Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,487
- 51,064
Katika nchi hii, Muhimili wa Power upo katika makundi makubwa mawili. (a) Wakiristo wa Tanganyika (b) Waislamu wa Zanzibar.
Haya Makundi ndiyo makundi makuu yenye mamlaka za kisiasa hapa nchini. Hali hii inawaathiri sana Waislamu wa Tanganyika, nitaeleza.
a) Kutokana na kwamba kule Zanzibar Waislamu ni Majority, basi nafasi yoyote ya Uteuzi ktk serikali ya Muungano, kama mzanzibari ndiye atateteuliwa, basi kuna probability kubwa kuwa mtu huyo akawa Muislamu. Na hivyo basi wakishateuliwa kushika hizo nyadhifa Inakuwa ni vigumu sana kwa nafasi nyingine zilizobaki kuteua waislamu wengine wa Tanganyika kujaza au kuchukua nafasi hizo zilizobaki, Ili isije kuonekana teuzi zimelalia watu wa dini moja. Kwa hivyo basi, nafasi zilizobaki watateuliwa Wakiristo wa Tanganyika.
Chunguza teuzi nyingi za Serikali, hata serikali hii ya awamu ya Sita. Utaona wazi kuwa kama aliyeteuliwa ni muislamu, basi kunakuwa na uwezekano mkubwa wa mteuliwa huyo ni Muislamu wa Zanzibar badala ya Muislamu wa Tanganyika.
b) Tatizo hilohilo pia linajitokeza katika Ajira na Utumishi. Wazanzibari kwa mujibu wa Makubaliano ya kimuungano, wameshatengewa asilimia 25 za ajira zote za Muungano. Halafu asilimia 75 zimebaki kwa Watanganyika. Sasa huku Tanganyika maana yake ni kwamba Wakiristo wa huku na Waislamu wa huku na watu wachache wa dini nyingine ndo wanagombea asilimia 75 zilizobaki.
Hii pia inawaathiri Waislamu wa Tanganyika kwa maana, HR Manager au mamlaka za ajira zinapoletewa requirement ambayo tayari 25% ni watu wa dini moja, Ni vigumu kudhani watakuwa malaika kuongeza namba ya watu wanaofanana na hao ambao tayari wameshalamba shavu. Watataka watu wa Imani nyingine ili kuoffset imbalance ya kiimani. Hapa ndipo Waislamu wa Tanganyika inapokula kwao!
KWA HIYO
1. Huu muungano, kwa namna Ulivyo Waislamu wa Tanganyika ni kama Pawns, ila Wakiristo wa Tanganyika na Waislamu wa Zanzibar ndiyo King Makers
2. Ipo haja ya kukaa mezani seriously na kuangalia aina gani ya Muungano tunayoitaka (Kama muungano wenyewe unamake sense anyway), Na tukikaa Mezani tuzungumze Masilahi serious ya kila kundi, siyo habari za tumeoleana kwa muda mrefu. Mambo ya kuoa na kuolewa ni personal hayana maslahi mapana kwa Taifa.
3) Waislamu wa Tanganyika sasa nao waamke, waanze kudai uwakilishi zaidi serikalini, katika teuzi mbalimbali za kuhudumu serikalini n.k
Inabidi wadai kunufaika ipasavyo na matunda ya uhuru (walioupigania sana wakati ule wa kudai uhuru) ikiwemo ajira, na utumishi wa ndani ya serikali
Haya Makundi ndiyo makundi makuu yenye mamlaka za kisiasa hapa nchini. Hali hii inawaathiri sana Waislamu wa Tanganyika, nitaeleza.
a) Kutokana na kwamba kule Zanzibar Waislamu ni Majority, basi nafasi yoyote ya Uteuzi ktk serikali ya Muungano, kama mzanzibari ndiye atateteuliwa, basi kuna probability kubwa kuwa mtu huyo akawa Muislamu. Na hivyo basi wakishateuliwa kushika hizo nyadhifa Inakuwa ni vigumu sana kwa nafasi nyingine zilizobaki kuteua waislamu wengine wa Tanganyika kujaza au kuchukua nafasi hizo zilizobaki, Ili isije kuonekana teuzi zimelalia watu wa dini moja. Kwa hivyo basi, nafasi zilizobaki watateuliwa Wakiristo wa Tanganyika.
Chunguza teuzi nyingi za Serikali, hata serikali hii ya awamu ya Sita. Utaona wazi kuwa kama aliyeteuliwa ni muislamu, basi kunakuwa na uwezekano mkubwa wa mteuliwa huyo ni Muislamu wa Zanzibar badala ya Muislamu wa Tanganyika.
b) Tatizo hilohilo pia linajitokeza katika Ajira na Utumishi. Wazanzibari kwa mujibu wa Makubaliano ya kimuungano, wameshatengewa asilimia 25 za ajira zote za Muungano. Halafu asilimia 75 zimebaki kwa Watanganyika. Sasa huku Tanganyika maana yake ni kwamba Wakiristo wa huku na Waislamu wa huku na watu wachache wa dini nyingine ndo wanagombea asilimia 75 zilizobaki.
Hii pia inawaathiri Waislamu wa Tanganyika kwa maana, HR Manager au mamlaka za ajira zinapoletewa requirement ambayo tayari 25% ni watu wa dini moja, Ni vigumu kudhani watakuwa malaika kuongeza namba ya watu wanaofanana na hao ambao tayari wameshalamba shavu. Watataka watu wa Imani nyingine ili kuoffset imbalance ya kiimani. Hapa ndipo Waislamu wa Tanganyika inapokula kwao!
KWA HIYO
1. Huu muungano, kwa namna Ulivyo Waislamu wa Tanganyika ni kama Pawns, ila Wakiristo wa Tanganyika na Waislamu wa Zanzibar ndiyo King Makers
2. Ipo haja ya kukaa mezani seriously na kuangalia aina gani ya Muungano tunayoitaka (Kama muungano wenyewe unamake sense anyway), Na tukikaa Mezani tuzungumze Masilahi serious ya kila kundi, siyo habari za tumeoleana kwa muda mrefu. Mambo ya kuoa na kuolewa ni personal hayana maslahi mapana kwa Taifa.
3) Waislamu wa Tanganyika sasa nao waamke, waanze kudai uwakilishi zaidi serikalini, katika teuzi mbalimbali za kuhudumu serikalini n.k
Inabidi wadai kunufaika ipasavyo na matunda ya uhuru (walioupigania sana wakati ule wa kudai uhuru) ikiwemo ajira, na utumishi wa ndani ya serikali