Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,300
- 33,920
Kwa mfano unawezaje kujua sasa serikali inafanya jambo kwa ajili ya Tanganyika na sasa inafanya kwa ajili ya Muungano??
Je, Rasirimali zilizopo Tanganyika ni mali ya Muungano ama ni mali ya Tanganyika. Faida inayopatikana kutokana na Utalii, madini, uuzaji mazao nje, ni mali ya Tanganyika ama ni mali ya Muungano.
Mtoto wa kizanzibari anaposoma kwenye shule zilizoko Tanganyika anahesabika anasoma kwenye shule za Muungano ama za Tanganyika? Ni wapi kisheria na kisiasa unapojua kama hili ni jambo la Tanganyika na hili ni jambo la Muungano?
Je, Rasirimali zilizopo Tanganyika ni mali ya Muungano ama ni mali ya Tanganyika. Faida inayopatikana kutokana na Utalii, madini, uuzaji mazao nje, ni mali ya Tanganyika ama ni mali ya Muungano.
Mtoto wa kizanzibari anaposoma kwenye shule zilizoko Tanganyika anahesabika anasoma kwenye shule za Muungano ama za Tanganyika? Ni wapi kisheria na kisiasa unapojua kama hili ni jambo la Tanganyika na hili ni jambo la Muungano?