stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 29,969
- 27,483
Kabla kuelezea tafauti zao, vitu ambavyo wanafanana ni kila mmoja anapenda kukaa kwenye rika lake,mfano matajiri hupenda kujitenga na matajiri wenzao likewise maskini
Lakini tafauti kubwa ni
Kichwa cha tajiri: Kwann yule mzee amesogea sana kuliko mm, lazima niongeze miradi nataka kua 1
kichwa cha maskini: kodi zetu zile, alikuta mali kwenye familia, tuchome kila kitu tuanze upya wote,
yule hana pesa anaringa na mirathi, najuana nae yule hua anakujjaga apa kabisa na namba yake nnayo,
una namba yoyote ya jini kutoka chalinze
Lakini tafauti kubwa ni
Kichwa cha tajiri: Kwann yule mzee amesogea sana kuliko mm, lazima niongeze miradi nataka kua 1
kichwa cha maskini: kodi zetu zile, alikuta mali kwenye familia, tuchome kila kitu tuanze upya wote,
yule hana pesa anaringa na mirathi, najuana nae yule hua anakujjaga apa kabisa na namba yake nnayo,
una namba yoyote ya jini kutoka chalinze