mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 821
- 1,338
Wakati makusanyo ya mapato katika wilaya ya Kakonko kwa mwaka 2020/21 yalikua ni Milioni 539, ujenzi wa nyumba ya mkuu wa wilaya umetengewa milioni 700. Fedha hizi ni mara tatu ya fedha zinazogharamia elimu kwa shule za msingi Kakonko
Ukarabati wa nyumba Katibu Tawala Kisarawe umetengewa milioni 130.
Fedha zinakaribia kulingana na bajeti ya sekta ya afya Kisarawe Kwa mwaka 2020/2021, milioni 150.
Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Mkuranga milioni 140 na
Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Bagamoyo milioni 120.
Fedha hizi ni zinakaribia bajeti ya sekta ya afya katika wilaya hiyo kwa mwaka 2020/2021 ambapo milioni 300 zilipelekwa kwa ajili ya ujenzi wa zahanati.
....tuendelee na nyimbo waombolezaji .....hayupoo hayupooooo ...... hayupoooo
Ukarabati wa nyumba Katibu Tawala Kisarawe umetengewa milioni 130.
Fedha zinakaribia kulingana na bajeti ya sekta ya afya Kisarawe Kwa mwaka 2020/2021, milioni 150.
Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Mkuranga milioni 140 na
Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Bagamoyo milioni 120.
Fedha hizi ni zinakaribia bajeti ya sekta ya afya katika wilaya hiyo kwa mwaka 2020/2021 ambapo milioni 300 zilipelekwa kwa ajili ya ujenzi wa zahanati.
....tuendelee na nyimbo waombolezaji .....hayupoo hayupooooo ...... hayupoooo