MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 18,857
- 38,605
Tajiri kijana mwenye hisa zake pale kwa timu bora Afrika Mashariki na namba mbili Afrika Mashariki na Kati
Na wa kumi na nne Afrika nzima na wa sabini na moja dunia nzima mbele ya Arsenal
Ameshaweka wazi kwamba msimu ujao kwa mabeberu pre-season
Sasa wale walioshindwa hata pre season kwa wapemba waige na hii
Halafu zinapotumika pesa hamuulizi ila zikiingia mnajifanya mna machungu kama ameibiwa babaako
Nyie machinga uzeni Jersey sisi tutauza soka kwa mkapa
Wao wana watu sisi tuna hela
Na wa kumi na nne Afrika nzima na wa sabini na moja dunia nzima mbele ya Arsenal
Ameshaweka wazi kwamba msimu ujao kwa mabeberu pre-season
Sasa wale walioshindwa hata pre season kwa wapemba waige na hii
Halafu zinapotumika pesa hamuulizi ila zikiingia mnajifanya mna machungu kama ameibiwa babaako
Nyie machinga uzeni Jersey sisi tutauza soka kwa mkapa
Wao wana watu sisi tuna hela