upya na sasa limekolea nazi.
---
Ni couple ambayo imekumbwa na vizingiti vya hapa na pale so bado inaenda kimya kimya.
Ila ni swala la muda tu, siku ambayo mahusiano ya hawa wawili yakienda rasmi public itakuwa ndio couple yenye nguvu zaidi kuwai kutokea Tanzania.
Itakuwa zaidi ya Juma Nature na Sinta.
Itakuwa ni zaidi ya Diamond na Wema.