tanroads

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Pwani: Baada ya mvua kuharibu Barabara ya Chalinze – Segera, TANROADS waendelea na ujenzi hadi usiku

    Mvua zinazoendelea kunyesha Nchini zimesababisha uharibifu katika Barabara ya Chalinze – Segera hasa eneo la Kimange Mkoani Pwani. Awali baada ya kudaiwa njia hiyo imefungwa kutokana na mvua iliyonyesha Aprili 15, 2023, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo alisema “Barabara ilifungwa...
  2. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania TANROADS: Bajeti ya 2021/2022 tulitengewa Tsh. Trilioni 1.5 na si Tsh. Trilioni 2.9. Yote imeisha tumika kwenye miradi ya maendeleo

    Meneja wa Awamu ya tatu ya ujenzi wa mradi wa mwendokasi Jijini Dar es Salaam, Barakael Mmari amesema hadi kufikia mwishoni wa Machi 2023 matengenezo ya mradi huo yalikuwa yamefikia katika asilimia 5 (5%). Barakael Mmari Mradi huo una urefu wa Kilometa 23.3 unatekelezwa katika Barabara za...
  3. J

    JamiiForums Tanzania RIPOTI YA CAG:TASAF, TANROADS ZAKALIA MAMILIONI YA FEDHA ZA WANANCHI

    Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2021/22, imebaini hundi zilizochacha zenye thamani ya Sh352.12 milioni zilitolewa na Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) kwa waathirika wa miradi miwili mkoani Dodoma. Hali kadhalika, CAG alibaini kuchelewa kulipa fidia...
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania TANROADS: Kilichoathirika ni Deck kusogea kwa sentimeta 20, sio nguzo za Daraja la Mto Muhuwesi Tunduru

    Tunaomba kusahihisha kwamba: Nguzo za daraja hazijaathirika wala hazikusogezwa na mafuriko kutoka sehemu moja kwenda nyingine (Daraja lingeanguka). Kilichoathirika ni sehemu ya juu ya daraja (deck) ambapo nusu ya kwanza ya deck (m 54) ilisukumwa na mafuriko ya maji yaliyokuwa yamebeba magogo...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Serikali ielekeze jicho kali Wizara ya Ujenzi, TANROAD na TARURA

    Kutokana na miradi ya ujenzi ya barabara na madaraja kuwa na viwango vya chini sana vya ubora, Serikali ielekeze jicho kali Wizara ya Ujenzi, TANROAD na TARURA. Miradi hiyo inajengwa chini ya viwango kutokana na wale walioaminiwa na serikali (wakaguzi wa miradi hiyo) kula njama kwa kupewa...
  6. Agrey998

    JamiiForums Tanzania Mgawanyiko wa Barabara ya Mbezi mwisho ni moja ya alama kuu za TANROADS

    Rip kwa Mzee wetu Magufuli na engineer Mfugale leo nichukue fursa hii kuwapongeza watu hawa pamoja na TANROADS kwa kazi bora ya pale barabara ya Mbezi mwisho. Nilikuwa napita pale kwa Mishe zangu tu tena maramoja moja sana, nikaja kuona uzi wa mtu huku akitabiri kuwa uwepo wa stand ile...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Hongereni TANROADS Dar kwa kudhibiti wafanyabiashara ndani ya Stand

  8. D

    JamiiForums Tanzania Hongereni Tanroads, TARURA na DC Kigamboni kwa kukubali kutuondolea yale matuta pale mnadani

    Shukurani na pongezi ziwafikie Tanroads,Tarura na DC kigamboni kwa kukubali kuyaondoa Yale matuta mabaya pale mnadani! Uongozi ni kusikiliza, Tunawashukuru sana! Kama kutakuwa na ulazima sana wa tuta mahali pale, BASI YATUMIKE YALE MATUTA MAKUBWA MAPANA! Lakini kwa sasa Hall ni shwari kanisa...
  9. D

    JamiiForums Tanzania TARURA na TANROADS yale matuta pale kigamboni mnadani yanaumiza sana! Tunaomba yaboreshwe au muweke moja kubwa

    Kwa nia njema! Tarula/ Tanroad mmeweka matuta ili kupunguza speed! Lakini aina ya matuta mliyotumia ni mabaya sana na yanaharibu vyombo vya moto! Pia mbali na kuharibu vyombo vya moto yanatikisa mwili hadi ubongo! Sasa kwa vile njia hiyo pia inaelekea hospital! Ikipitisha wagonjwa na wenye...
  10. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Weighbridge Shift Incharge at TANROADS

    Reports To: Incharge of Weighbridge Unit Duty Station: Mwanza, Tanzania Terms of Service: Contract Terms of Three (3) years, renewable subject to satisfactory performance, efficiency and effectiveness Scope of Position: Successful applicants must be ready to work on “shift” basis including...
  11. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Works Inspector - Drainage And Structure at TANROADS - Tanga

    TANZANIA NATIONAL ROADS AGENCY (TANROADS) is a Semi-Autonomous Agency under the Ministry of Works, Transport and Communications established on July 1, 2000 and is responsible for the day-to-day management of the Tanzania Mainlands Trunk and Regional Roads Network and Construction of Airports...
  12. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Environmental Officer at TANROADS - Tanga

    TANZANIA NATIONAL ROADS AGENCY (TANROADS) is a Semi-Autonomous Agency under the Ministry of Works, Transport and Communications established on July 1, 2000 and is responsible for the day-to-day management of the Tanzania Mainlands Trunk and Regional Roads Network and Construction of Airports...
  13. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Social Welfare Officer at TANROADS

    TANZANIA NATIONAL ROADS AGENCY (TANROADS) is a Semi-Autonomous Agency under the Ministry of Works, Transport and Communications established on July 1, 2000 and is responsible for the day-to-day management of the Tanzania Mainlands Trunk and Regional Roads Network and Construction of Airports...
  14. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Office Assistant - (2 Posts) at TANROADS

    The Tanzania National Roads Agency (TANROADS) is an Agency under the Ministry of Works and Transport which is responsible for the Development and Maintenance of Trunk, Regional Roads Network and Airports in Tanzania Mainland; It is also responsible for conducting Axle Load Control Operations...
  15. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Engineer II - (4 POSTS) at TANROADS

    The Tanzania National Roads Agency (TANROADS) is an Agency under the Ministry of Works and Transport which is responsible for the Development and Maintenance of Trunk, Regional Roads Network and Airports in Tanzania Mainland; It is also responsible for conducting Axle Load Control Operations...
  16. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Digital Delivery Manager at CRDB Bank

    ROLE SUMMARY The role holder will drive forward and deliver outcome-focused digital and systems change across the organisation. The Delivery Manager will lead on the delivery of all digital development as well as technical systems development to support CRDBs business objectives. They will work...
  17. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Technician at TANROADS Kagera

    Tanzania National Roads Agency (TANROADS) is an Agency aimed at providing cost effective and sustainable maintenance and development of the Road’s networks and Construction of Airports in Tanzania Mainland to support the Social – Economic development of the Country. Apart from this, it is also...
  18. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Engineer at TANROADS Kagera

    Tanzania National Roads Agency (TANROADS) is an Agency aimed at providing cost effective and sustainable maintenance and development of the Road’s networks and Construction of Airports in Tanzania Mainland to support the Social – Economic development of the Country. Apart from this, it is also...
  19. S

    JamiiForums Tanzania Mrejesho wa usahili wa TANROADS Songea kitengo cha mizani

    Habari wakuu samahani nilikua nauliza kuna mtu yeyote aliyepigiwa simu baada kufanya oral interview ya tar 18/5 mwaka huu
  20. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Resident Engineer at TANROADS

    Tanzania National Roads Agency (TANROADS) is a Semi-Autonomous Agency under the Ministry of Works established on July 1, 2000 and is responsible for the day-to-day management of the Tanzania Mainland’s Trunk and Regional roads network as well as construction of Airports. Its primary functions...
Back
Top Bottom