Manispaa ya Geita Ipewe Hadhi ya Jiji,Imekidhi Vigezo vya Idadi ya Watu na Mapato ya Ndani na Kuzipita Mbeya na Tanga

Manispaa ya Geita Ipewe Hadhi ya Jiji,Imekidhi Vigezo vya Idadi ya Watu na Mapato ya Ndani na Kuzipita Mbeya na Tanga

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
82,063
Reaction score
87,976
Natoa wito Kwa serikali kuipandisha hadhi Manispaa ya Geita kuwa Jiji kwani Ina vigezo stahiki.

Ukiacha vigezo vya ujumla lakini Geita imekishi vigezo muhimu zaidi vya Mapato ya ndani ambapo Kwa mwaka wa fedha 2015/26 imefanikiwa kukusanya zaidi ya Bilioni 27.Mapato haya ni zaidi ya Majiji ya Mbeya & Tanga.

Aisha Manispaa ya Geita Kwa Sasa inakadiriwa kuwa na watu takribani Laki 5 ambao wanakidhi kupewa hadhi ya Jiji.

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Martine Shigela ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Geita kwa kufanikiwa kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 27 katika mwaka wa fedha 2025/2026 sambamba na kuendelea kupata hati safi ya ukaguzi kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Shigela ametoa pongezi hizo Juni 29, 2026 kwenye kikao maalumu cha Baraza la Madiwani Manispaa ya Geita cha kusikiliza na kujadili taarifa ya CAG kwa mwaka wa fedha 2024/2025 ambapo amesema mafanikio hayo yanaonesha nidhamu ya matumizi ya fedha za umma, uwazi katika usimamizi wa rasilimali pamoja na kuimarika kwa ukusanyaji wa mapato ya ndani.

Mkaguzi Mkuu wa nje wa Mkoa wa Geita ambae ni Mwakilishi wa Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali CAG Pastory Massawe amesema licha ya Halmashauri hiyo kupata hati safi ameitaka kuanza kujipanga kuelekea mwaka mwingine wa ukaguzi wa 2025/2026 ili kupunguza hoja za ukaguzi

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Geita Yefred Myenzi amesema makusanyo ya zaidi ya shilingi bilioni 27 ni ongezeko la shilingi bilioni 13 ikilinganishwa na kipindi cha miaka miwili iliyopita nakwamba halmashauri hiyo itaendelea kubuni na kuimarisha vyanzo vipya vya mapato.

View: https://www.instagram.com/reel/DaPPGXIC2Jo/?igsh=MXdkb3VnbzdhbTFmdA==

My Take
Geita ni Mkoa wa 6 Kwa Uchumi Mkubwa Tanzania (GDP) so inakidhi vigezo vyote

Vigezo na Masharti viwe vinafuatwa badala ya mambo ya Kisiasa.
 
Geita Manispaa haina mapato ya bln 27. Hiyo bln 27 ni pamoja na mapato yaliyofungwa ambayo hawayatumii wao.
Kwanza Sheria inataka jiji lijitegemee Kwa asilimia 95 kwenye bajeti zake. Kwa Hali hiyo Bajeti ya Manispaa ya Geita ni jumla ya ni Tsh. shilingi bilioni 78.81 huku mapato ya ndani ni bilioni 23.14 (sawa na 30.6% ya bajeti yote).

Vilevile hiyo bajeti inajumuisha pesa za csr ambazo haziiji kwenye account za halmashauri.

Tukiachana na hayo kuna vigezo vingine vya kuangalia mfano:
Miundombinu na Huduma za Jamii: Mji unaotarajiwa kuwa jiji lazima uwe na miundombinu imara na huduma za jamii za kutosha. Hii ni pamoja na:

Barabara: Mtandao mzuri wa barabara unaounganisha maeneo mbalimbali ndani ya jiji na maeneo mengine. Geita miundombinu ni mibovu Sana ndo Kwanza wanajenga barabara.


Huduma za Elimu: Shule za msingi, sekondari, na vyuo vikuu au taasisi za elimu ya juu. Geita hakuna hata chuo kikuu kuna madarasa mawili ya open university.


Huduma nyingine muhimu: kama vile Maji safi na salama, umeme wa kutosha. Geita maji ni ya shida ndo Kwanza wanaanza kujenga mradi wa maji.


Mbali na vigezo vya kawaida vya Manispaa, mji unaweza kupewa hadhi ya jiji kutokana na umuhimu wake wa kisifa au kimkakati, kama vile:

1. Umuhimu wa kihistoria: Kuwa na historia muhimu.

2. Umuhimu wa kitamaduni: Kuwa kituo kikuu cha utamaduni au utalii.

3. Kituo cha shughuli za Kimataifa: Kuwa kituo cha shughuli za kimataifa, kama vile ofisi za mashirika ya kimataifa.


Eneo

Ukubwa wa eneo la manispaa husika pia huzingatiwa, kwa maana ya kilomita za mraba.

Manispaa ya Geita ina eneo dogo Sana ambalo limebanana. Kwa kifupi mji wa geita unaweza kutumia nusu saa kuutembelea Kwa bodaboda. Ukitoka nje ya mji Kwa kilomita 10 unakutana na vitu vya ajabu. Shughuli za uzalishaji mkiachana na madini ni chache Sana na inazidiwa Hadi na katoro Kwa biashara. Na ukweli ni kwamba chanzo kikubwa cha mapato ya Manispaa ni shughuli za madini ambazo zinatokana na Kwa kiasi kikubwa na mgodi a GGML.


Suala la jiji ni siasa hakuna hiyo hadhi.
 
Natoa wito Kwa serikali kuipandisha hadhi Manispaa ya Geita kuwa Jiji kwani Ina vigezo stahiki.

Ukiacha vigezo vya ujumla lakini Geita imekishi vigezo muhimu zaidi vya Mapato ya ndani ambapo Kwa mwaka wa fedha 2015/26 imefanikiwa kukusanya zaidi ya Bilioni 27.Mapato haya ni zaidi ya Majiji ya Mbeya & Tanga.

Aisha Manispaa ya Geita Kwa Sasa inakadiriwa kuwa na watu takribani Laki 5 ambao wanakidhi kupewa hadhi ya Jiji.

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Martine Shigela ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Geita kwa kufanikiwa kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 27 katika mwaka wa fedha 2025/2026 sambamba na kuendelea kupata hati safi ya ukaguzi kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Shigela ametoa pongezi hizo Juni 29, 2026 kwenye kikao maalumu cha Baraza la Madiwani Manispaa ya Geita cha kusikiliza na kujadili taarifa ya CAG kwa mwaka wa fedha 2024/2025 ambapo amesema mafanikio hayo yanaonesha nidhamu ya matumizi ya fedha za umma, uwazi katika usimamizi wa rasilimali pamoja na kuimarika kwa ukusanyaji wa mapato ya ndani.

Mkaguzi Mkuu wa nje wa Mkoa wa Geita ambae ni Mwakilishi wa Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali CAG Pastory Massawe amesema licha ya Halmashauri hiyo kupata hati safi ameitaka kuanza kujipanga kuelekea mwaka mwingine wa ukaguzi wa 2025/2026 ili kupunguza hoja za ukaguzi

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Geita Yefred Myenzi amesema makusanyo ya zaidi ya shilingi bilioni 27 ni ongezeko la shilingi bilioni 13 ikilinganishwa na kipindi cha miaka miwili iliyopita nakwamba halmashauri hiyo itaendelea kubuni na kuimarisha vyanzo vipya vya mapato.

View: https://www.instagram.com/reel/DaPPGXIC2Jo/?igsh=MXdkb3VnbzdhbTFmdA==

My Take
Geita ni Mkoa wa 6 Kwa Uchumi Mkubwa Tanzania (GDP) so inakidhi vigezo vyote

Vigezo na Masharti viwe vinafuatwa badala ya mambo ya Kisiasa.

Ili mmpewe jiji inabidi mtoke 77777777777
 
Geita Manispaa haina mapato ya bln 27. Hiyo bln 27 ni pamoja na mapato yaliyofungwa ambayo hawayatumii wao.
Kwanza Sheria inataka jiji lijitegemee Kwa asilimia 95 kwenye bajeti zake. Kwa Hali hiyo Bajeti ya Manispaa ya Geita ni jumla ya ni Tsh. shilingi bilioni 78.81 huku mapato ya ndani ni bilioni 23.14 (sawa na 30.6% ya bajeti yote).

Vilevile hiyo bajeti inajumuisha pesa za csr ambazo haziiji kwenye account za halmashauri.

Tukiachana na hayo kuna vigezo vingine vya kuangalia mfano:
Miundombinu na Huduma za Jamii: Mji unaotarajiwa kuwa jiji lazima uwe na miundombinu imara na huduma za jamii za kutosha. Hii ni pamoja na:

Barabara: Mtandao mzuri wa barabara unaounganisha maeneo mbalimbali ndani ya jiji na maeneo mengine. Geita miundombinu ni mibovu Sana ndo Kwanza wanajenga barabara.


Huduma za Elimu: Shule za msingi, sekondari, na vyuo vikuu au taasisi za elimu ya juu. Geita hakuna hata chuo kikuu kuna madarasa mawili ya open university.


Huduma nyingine muhimu: kama vile Maji safi na salama, umeme wa kutosha. Geita maji ni ya shida ndo Kwanza wanaanza kujenga mradi wa maji.


Mbali na vigezo vya kawaida vya Manispaa, mji unaweza kupewa hadhi ya jiji kutokana na umuhimu wake wa kisifa au kimkakati, kama vile:

1. Umuhimu wa kihistoria: Kuwa na historia muhimu.

2. Umuhimu wa kitamaduni: Kuwa kituo kikuu cha utamaduni au utalii.

3. Kituo cha shughuli za Kimataifa: Kuwa kituo cha shughuli za kimataifa, kama vile ofisi za mashirika ya kimataifa.


Eneo

Ukubwa wa eneo la manispaa husika pia huzingatiwa, kwa maana ya kilomita za mraba.

Manispaa ya Geita ina eneo dogo Sana ambalo limebanana. Kwa kifupi mji wa geita unaweza kutumia nusu saa kuutembelea Kwa bodaboda. Ukitoka nje ya mji Kwa kilomita 10 unakutana na vitu vya ajabu. Shughuli za uzalishaji mkiachana na madini ni chache Sana na inazidiwa Hadi na katoro Kwa biashara. Na ukweli ni kwamba chanzo kikubwa cha mapato ya Manispaa ni shughuli za madini ambazo zinatokana na Kwa kiasi kikubwa na mgodi a GGML.


Suala la jiji ni siasa hakuna hiyo hadhi.
Na Uchafu pia labda kama na kigezo cha Grocery kinahusika..zipo nyingi sana Geita Mjini na viunga vyake..Kila jimama unayekutana naye Geita ni lazima ana Grocery ya Beer,Nyagi,Ze Kick ,Ambience,nk.
 
Geita Manispaa haina mapato ya bln 27. Hiyo bln 27 ni pamoja na mapato yaliyofungwa ambayo hawayatumii wao.
Kwanza Sheria inataka jiji lijitegemee Kwa asilimia 95 kwenye bajeti zake. Kwa Hali hiyo Bajeti ya Manispaa ya Geita ni jumla ya ni Tsh. shilingi bilioni 78.81 huku mapato ya ndani ni bilioni 23.14 (sawa na 30.6% ya bajeti yote).

Vilevile hiyo bajeti inajumuisha pesa za csr ambazo haziiji kwenye account za halmashauri.

Tukiachana na hayo kuna vigezo vingine vya kuangalia mfano:
Miundombinu na Huduma za Jamii: Mji unaotarajiwa kuwa jiji lazima uwe na miundombinu imara na huduma za jamii za kutosha. Hii ni pamoja na:

Barabara: Mtandao mzuri wa barabara unaounganisha maeneo mbalimbali ndani ya jiji na maeneo mengine. Geita miundombinu ni mibovu Sana ndo Kwanza wanajenga barabara.


Huduma za Elimu: Shule za msingi, sekondari, na vyuo vikuu au taasisi za elimu ya juu. Geita hakuna hata chuo kikuu kuna madarasa mawili ya open university.


Huduma nyingine muhimu: kama vile Maji safi na salama, umeme wa kutosha. Geita maji ni ya shida ndo Kwanza wanaanza kujenga mradi wa maji.


Mbali na vigezo vya kawaida vya Manispaa, mji unaweza kupewa hadhi ya jiji kutokana na umuhimu wake wa kisifa au kimkakati, kama vile:

1. Umuhimu wa kihistoria: Kuwa na historia muhimu.

2. Umuhimu wa kitamaduni: Kuwa kituo kikuu cha utamaduni au utalii.

3. Kituo cha shughuli za Kimataifa: Kuwa kituo cha shughuli za kimataifa, kama vile ofisi za mashirika ya kimataifa.


Eneo

Ukubwa wa eneo la manispaa husika pia huzingatiwa, kwa maana ya kilomita za mraba.

Manispaa ya Geita ina eneo dogo Sana ambalo limebanana. Kwa kifupi mji wa geita unaweza kutumia nusu saa kuutembelea Kwa bodaboda. Ukitoka nje ya mji Kwa kilomita 10 unakutana na vitu vya ajabu. Shughuli za uzalishaji mkiachana na madini ni chache Sana na inazidiwa Hadi na katoro Kwa biashara. Na ukweli ni kwamba chanzo kikubwa cha mapato ya Manispaa ni shughuli za madini ambazo zinatokana na Kwa kiasi kikubwa na mgodi a GGML.


Suala la jiji ni siasa hakuna hiyo hadhi.
Mzee acha blaa blaa ,Bilioni 23 ni pesa kubwa sana Kwa Tanzania hapa.

Yanayoitwa Majiji mfano Mbeya,Tanga Yana vigezo tajwa hapo Juu kuliko Geita?
 
Na Uchafu pia labda kama na kigezo cha Grocery kinahusika..zipo nyingi sana Geita Mjini na viunga vyake..Kila jimama unayekutana naye Geita ni lazima ana Grocery ya Beer,Nyagi,Ze Kick ,Ambience,nk.
Mapato ya Jiji lazima yategemee biashara za Huduma na sio kilimo
 
Natoa wito Kwa serikali kuipandisha hadhi Manispaa ya Geita kuwa Jiji kwani Ina vigezo stahiki.

Ukiacha vigezo vya ujumla lakini Geita imekishi vigezo muhimu zaidi vya Mapato ya ndani ambapo Kwa mwaka wa fedha 2015/26 imefanikiwa kukusanya zaidi ya Bilioni 27.Mapato haya ni zaidi ya Majiji ya Mbeya & Tanga.

Aisha Manispaa ya Geita Kwa Sasa inakadiriwa kuwa na watu takribani Laki 5 ambao wanakidhi kupewa hadhi ya Jiji.

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Martine Shigela ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Geita kwa kufanikiwa kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 27 katika mwaka wa fedha 2025/2026 sambamba na kuendelea kupata hati safi ya ukaguzi kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Shigela ametoa pongezi hizo Juni 29, 2026 kwenye kikao maalumu cha Baraza la Madiwani Manispaa ya Geita cha kusikiliza na kujadili taarifa ya CAG kwa mwaka wa fedha 2024/2025 ambapo amesema mafanikio hayo yanaonesha nidhamu ya matumizi ya fedha za umma, uwazi katika usimamizi wa rasilimali pamoja na kuimarika kwa ukusanyaji wa mapato ya ndani.

Mkaguzi Mkuu wa nje wa Mkoa wa Geita ambae ni Mwakilishi wa Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali CAG Pastory Massawe amesema licha ya Halmashauri hiyo kupata hati safi ameitaka kuanza kujipanga kuelekea mwaka mwingine wa ukaguzi wa 2025/2026 ili kupunguza hoja za ukaguzi

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Geita Yefred Myenzi amesema makusanyo ya zaidi ya shilingi bilioni 27 ni ongezeko la shilingi bilioni 13 ikilinganishwa na kipindi cha miaka miwili iliyopita nakwamba halmashauri hiyo itaendelea kubuni na kuimarisha vyanzo vipya vya mapato.

View: https://www.instagram.com/reel/DaPPGXIC2Jo/?igsh=MXdkb3VnbzdhbTFmdA==

My Take
Geita ni Mkoa wa 6 Kwa Uchumi Mkubwa Tanzania (GDP) so inakidhi vigezo vyote

Vigezo na Masharti viwe vinafuatwa badala ya mambo ya Kisiasa.

Hakuna hizo ni mbinu za kifisadi wapo watafuta fursa hapo,tena hilo lisiruhusiwe kabisa upigaji ulisha tuzidi uwezo mwisho taifa litafilisika
 
Morogoro inatakiwa kutangulia kupata hadhi ya Jiji kabla jiji lingine lolote jipya.
 
Hivi wewe ulisoma maelezo ya sifa na vigezo vya kupata jiji jipya kweli? Mapato na idadi ya watu ndiyo kigezo?
Kasome Sheria ya Serikali za Mitaa ya mwaka 1982.
 
Back
Top Bottom