Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
Nimekaa mda mrefu na kutochangia JF.Ila leo shauku limenifika.
Hivi tanzania ya leo tuseme usalama,JwTZ,TCRA na wengine au vinara wazuri wa CCM ambao jeshi la polisi wanajitafakari kweli.
Mfano leo tunaona ushambulizi wa vita vya iran na Israel hivi hawa watu wanajua lolote zaidi ya kusema...
Tanzania, Mauritius to Further Strengthen Strategic Cooperation
Tanzania and Mauritius have agreed to continue strengthening their strategic cooperation with the aim of promoting trade, the blue economy, and shared development.
This was highlighted during a meeting between Tanzania’s Minister...
Tanzania, Mauritius Kuendelea Kuimarisha Ushirikiano wa kimkakati
Tanzania na Mauritius zimekubaliana kuendelea kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kwa lengo la kukuza biashara, uchumi wa buluu na maendeleo ya pamoja.
Hayo yamejitokeza wakati wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...
Hawa ma rc na ma DC, Nyerere aliamua kuwarithi kutoka katika mifumo ya kikoloni.
Hawa wananguvu kuliko mbunge, hawa ni ma puppet wa raisi hawana kazi nyingine.
Wizi unaanzia kwa maajanti wa mabasi ambao hupandisha nauli hovyo.
Hawana nauli ambazo ni standardized. Utakuta basi moja kila mtu amelipa nauli tofauti japokuwa wanaenda sehemu moja.
Wakati wa kula chakula. Madereva na makomdakta wanawapeleka abilia kwenye sehemu ambazo ndio kuna wizi na...
Unahitaji msaada wa masomo kwa mtoto wako au wewe binafsi?
Sasa suluhisho lipo hapa! Tunatoa huduma ya Home Tuition kwa viwango vyote vya elimu nchini Tanzania.
✅ Tunafundisha mitaala yote ya Tanzania (NECTA)
✅ Masomo yote yanapatikana (Sayansi & Sanaa)
✅ Walimu wenye uzoefu na ufanisi mkubwa
✅...
BARUA YA WAZI KWA JAJI MKUU WA TANZANIA KUHUSU KUHARAKISHA KESI YA TUNDU LISSU
Mheshimiwa Jaji Mkuu wa Tanzania,
Ninakusalimu kwa heshima kubwa, nikitambua nafasi yako muhimu katika kusimamia utoaji wa haki nchini. Lengo la barua hii ya wazi ni kuwasilisha ombi la msingi na la haki kuhusu...
Japo tuliwahi kuwa na baadhi ya marais wa hovyo kama Jakaya Kikwete, huyu wa sasa sina la kusema. Sijui kama anajua anachofanya kiumbe huyu. Mungu atusaidie ikiwezekane amkutanishe na Magu japo tupumue. Inakuwaje tugeuzwe koloni la koloni letu nasi tuangalie hata kushindwa kulalamika...
Kwa mujibu wa wao wenyewe Wenge BCBG ni kuwa mara baada ya ziara yao ya Tanzania mwaka 1997 ndo ukaibuka mgogoro mkubwa uliosababisha wasambaratike na kundi kuvunjika. Mwaka mmoja baadae Koffi Olomide alikimbiwa na wanamuziki wake mjini Dar es Salaam walipokuja kupiga show. Ishu ya Koffi ilikuwa...
Kenya Railways has taken a major step toward restoring a historic transport link after reviving the century-old metre gauge railway line connecting Voi to Tanzania, signaling a renewed push for regional trade and economic integration.
The 130-kilometre Voi–Taveta railway line, which had...
Msanii wa Bongo Flava kutoka Tanzania, Matonya, amekamatwa na kufikishwa mahakamani mjini Mombasa akituhumiwa kwa kosa la unyanyasaji wa kijinsia, katika kesi iliyozua mjadala mkubwa katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Matonya, ambaye jina lake halisi ni Sefu Shabani Ramadhan, alifikishwa mbele...
Kwa tamko la Rais Dornad Trump juzi Iran walitakiwa kupigwa kipigo Cha mbwa koko
Na mashambulizi yake alitangaza kuwa yataelekezwa kwenye miundo mbinu ya kuhifadhi mafuta ,vituo vya umeme nk
Na serikali ya Iran katika kukabiliana na tishio Hilo iliwatangazia wananchi wake na wote waliungana...
Akiongelea sakata la Lissu kuendelea kushikiliwa gerezani, Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA katumia lugha kali kueleza udhaifu wa Bi. Mkubwa huku akirejea na matamshi yake ya jana kuhusu bei ya mafuta duniani.
Hakika kaamua liwalo na liwe maana hajazunguka katika matamshi yake.
Watu wamechoka...
Habari za muda huu kiongozi wa Jamii Forums,
Nikiwa kama Mtalii na mdau wa Utalii wa Nyanda za Juu kusini mwa Tanzania, nipende kuwasilisha kero yangu Kubwa na kwa watalii wengine.
- Ikumbukwe tokea Bei za mafuta zipande April Mosi, kuna baadhi ya Hifadhi ya Taifa nayo imepandisha bei ya...
Kuna Swali Watu Wanajiulizaga Mtaani Watu Waliosoma Civil Engineering..
Ni Wahandisi Ndio Lakini Wanajihusisha Na Nini Haswa.?
Civil Engineering Ni Uhandisi Unaojihusisha na Kudesign, Kujenga na Kufanya Maboresha/Marekebisho Ya Miundombinu Yote Inayotumika na Wanadamu!
Civil Engineering Ni...
Kwa mujibu wa tafiti iliyofanywa na Cloudwards 2026 ikihusisha nchi 171 ikitathmini viwango vyao vya udhibiti wa mtandao kwa kutumia vigezo vya; matumizi ya majukwaa ya mitandao ya kijamii, upatikanaji wa maudhui mbalimbali ya kisiasa na kidini, kanuni zinazohusu matumizi ya VPN pampja na...
Nitaandika kifupi sana:ili nawe nikupe muda wa kutafakari.
Kama kuna wakati sahihi wa kujikwamua toka kwa watawala dhalimu waliojitwalia madaraka kwa mabavu, wakati huo ni sasa dunia ikiwa katika hatihati ya matatizo yatokanayo na vita; kama vile changamoto za kiuchumi.
Baadhi ya mataifa...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amesema wingi wa taasisi za udhibiti nchini unachangia usumbufu mkubwa katika biashara na kuathiri ukuaji wa sekta hiyo.
Prof. Mkumbo alisema hayo Machi 27, 2026, wakati wa mkutano wa uhakiki wa rasimu ya mpango wa...
🎯CHIMBO LA VIFAA VYA UMEME KARIAKOO Rafiki Electrical Solutions 🤝 ⚡ VIFAA VYA UMEME ORIGINAL NA BEI POA! Kwa Mahitaji ya Vifaa Vya Umeme Bora na Vya Ukakika (Original) Rafiki Electrical & Tech Solutions Tupo Kwa Ajili Yako💡✅ TUNAUZA NA KUTENGENEZA VIFAA BORA NA IMARA VYA UMEME WA MINARA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.