Kakonko: Makusanyo kwa mwaka ni Tsh. Milioni 539, lakini Ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya umetengewa Tsh. milioni 700

mirindimo

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
821
1,338
Wakati makusanyo ya mapato katika wilaya ya Kakonko kwa mwaka 2020/21 yalikua ni Milioni 539, ujenzi wa nyumba ya mkuu wa wilaya umetengewa milioni 700. Fedha hizi ni mara tatu ya fedha zinazogharamia elimu kwa shule za msingi Kakonko

Ukarabati wa nyumba Katibu Tawala Kisarawe umetengewa milioni 130.

Fedha zinakaribia kulingana na bajeti ya sekta ya afya Kisarawe Kwa mwaka 2020/2021, milioni 150.

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Mkuranga milioni 140 na

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Bagamoyo milioni 120.

Fedha hizi ni zinakaribia bajeti ya sekta ya afya katika wilaya hiyo kwa mwaka 2020/2021 ambapo milioni 300 zilipelekwa kwa ajili ya ujenzi wa zahanati.

....tuendelee na nyimbo waombolezaji .....hayupoo hayupooooo ...... hayupoooo
 
Mkuu wakati mambo haya yanapangwa alikuwepo au alikwishafariki ?
Huyu ni kichaa, anaongelea mambo ya 2020 kipindi ambacho huyo mwendazake ndio aliokua anayapitisha kufanyika, halafu anajitoa ufahamu kwamba Rais Samia ndio amefanya utumbo huo.

Hio millioni 700 kipindi cha mwendazake zingetumika kwaajili ya kununua magari mawili tu ya wakurugenzi wa mikoa (400 Million gari moja kama la yule bwana fulani kule Geita).

Ningetarajia angesema kwamba "WATEULE WA MWENDAZAKE KATIKA UBORA WAO WA UFISADI". Ingekaa sawa.
 
Kumbuka hii ndio bajeti ya Mwisho ya Magufuli .
JPM asingeweza kuapprove upuuzi huo. Suala ni kwamba hii nchi ina matakataka kibao manyonyaji serikalini. Pamoja na kwamba alijitahidi kuyakemea na kuyaminya lakini bado ni mengi mno kuyamaliza si kitu rahisi. Mama asipokuwa mkali kuyashughulikia haya manyonyaji tutamshughulikia yeye. Hatuwezi kulipa kodi halafu itafunwe na majitu yasiyoweza kujilisha nje ya serikali.
 
JPM asingeweza kuapprove upuuzi huo. Suala ni kwamba hii nchi ina matakata kibao manyonyaji serikalini. Pamoja na kwamba alijitahidi kuyakemea na kuyaminya lakini bado ni mengi mno kuyamaliza si kitu rahisi. Mama asipokuwa mkali kuyashughulikia haya manyonyaji tutamshughulikia yeye. Hatuwezi kulipa kodi halafu itafunwe na majitu yasiyoweza kujilisha nje ya serikali.
Nyumba zishafika kwenye kupigwa rangi , bado huamini kama alihusika ?
 
Nyumba zishafika kwenye kupigwa rangi , bado huamini kama alihusika ?
Anahusikaje kwani hizo nyumba zinajengwa kwake, au anajengewa yeye? Nchi kubwa wapigaji ni wengi hasa kwenye halmashauri. JPM kwa nafasi yake aliupa kipaumbele ufisadi papa wa kupiga mabilioni huko mawizarani na kwenye taasisi. Sasa mama adili na ufisadi sugu ulioko kwenye halmashauri. Ufisadi inabidi iwe vita endelevu na ya kupokezana vijiti.
 
Huyu ni kichaa, anaongelea mambo ya 2020 kipindi ambacho huyo mwendazake ndio aliokua anayapitisha kufanyika, halafu anajitoa ufahamu kwamba Rais Samia ndio amefanya utumbo huo.

Hio millioni 700 kipindi cha mwendazake zingetumika kwaajili ya kununua magari mawili tu ya wakurugenzi wa mikoa (400 Million gari moja kama la yule bwana fulani kule Geita).

Ningetarajia angesema kwamba "WATEULE WA MWENDAZAKE KATIKA UBORA WAO WA UFISADI". Ingekaa sawa.
Taahira mkubwa wewe tumeishi na JPM tumemuona, tumeuona utendaji wake hatujahadithiwa, JPM asingeweza kuapprove upuuzi huo, misho.ga ka nyie lazima mumchukie kwa kuzuia accounts za viNGO vyenu na mafuta ya KY.
 
Wakati makusanyo ya mapato katika wilaya ya Kakonko kwa mwaka 2020/21 yalikua ni Milioni 539, ujenzi wa nyumba ya mkuu wa wilaya umetengewa milioni 700. Fedha hizi ni mara tatu ya fedha zinazogharamia elimu kwa shule za msingi Kakonko

Ukarabati wa nyumba Katibu Tawala Kisarawe umetengewa milioni 130.

Fedha zinakaribia kulingana na bajeti ya sekta ya afya Kisarawe Kwa mwaka 2020/2021, milioni 150.

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Mkuranga milioni 140 na

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Bagamoyo milioni 120.

Fedha hizi ni zinakaribia bajeti ya sekta ya afya katika wilaya hiyo kwa mwaka 2020/2021 ambapo milioni 300 zilipelekwa kwa ajili ya ujenzi wa zahanati.
....tuendelee na nyimbo waombolezaji .....hayupoo hayupooooo ...... hayupoooo

..na mabulungutu ya manoti aliyokuwa akigawa wakati wa ziara zake yalikuwa milioni au bilioni ngapi? CAG alikuwa anakagua fedha zile?

Cc Erythrocyte
 
Wakati makusanyo ya mapato katika wilaya ya Kakonko kwa mwaka 2020/21 yalikua ni Milioni 539, ujenzi wa nyumba ya mkuu wa wilaya umetengewa milioni 700. Fedha hizi ni mara tatu ya fedha zinazogharamia elimu kwa shule za msingi Kakonko

Ukarabati wa nyumba Katibu Tawala Kisarawe umetengewa milioni 130.

Fedha zinakaribia kulingana na bajeti ya sekta ya afya Kisarawe Kwa mwaka 2020/2021, milioni 150.

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Mkuranga milioni 140 na

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Bagamoyo milioni 120.

Fedha hizi ni zinakaribia bajeti ya sekta ya afya katika wilaya hiyo kwa mwaka 2020/2021 ambapo milioni 300 zilipelekwa kwa ajili ya ujenzi wa zahanati.
....tuendelee na nyimbo waombolezaji .....hayupoo hayupooooo ...... hayupoooo
When you are talking about REGASI this is exactly what it meant
 
Hahaha kweli upigaji hautakaa uishe. Hiyo 700 million anajengewa mansion au?
IMG-20210421-WA0195.jpg
IMG-20210421-WA0196.jpg
 
Duuh ,

Mapato 100,000/=

Matumizi 95,000/=

Fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo 5,000/=.

Typical Tanzanians , ndio tunafurahia mambo kama haya.
Mipango ya ujenzi huu umeanza tangu mwendazake akiwepo!!
Yaani ni mipango yake na Bwana jafo!
 
Back
Top Bottom