Asalaam Alaykum, Bwana Yesu asifiwe, Shalom, Tumsifu Yesu Kristo.
Kutokana na mambo yanayoendelea nchini kwa Sasa Kisiasa na kijamii.
Nami nikiwa mmoja wa raia wa Tanzania wanaotamani kuona Haki, amani na maendeleo yanatamalaki katika Taifa letu, kuanzia kesho nitaanza kuandika mfululizo...