tajiri

  1. Nominee

    JamiiForums Tanzania SoC01 Nilivyotengeneza kipato kwa mtaji wa Tsh 50,000 tu

    Habarini wakuu. Najua kuna wimbi kubwa sana la vijana wasio na ajira. Hata wanaothubutu kujiajiri nao bado wanapata changamoto mbalimbali na mitaji yao inapotea pasipo kufanya jambo la maana. Hebu soma kisa changu. Ilikuwa ni mwaka jana(2020) mwezi wa saba nilipoamua kutoka mjini na kuhamia...
  2. Ramsy Dalai Lama

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya kuingiza pesa kati ya tajiri na masikini

    Unajua nini!, bado pesa ipo nyingi katika nchi yetu hata kama imekuwa ngumu kiasi gani lakin ukweli ipo. Pesa ipo kila sehemu, Serikali ina pesa, benki zina pesa, makampuni yana pesa,migahawa na mpaka mama ntilie wana pesa hata kama ni ndogo, wauza biashara ndogo ndogo mpaka wenye biashara kubwa...
  3. safuher

    JamiiForums Tanzania Usikate tamaa, tumezaliwa tukiwa tayari ni washindi

    TUSIKATE TAMAA. Ukijiona upo duniani basi jua tayari wewe ni mshindi,usiseme huwezi chochote.uwepo wako hapa duniani ni ishara tosha wewe umeshinda ndio maana uko hapa. Wakati baba alipomwaga maji ya uzazi yenye ujazo wa kijiko kimoja basi ujazo huo ulikuwa na seli zaidi ya milioni moja wakati...
  4. T

    JamiiForums Tanzania WHO yatoa rai kwa mataifa kusitisha utoaji wa chanjo za nyongeza kwa raia wake

    Mkurugenzi wa WHO ameziomba nchi tajiri kusitisha kutoa chanjo ya 3 ama booster ya Covid 19 hadi angalau mwezi October 2021 ili kutoa nafasi kwa nchi masikini angalau kuchanja 10% ya watu wao. Nchi tajiri zimeanza mpango wa kutoa chanjo ya 3 ama ya pili maarufu kama booster shots ili kuzipa...
  5. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya tabia za maskini na tajiri

    NGUVU YA TABIA Tofauti Kati Ya Tabia Za Maskini Na Tajiri. Tajiri ni mtu ambaye yuko serious katika maswala ya utafutaji wa pesa na nidhamu ya pesa kwa ujumla. ~Tajiri Yuko serious katika utafutaji wa pesa, yani anatafufa pesa kwa nguvu zote mpaka muda wake wa kulala ni mdogo sana, muda...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Jeff Bezos na wenzake wafanikiwa kurudi duniani baada ya kusafiri anga za juu

    Tajiri namba moja duniani Jeff Bezos, kaka yake, kibibi kizee miaka 82 na kijana mdachi miaka 18 wamefanikiwa kurudi duniani baada ya kusafiri anga za juu/mbali kwenye chombo chao The new Shephard. Safari iyo ya dakika 15 tu iliyogharimu mabilion. Kwa dakika moja walivyokuwa angani iligharimu...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wazungu nao wana wivu mwenzao akiwa tajiri

    Likija suala la utajiri utachukiwa tu uwe mzungu ama mswahili kutakuwa na wivu na chuki. Tumeshuhudia Diamond alivyonunua Rolls-Royce. Malaki ya watu wamesaini petion dhidi ya Jeff Beezos tajiri namba moja duniani wakinuombea kesho tarehe 20 akipaa anga za juu asirudi duniani tena abaki na...
  8. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania WHO: Nchi tajiri zinapaswa kugawa chanjo kwa nchi maskini

    Maafisa wa Shirika la Afya Duniani WHO wamesema hakuna ushahidi wa kutosha unaonyesha kwamba watu wanahitaji kuchomwa sindano ya tatu ya chanjo dhidi ya virusi vya corona, na hivyo kutoa wito wa chanjo zilizobakia kupewa mataifa maskini ambayo bado hayakuchanja raia wake, badala ya kutumiwa na...
  9. Orketeemi

    JamiiForums Tanzania Bado Mo Dewji ndiye tajiri namba moja nchini?

    Kwa Mambo makubwa makubwa anayoyafanya Mzee Bakhressa kwenye soka letu naamini ni kichekesho cha Mwaka kuamini Mo Dewji ndie tajiri namba moja nchini. Kimsingi orodha ya Matajiri nchini inapaswa kuwa hivi... 1. Said Salim Bakhressa 2. Said Salim Bakhressa 3. Said Salim Bakhressa 4. Said...
  10. Ferruccio Lamborghini

    JamiiForums Tanzania Azam FC ni mtoto wa tajiri anayemtesa mzazi wake

    FIKA Chamazi ukajionee uwekezaji wa Azam FC. Eneo la zaidi ya eka 25 lililosheheni miundombinu ya kumfanya Cristiano Ronaldo au Lionel Messi awe mfungaji bora wa Ligi ya Mabingwa Ulaya na kushinda Ballon D’Or. Hivi sasa wanabadilisha taa zao za uwanjani na kuweka za kisasa za LED zitakazofanya...
  11. Shadow7

    JamiiForums Tanzania WHO: Dozi za Corona zilizotolewa mpaka sasa nchi tajiri 44 %, mataifa maskini 0.4%

    Shirika la Afya Ulimwenguni WHO, limesema nchi tajiri kiviwanda za kundi la G7 zina uwezo wa kutoa dozi milioni 100 za chanjo ya Corona kwa nchi maskini mwezi Juni na Julai pekee kusaidia kufikia malengo ya utoaji chanjo duniani kote katika mkutano wao wa kilele wiki hii. Mkuu wa WHO Tedros...
  12. Fene

    JamiiForums Tanzania Tajiri ni nani?

    .
  13. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Je, kinachoendelea sasa katika nchi tajiri ya Marekani ni uthibitisho kwamba pesa sio kila kitu (Money can't buy everything)?

    Good evening jamiiforums Je, kinachoendelea sasa katika nchi tajiri ya Marekani ni uthibitisho kwamba pesa sio kila kitu (Money can't buy everything)? Marekani ana-sign peace deal na wanamgambo? How comes? Americans have enough cash, fully equipped military/intelligence machinery plus...
  14. ndenjii handsome

    JamiiForums Tanzania Nimedhulumiwa/ kutapeliwa na tajiri na sioni pa kumpeleka

    Husika na mada hapo juu, Katika harakati za utafutaji nikajikuta nimeuvaa umilionea wa ghafla msishangae jamani mambo ya machimbo, basi nilivyoipata hela nikakimbilia kununua malori ya mizigo aina ya Volvo kama sita hivi nikiwa mchanga kwenye ishu za magari. Mungu sio John nikapata tenda...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta Tajiri wa Gari ndogo

    Habarini humu ndani, Mimi ni dereva natafuta tajiri mwenye gari ndogo, nifanye nae kazi mkataba ama hesabu ya siku. Asanteni
  16. W

    JamiiForums Tanzania Shutuma za Diamond Platnumz dhidi ya Forbes, sasa naanza kuamini maneno ya Vijiweni kuwa Bakheresa ni tajiri zaidi ya MO

    Habari, Jana msanii tajika sana nchini Tanzania, Afrika Mashariki na kati na pengine kuliko wote kusini mwa jangwa la Sahara Naseeb Abdul, maarufu kama Diamond Platnumz, alisaini dili kubwa na moja kati ya recording label kubwa ya muziki dunia, Warner Music Group, kuhusu usambazaji wa kazi za...
  17. Nigrastratatract nerve

    JamiiForums Tanzania Jirani yangu tajiri mwenye maringo anataka mimi nitembee kwenda kwake nitumie nauli yangu lakini yeye ananitumia vijakazi wake

    Nina tajiri mwenye jeuri anataka nitumie hela zangu za watoto wangu nikamtembelee yeye wakati ninakoenda kuna mtoto wangu anaweza kuniwakilisha. Kama anachofanya yeyee kutotembelea majirani zake ili atunze hela za watoto wake inabidi pia hata mimi nitume mtoto wangu aliyeko huko hakuna haja ya...
  18. F

    JamiiForums Tanzania Tajiri wa Machame Safari, Clemence Mbowe akiona cha moto

    Mfanyabiashara Maarufu Clemence Mbowe anayemiliki mabasi ya Machame Safari amepata pigo baada ya mahakama kuamuru alipe shilingi Milioni 20 kama fidia kutokana na kuvamia eneo lisilo lake na kuanza ujenzi wa kituo cha mafuta kwa wamiliki halali wa eneo hilo David Kimambo na Donald Kimambo huku...
  19. Papaa Mobimba

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

    Jina hilo limepelekwa Bungeni na Mpambe wa Rais (ADC) Kanali Nyamburi Mashauri, na kukabidhiwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai. Spika Ndugai akisoma ujumbe wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema.. Mheshimiwa Spika, nawasilisha Bungeni Jina la Mheshimiwa Philip Isdori...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Ni rahisi kamba kupenya kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuingia mbinguni

    Habari wadau leo tudiscuss hii kauli Nadhani kuna ushahidi wa kutosha sasa kwamba kwenye ule mstari camel hakuwa ngamia bali ni kamba na viongozi wamekuwa wabishi kutengua io kauli wakihofia kuonekana vilaza, wamekazania eti ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la si ndano kuliko tajiri...
Back
Top Bottom