Urusi ni nchi tajiri sana msidanganywe na propaganda

Urusi ni nchi tajiri sana msidanganywe na propaganda

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
16,466
Reaction score
42,601
Ndg wana JF msidanganywe na propaganda za mitandaoni na za magharibi kwamba urusi ni nchi maskini.

Ile nchi ni tajiri sana Kwa vipimo vyote vya kiuchumi halafu miji ni mizuri na misafi mno ambayo ni indiketa ya ubora wa maisha. Njoo urusi.

Ni sehemu salama sana.
 
Ndg wana JF msidanganywe na propaganda za mitandaoni na za magharibi kwamba urusi ni nchi maskini.

Ile nchi ni tajiri sana Kwa vipimo vyote vya kiuchumi halafu miji ni mizuri na misafi mno ambayo ni indiketa ya ubora wa maisha. Njoo urusi.

Ni sehemu salama sana.
Ina uchumi mkubwa wa kawaida sio kwamba ni tajiri sana labda kama unaongelea rasilimali.
 
Jamaa unazungumzia utajiri upi? Halafu bdo wewe huyohuyo ukiambiwa uchague kwenda ulaya au urusi au marekan utagua marekani..kama n raslimali hata tz tunazo still n maskni tu.
 
UK GDP ni 3.84 USD Trillion na Russia GDP ni 2.02 UDS Trillion. Purchasing Power Parity (PPP) UK Iko juu sana kwasababu bei za vitu vipo juu na kwa Russia iko chini kwasababu bei za vitu iko chini.
UK kwa uchumi wa dunia ni tano (5) na Russia ni ya kumi na moja (11).
 
Ndg wana JF msidanganywe na propaganda za mitandaoni na za magharibi kwamba urusi ni nchi maskini.

Ile nchi ni tajiri sana Kwa vipimo vyote vya kiuchumi halafu miji ni mizuri na misafi mno ambayo ni indiketa ya ubora wa maisha. Njoo urusi.

Ni sehemu salama sana.
Unaish urusi ipi mkuu?
 
UK GDP ni 3.84 USD Trillion na Russia GDP ni 2.02 UDS Trillion. Purchasing Power Parity (PPP) UK Iko juu sana kwasababu bei za vitu vipo juu na kwa Russia iko chini kwasababu bei za vitu iko chini.
UK kwa uchumi wa dunia ni tano (5) na Russia ni ya kumi na moja (11).
Hizo ni data za mashirika ya magharibi ambayo yalitabili urusi itaaamguka Leo mwaka wa ngapi. Leo wao ndo wanaousifia uchumi wa kenya kuwa uko vizuri , je maisha ya kenya na Tanzania yepi nafuu.
 
Hizo ni data za mashirika ya magharibi ambayo yalitabili urusi itaaamguka Leo mwaka wa ngapi. Leo wao ndo wanaousifia uchumi wa kenya kuwa uko vizuri , je maisha ya kenya na Tanzania yepi nafuu.
Kenya
 
Back
Top Bottom