taifa

The taifas (singular taifa, from Arabic: طائفة‎ ṭā'ifa, plural طوائف ṭawā'if, a party, band or faction) were the independent Muslim principalities of al-Andalus (Spain) that emerged from the decline and fall of the Umayyad Caliphate of Córdoba between 1009 and 1031. They were a recurring feature of Andalusian history. Conquered by the Almoravids in the late 11th century, on its collapse many taifas re-appeared only to be subsumed by the Almohads. The fall of the latter resulted in a final flourishing of the taifas, but by the end of the 13th century only one remained, Granada, the rest being incorporated into the Christian states of the north.

View More On Wikipedia.org
  1. Elimu story

    JamiiForums Tanzania SoC01 Uandaaji wa mazingira tamanishi na uboreshaji wa Sekta ya Elimu kwa tija ya maendeleo ya taifa katika sekta zote

    Habari wanaJF na wasomaji wote wa andiko hili. Hongereni na pilikapilika za ujenzi wa taifa. Utangulizi. Kumekuwa na misemo mingi sana ambayo imekuwa ikielezea maana na umuhimu wa elimu kwa mtu mmoja mmoja, familia, jamii na taifa kwa ujumla. Misemo kama: elimu ni ufunguo wa maisha, elimu ni...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Huu si wakati wa longolongo; Katiba Mpya, Tume Huru iwe ndiyo wimbo wa Taifa

    Naona kuna dalili za kuyahepesha madai ya katiba mpya na haswa tume huru ya uchaguzi, kuna harakati zimeibuka kutoka kusiko julikana na ni nyingi na zinakuwa kama moto wa nyasi kavu. Lengo likupinsha muelekeo ulioanza kubaleghe kwa maana uoga umeanza kuondoka juu ya kupiga makelele ya kudai...
  3. Prof Koboko

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima na wewe umechangia kuligharimu taifa hili. Acha tabia hii!

    Nimesikitishwa kwa kiasi kikubwa sana na huyu kiongozi ambaye pia ni mwakilishi wa wananchi wa jimbo la KAWE kwa kauli zake za kuligawa taifa. Ni kama vile mamlaka vinamchekea utafikiri yeye anatembea na pembe. Huyu mtu anatoka hadharani na kudiriki kusema eti Marehemu JPM alimpigia simu na...
  4. Greatest Of All Time

    JamiiForums Tanzania Timu ya Taifa ya Tunisia wakopi jezi ya Simba Sc

    Hapa kuna jezi ya Tunisia ya mwaka 2019-2020 na kuna jezi ya Simba 2021-2022. Jezi ya Tunisia imetengezwa na kampuni ya Kappa wakati jezi ya Simba imetengezwa na Vunja bei. Hongereni sana Simba na Vunja bei.
  5. BAK

    JamiiForums Tanzania Haki huinua Taifa na kuleta upendo

    Usiku huu nimeshindwa kuomba! Nimejikuta nikitokwa na machozi! Si machozi ya huzuni wala si machozi ya furaha! Ni machozi ya mshangao nikimshangaa Mungu! Nilikuwa nikitaka kuwaombea baadhi ya viongozi akiwemo Rais mpya wa Zambia! Ilipofika zamu yake nihimizwa moyoni kuwa niangalie kwanza taarifa...
  6. kavulata

    JamiiForums Tanzania Msuva awe nahodha wa timu ya Taifa Stars

    Mbwana bado anahangaikia hatima yake, mara Genk, mara Aston, mara Fenabache mara Ubelgiji tena. Nadhani mchango wake kwenye timu ya taifa hautoshi kuendelea kushikilia unahodha wa timu hii. Mchango wa Msuva ni mkubwa sana, anacheza kwa nguvu zake zote akiwa na timu yake ya taifa. kwanini...
  7. Opportunity Cost

    JamiiForums Tanzania Mliopo Uwanjani tupeni matokeo ya Taifa Stars Vs DRC

    Wadau wa mechi umofia. Nimeambiwa Taifa Stars 1 na DRC 1,ila somebody Lilayanti Lusajo yuko powa Sana sijui anachezea timu gani,ametoa pasi ya goli. Kila la heri Taifa Stars
  8. Ngaliwe

    JamiiForums Tanzania Kwa hili, Bunge mmeliheshimisha Taifa

    Ibara ya 18 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatoa uhuru wa kujieleza kwa kila raia wake bila tashishwi ili mradi tu, uhuru huo hauingilii, kuvunja kutweza na kufanya dhalili haki ya watu wengine kutumia uhuru wao kama ulivyotolewa na katiba yetu. Ibara hiyo inatanabahisha wazi...
  9. N

    JamiiForums Tanzania TLS kazi yao nini, uwepo wa chombo hiki una manufaa gani kwa nchi?

    Nimekuwa nikijiuliza maswali kadhaa 1. Watanzania tuna matatizo gani, pesa zinazoitwa za serikali in zetu siyo za viongozi kwanini wanazitumia hovyo alafu sisi tupo kimya? 2. Wabunge ambao inasemekana ni wawakilishi wetu ambao wanaisimamia serikali,in wawakilishi ukweli au wapo kwa maslahi yao...
  10. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania The Torch on Kilimanjaro: kitabu cha watoto kuhusu Historia ya Baba wa Taifa

    "THE TORCH ON KILIMANJARO" KITABU CHA WATOTO KUHUSU HISTORIA YA BABA WA TAIFA Miujiza ya Mwenyezi Mungu haiishi. Maofisa kutoka CCM Dodoma walikuwa wamemaliza mazungumzo na mimi kuhusu mengi katika historia ya Mwalimu Nyerere, TANU na mambo mengi yaliyotokea wakati wa kupigania uhuru wa...
  11. ADOLPH EMMANUEL

    JamiiForums Tanzania SoC01 Ukombozi wa Kifikra miongoni mwa Watanzania kwa Maendeleo ya Taifa

    Andiko hili linaelezea suala la ukombozi wa kifikra kwa Watanzania na Waafrika kwa ujumla kama nyenzo ya kujikomboa kiuchumi, kisiasa, kijamii na kiutamaduni. Jamii ya watu wasiojiamini, wenye akili iliyofungwa, wenye kuwategemea watu wengine wawaletee maendeleo, wasioweza kufikria hatima yao...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Madhara ya Utawala wa Awamu ya Tano yameanza kulitafuna taifa; Nani wa kulaumiwa?

    Ndugu zanguni habari za asubuhi. Ni shahiri dhahiri sasa tumeanza kuvuna tulichopanda. Sio mkubwa wala mdogo. Mwenye cheo wala asiye na cheo, tajiri wala maskini sote tumeanza kuonja joto la Jiwe. Hali ni tete. Sio polisi sio Raia. Sio mtuaji sio mteuliwa. Amani, Umoja, utulivu, heshima...
  13. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Katibu mkuu uvccm taifa azindua dar es salaam jogging club kwa kishindo

    KATIBU MKUU UVCCM TAIFA AZINDUA DAR ES SALAAM JOGGING CLUB KWA KISHINDO Katibu Mkuu wa Uvccm Taifa Ndugu Kenani Kihongosi (MNEC) leo amezindua Vijana Jogging Club Jijini Dar Es Salaam Iliyoandaliwa na UVCCM Mkoa Wa Dar Es Salaam ikiwa ni utekelezaji wa maagizo aliyoyatoa wakati akizindua...
  14. LellozWho

    JamiiForums Tanzania Miaka mitano ijayo 'betting' itaigharimu Tanzania kama taifa

    Najivunia kuzaliwa kabla ya mapinduzi ya teknolojia ya simu za mkononi/mitandao ya kijamii kwa ujumla. FACTS • 70% of Tanzania population ni vijana under 24yrs. • Nguvu kazi ya taifa ni vijana (40m) • Ukosefu wa ajira bado upo • Over 40m people use mobile phone • Kila kijana anataka mafanikio...
  15. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania CCM ni chama kinachotakiwa kufutwa mapema kwa ustawi wa Taifa

    Hiki chama ..kinatakiwa kufutwa haraka sana . Watu wengi wenye nia ovu na Taifa letu wamejifichà katika kivuli cha hiki chama. Wananchi wengi wanahitaji Amani ya kweli. :pPendekezo msajiri ebu futa hiki chama Mara moja . tunaitaji Tz imara isiyokuwa na vyama vyenye kulea watu waovu.
  16. Idugunde

    JamiiForums Tanzania CHADEMA chuki dhidi ya taifa lenu inatoka wapi? Kwa namna hii mnastahili hata kiti cha udiwani?

    Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo. Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno. Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba...
  17. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania Kuna kundi la vijana wa Kitanzania wanahusiana na makundi ya kigaidi. Kwa sasa hawa ndio maadui wa taifa letu

    Kuna vijana wengi sana wa kitanzania ambao walishakuwa brainwashed na kujiunga na makundi ya kigaidi kama Al shabab. Vijana wengi sana toka mikoa ya pwani, Tanga , Arusha walishajiunga na kundi la Al shababu na wengi tu walishawahi kuhudhuria mafunzo ya kigaidi huko Somalia. Hata hayati...
  18. L

    JamiiForums Tanzania SoC01 Dawa za Kulevya zinavyorudisha nyuma maendeleo ya Taifa

    Rashid Abdallah Makwiro mmoja kati ya wasanii bora zaidi wa Hip Hop nchini. Watu wengi hawawezi kulijua jina hili, huyu anafahamika kwa jina maarufu sana la Chid Benz. Unamkumbuka Chid Benz katika ubora wake akiwa karibu na kipaza sauti? Alitisha sana, ukibisha unachotakiwa kufanya ni kutafuta...
  19. Kididimo

    JamiiForums Tanzania Kama tumejiridhisha chanjo ya COVID-19 ni bora, tutangaze chanjo lazima kwa kila mtu ili kunusuru Taifa

    Mimi binafsi nimejiridhisha kupitia watu mbalimbali waliochanjwa ,kuwa chanjo zinazotolewa hapa nchini, zina uwezo wa kukinga uviko kwa kiwango cha kutosha. Na hii ni kwa wale waliopitisha zaidi ya wiki mbili hivi tangu kuchanjwa. Pia, nimeangalia matukio ya halaiki kama mpira wa miguu katika...
  20. Cvez

    JamiiForums Tanzania Kwa hiyo Semaji la Taifa itakuaje?

    Jana semaji la Taifa lilitua Morocco kuungana na mdhamini wake ila bahati mbaya kutokana na poor logistics zilizofanywa na wadhamini timu imeshindwa kuendelea na kambi. Sasa sijui semaji nalo litarudi na timu au ataendelea kula upepo hapo Jijini Marrakech?
Back
Top Bottom