A
Anonymous
Guest
Habari jamii forum,
Mimi ni mdau kutoka Mpanda, Katavi.
TANESCO Mpanda wanakata umeme ovyo ovyo. Ni kama vile hakuna mamlaka ya kusimamia.
Yaani kwa siku umeme lazima ukatwe zaidi ya mara 3 na bado weekend wanasema wanamatengenezo kila Jumamosi na Jumapili kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa11 jioni karibia kila weekend. Sasa ni maboresho gani hayo ambayo hayaishi. Wanatupa mashaka ni kama wanatengeneza tatizo makusudi ili wapate mianya ya upigaji.
Kwanini umeme kila kukicha unakatika na hali ya umeme taifa lilishasema hakuna upungufu tena msimu huu wa mvua. Wachunguzwe. Mpanda kuwa na umeme siku nzima imekuwa ni ngumu.
Nawasilisha
Mimi ni mdau kutoka Mpanda, Katavi.
TANESCO Mpanda wanakata umeme ovyo ovyo. Ni kama vile hakuna mamlaka ya kusimamia.
Yaani kwa siku umeme lazima ukatwe zaidi ya mara 3 na bado weekend wanasema wanamatengenezo kila Jumamosi na Jumapili kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa11 jioni karibia kila weekend. Sasa ni maboresho gani hayo ambayo hayaishi. Wanatupa mashaka ni kama wanatengeneza tatizo makusudi ili wapate mianya ya upigaji.
Kwanini umeme kila kukicha unakatika na hali ya umeme taifa lilishasema hakuna upungufu tena msimu huu wa mvua. Wachunguzwe. Mpanda kuwa na umeme siku nzima imekuwa ni ngumu.
Nawasilisha