Hakuna Taifa lililoendelea kwa ziara za Rais Nje ya Nchi

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,679
40,931
Naunga mkono jitihada za kuifungua nchi, ila sikubaliani na approach inayotumika katika kufanya hivyo.

Ni kweli tunahitaji wawekezaji , ni kweli tunahitaji ajira lakini namna tunavyowatafuta na kushirikiana nao sioni hiyo faida inayosemekena itapatikana.

Tunaweka mazingira mazuri ya uwekezaji ndio , at the expense ya kurisk rasilimali zetu lakini tunachokipata hakilingani na risk yenyewe.

Hizo Multinational Corporations ni wazoefu wa kufanya investments katika developing countries, wanajua namna ya kufanya ili kupata faida.

Wanajua udhaifu wa watendaji na viongozi wa developing countries, na pia wana wataalam lukuki wa namna ya kukwepa kodi , hivyo naamini kabisa kuwa hatutaambulia chochote. Historia ni shahidi na tumeona namna Accacia ilivyotufanya over the years.

Moja ya mambo ambayo wawekezaji hao wanayataka ni upatikanaji kwa urahisi kwa Work Permit.
Sasa kama tunataka watanzania wafaidike na hizo ajira sioni namna gani watafaidika nazo kama wageni nao watafurika kupigania hizo nafasi.

Hao wawekezaji ndio hulalamika kuwa watanzania hawaajiriki kwakua ni wezi, hivyo wanapenda kutoa wafanyakazi nje ya nchi sasa kama watanzania ni wezi, kwanini wageni wanapewa nafasi ya kuwekeza katika nchi ya wezi.

Kwakweli sijawahi kuona nchi ikipata maendeleo kwa njia ya uwekezaji wa Taifa jingine.

Kwa Mfano Rais wa Taifa kubwa kabisa lenye uchumi mkubwa marekani , Bwn Trump katika kipindi cha miaka mi nne alisafiri mara 19 tu katika nchi 24 duniani, sasa Rais wetu kwa miezi sita tu anazo safari zaidi ya 6 unaweza ona miaka yake 10 itakua na safari si chini ya mia na zaidi.

Tunapenda nchi yetu iendelee na ifunguke lakini tujadiliane na kuangalia ni namna gani tunaweza kufanya hivyo na tukanufaika, ila binafsi sioni kama kusafiri sana nje ya nchi ndio suluhu, na pia sioni sana kama Foreign Direct Investment ni suluhu tosha.

Nawasilisha.
 
Tanzania pagumu sana. Sasa hivi wameshapitisha amendments za kuwaongezea wageni muda wa vibali vya kazi kutoka cumulative 5 years hadi 8. Sasa ajira kwa wazawa zitatoka wapi? Mtoto hadi anaingia sekondari huyo mgeni yupo yupo tu...

Swali je, kuna huo urahisi wa ajira kwa watanzania nchi anazozitembelea Madame President??? Sasa hawa expats hawana muda wa kutransfer skills.... huku unemployment levels za graduates zinaongezeka. Sad story our beloved country.
 
Naunga mkono jitihada za kuifungua nchi, ila sikubaliani na approach inayotumika katika kufanya hivyo.

Ni kweli tunahitaji wawekezaji , ni kweli tunahitaji ajira lakini namna tunavyowatafuta na kushirikiana nao sioni hiyo faida inayosemekena itapatikana.

Tunaweka mazingira mazuri ya uwekezaji ndio , at the expense ya kurisk rasilimali zetu lakini tunachokipata hakilingani na risk yenyewe.

Hizo Multinational Corporations ni wazoefu wa kufanya investments katika developed countries, wanajua namna ya kufanya ili kupata faida.

Wanajua udhaifu wa watendaji na viongozi wa developed countries, na pia wana wataalam lukuki wa namna ya kukwepa kodi , hivyo naamini kabisa kuwa hatutaambulia chochote. Historia ni shahidi na tumeona namna Accacia ilivyotufanya over the years.

Moja ya mambo ambayo wawekezaji hao wanayataka ni upatikanaji kwa urahisi kwa Work Permit.
Sasa kama tunataka watanzania wafaidike na hizo ajira sioni namna gani watafaidika nazo kama wageni nao watafurika kupigania hizo nafasi.

Hao wawekezaji ndio hulalamika kuwa watanzania hawaajiriki kwakua ni wezi, hivyo wanapenda kutoa wafanyakazi nje ya nchi sasa kama watanzania ni wezi, kwanini wageni wanapewa nafasi ya kuwekeza katika nchi ya wezi.

Kwakweli sijawahi kuona nchi ikipata maendeleo kwa njia ya uwekezaji wa Taifa jingine.

Kwa Mfano Rais wa Taifa kubwa kabisa lenye uchumi mkubwa marekani , Bwn Trump katika kipindi cha miaka mi nne alisafiri mara 19 tu katika nchi 24 duniani, sasa Rais wetu kwa miezi sita tu anazo safari zaidi ya 6 unaweza ona miaka yake 10 itakua na safari si chini ya mia na zaidi.

Tunapenda nchi yetu iendelee na ifunguke lakini tujadiliane na kuangalia ni namna gani tunaweza kufanya hivyo na tukanufaika, ila binafsi sioni kama kusafiri sana nje ya nchi ndio suluhu, na pia sioni sana kama Direct Foreign Investment ni suluhu tosha.

Nawasilisha.
Foreign Direct Investment ni muhimu katika kuzalisha ajira, hebu tuambie strategy gani wewe unaweza kuitumia kupromote ajira?

#Mama zunguka tuletee wawekezaji vijana wapate ajira,waoe wawe na familia na wao wawekeze waajiri wengine.
 
Tanzania pagumu sana. Sasa hivi wameshapitisha amendments za kuwaongezea wageni muda wa vibali vya kazi kutoka cumulative 5 years hadi 8. Sasa ajira kwa wazawa zitatoka wapi? Mtoto hadi anaingia sekondari huyo mgeni yupo yupo tu...

Swali je, kuna huo urahisi wa ajira kwa watanzania nchi anazozitembelea Madame President??? Sasa hawa expats hawana muda wa kutransfer skills.... huku unemployment levels za graduates zinaongezeka. Sad story our beloved country.
Loud and clear",understood"
 
Naunga mkono jitihada za kuifungua nchi, ila sikubaliani na approach inayotumika katika kufanya hivyo.

Ni kweli tunahitaji wawekezaji , ni kweli tunahitaji ajira lakini namna tunavyowatafuta na kushirikiana nao sioni hiyo faida inayosemekena itapatikana.

Tunaweka mazingira mazuri ya uwekezaji ndio , at the expense ya kurisk rasilimali zetu lakini tunachokipata hakilingani na risk yenyewe.

Hizo Multinational Corporations ni wazoefu wa kufanya investments katika developed countries, wanajua namna ya kufanya ili kupata faida.

Wanajua udhaifu wa watendaji na viongozi wa developed countries, na pia wana wataalam lukuki wa namna ya kukwepa kodi , hivyo naamini kabisa kuwa hatutaambulia chochote. Historia ni shahidi na tumeona namna Accacia ilivyotufanya over the years.

Moja ya mambo ambayo wawekezaji hao wanayataka ni upatikanaji kwa urahisi kwa Work Permit.
Sasa kama tunataka watanzania wafaidike na hizo ajira sioni namna gani watafaidika nazo kama wageni nao watafurika kupigania hizo nafasi.

Hao wawekezaji ndio hulalamika kuwa watanzania hawaajiriki kwakua ni wezi, hivyo wanapenda kutoa wafanyakazi nje ya nchi sasa kama watanzania ni wezi, kwanini wageni wanapewa nafasi ya kuwekeza katika nchi ya wezi.

Kwakweli sijawahi kuona nchi ikipata maendeleo kwa njia ya uwekezaji wa Taifa jingine.

Kwa Mfano Rais wa Taifa kubwa kabisa lenye uchumi mkubwa marekani , Bwn Trump katika kipindi cha miaka mi nne alisafiri mara 19 tu katika nchi 24 duniani, sasa Rais wetu kwa miezi sita tu anazo safari zaidi ya 6 unaweza ona miaka yake 10 itakua na safari si chini ya mia na zaidi.

Tunapenda nchi yetu iendelee na ifunguke lakini tujadiliane na kuangalia ni namna gani tunaweza kufanya hivyo na tukanufaika, ila binafsi sioni kama kusafiri sana nje ya nchi ndio suluhu, na pia sioni sana kama Direct Foreign Investment ni suluhu tosha.

Nawasilisha.
Hivi kumbe na wewe ni sukuma gang?
 
Tanzania pagumu sana. Sasa hivi wameshapitisha amendments za kuwaongezea wageni muda wa vibali vya kazi kutoka cumulative 5 years hadi 8. Sasa ajira kwa wazawa zitatoka wapi? Mtoto hadi anaingia sekondari huyo mgeni yupo yupo tu...

Swali je, kuna huo urahisi wa ajira kwa watanzania nchi anazozitembelea Madame President??? Sasa hawa expats hawana muda wa kutransfer skills.... huku unemployment levels za graduates zinaongezeka. Sad story our beloved country.


Interesting..
 
Naunga mkono jitihada za kuifungua nchi, ila sikubaliani na approach inayotumika katika kufanya hivyo.

Ni kweli tunahitaji wawekezaji , ni kweli tunahitaji ajira lakini namna tunavyowatafuta na kushirikiana nao sioni hiyo faida inayosemekena itapatikana.

Tunaweka mazingira mazuri ya uwekezaji ndio , at the expense ya kurisk rasilimali zetu lakini tunachokipata hakilingani na risk yenyewe.

Hizo Multinational Corporations ni wazoefu wa kufanya investments katika developed countries, wanajua namna ya kufanya ili kupata faida.

Wanajua udhaifu wa watendaji na viongozi wa developed countries, na pia wana wataalam lukuki wa namna ya kukwepa kodi , hivyo naamini kabisa kuwa hatutaambulia chochote. Historia ni shahidi na tumeona namna Accacia ilivyotufanya over the years.

Moja ya mambo ambayo wawekezaji hao wanayataka ni upatikanaji kwa urahisi kwa Work Permit.
Sasa kama tunataka watanzania wafaidike na hizo ajira sioni namna gani watafaidika nazo kama wageni nao watafurika kupigania hizo nafasi.

Hao wawekezaji ndio hulalamika kuwa watanzania hawaajiriki kwakua ni wezi, hivyo wanapenda kutoa wafanyakazi nje ya nchi sasa kama watanzania ni wezi, kwanini wageni wanapewa nafasi ya kuwekeza katika nchi ya wezi.

Kwakweli sijawahi kuona nchi ikipata maendeleo kwa njia ya uwekezaji wa Taifa jingine.

Kwa Mfano Rais wa Taifa kubwa kabisa lenye uchumi mkubwa marekani , Bwn Trump katika kipindi cha miaka mi nne alisafiri mara 19 tu katika nchi 24 duniani, sasa Rais wetu kwa miezi sita tu anazo safari zaidi ya 6 unaweza ona miaka yake 10 itakua na safari si chini ya mia na zaidi.

Tunapenda nchi yetu iendelee na ifunguke lakini tujadiliane na kuangalia ni namna gani tunaweza kufanya hivyo na tukanufaika, ila binafsi sioni kama kusafiri sana nje ya nchi ndio suluhu, na pia sioni sana kama Direct Foreign Investment ni suluhu tosha.

Nawasilisha.
Tulia washamba waoneshwe nchi inavyo ongozwa na wazoefu.
 
Naunga mkono jitihada za kuifungua nchi, ila sikubaliani na approach inayotumika katika kufanya hivyo.

Ni kweli tunahitaji wawekezaji , ni kweli tunahitaji ajira lakini namna tunavyowatafuta na kushirikiana nao sioni hiyo faida inayosemekena itapatikana.

Tunaweka mazingira mazuri ya uwekezaji ndio , at the expense ya kurisk rasilimali zetu lakini 7tunachokipata hakilingani na risk yenyewe.

Hizo Multinational Corporations ni wazoefu wa kufanya investments katika developed countries, wanajua namna ya kufanya ili kupata faida.

Wanajua udhaifu wa watendaji na viongozi wa developed countries, na pia wana wataalam lukuki wa namna ya kukwepa kodi , hivyo naamini kabisa kuwa hatutaambulia chochote. Historia ni shahidi na tumeona namna Accacia ilivyotufanya over the years.

Moja ya mambo ambayo wawekezaji hao wanayataka ni upatikanaji kwa urahisi kwa Work Permit.
Sasa kama tunataka watanzania wafaidike na hizo ajira sioni namna gani watafaidika nazo kama wageni nao watafurika kupigania hizo nafasi.

Hao wawekezaji ndio hulalamika kuwa watanzania hawaajiriki kwakua ni wezi, hivyo wanapenda kutoa wafanyakazi nje ya nchi sasa kama watanzania ni wezi, kwanini wageni wanapewa nafasi ya kuwekeza katika nchi ya wezi.

Kwakweli sijawahi kuona nchi ikipata maendeleo kwa njia ya uwekezaji wa Taifa jingine.

Kwa Mfano Rais wa Taifa kubwa kabisa lenye uchumi mkubwa marekani , Bwn Trump katika kipindi cha miaka mi nne alisafiri mara 19 tu katika nchi 24 duniani, sasa Rais wetu kwa miezi sita tu anazo safari zaidi ya 6 unaweza ona miaka yake 10 itakua na safari si chini ya mia na zaidi.

Tunapenda nchi yetu iendelee na ifunguke lakini tujadiliane na kuangalia ni namna gani tunaweza kufanya hivyo na tukanufaika, ila binafsi sioni kama kusafiri sana nje ya nchi ndio suluhu, na pia sioni sana kama Direct Foreign Investment ni suluhu tosha.

Nawasilisha.
Mnaparuana wenyewe kwa wenyewe. Una maumivu makali ndugu yako Sabaya ataozea nyuma ya nondo. Dogo kuwa mpole shauri zako ukiendelea na kiherehere utawekewa tena vipande vya chupa kwenye msosi.

Kama ukijua ungeshabikia na kuunga mkono upinzani Chadema na Mbowe kwani tukichukua nchi siku 100 za mwanzo tunatandaza mkeka lami ya uhakika toka Sanya juu hadi kwenu huko Longido
 
Naunga mkono jitihada za kuifungua nchi, ila sikubaliani na approach inayotumika katika kufanya hivyo.

Ni kweli tunahitaji wawekezaji , ni kweli tunahitaji ajira lakini namna tunavyowatafuta na kushirikiana nao sioni hiyo faida inayosemekena itapatikana.

Tunaweka mazingira mazuri ya uwekezaji ndio , at the expense ya kurisk rasilimali zetu lakini tunachokipata hakilingani na risk yenyewe.

Hizo Multinational Corporations ni wazoefu wa kufanya investments katika developed countries, wanajua namna ya kufanya ili kupata faida.

Wanajua udhaifu wa watendaji na viongozi wa developed countries, na pia wana wataalam lukuki wa namna ya kukwepa kodi , hivyo naamini kabisa kuwa hatutaambulia chochote. Historia ni shahidi na tumeona namna Accacia ilivyotufanya over the years.

Moja ya mambo ambayo wawekezaji hao wanayataka ni upatikanaji kwa urahisi kwa Work Permit.
Sasa kama tunataka watanzania wafaidike na hizo ajira sioni namna gani watafaidika nazo kama wageni nao watafurika kupigania hizo nafasi.

Hao wawekezaji ndio hulalamika kuwa watanzania hawaajiriki kwakua ni wezi, hivyo wanapenda kutoa wafanyakazi nje ya nchi sasa kama watanzania ni wezi, kwanini wageni wanapewa nafasi ya kuwekeza katika nchi ya wezi.

Kwakweli sijawahi kuona nchi ikipata maendeleo kwa njia ya uwekezaji wa Taifa jingine.

Kwa Mfano Rais wa Taifa kubwa kabisa lenye uchumi mkubwa marekani , Bwn Trump katika kipindi cha miaka mi nne alisafiri mara 19 tu katika nchi 24 duniani, sasa Rais wetu kwa miezi sita tu anazo safari zaidi ya 6 unaweza ona miaka yake 10 itakua na safari si chini ya mia na zaidi.

Tunapenda nchi yetu iendelee na ifunguke lakini tujadiliane na kuangalia ni namna gani tunaweza kufanya hivyo na tukanufaika, ila binafsi sioni kama kusafiri sana nje ya nchi ndio suluhu, na pia sioni sana kama Direct Foreign Investment ni suluhu tosha.

Nawasilisha.
Raisi wa nchi hawezi kukwepa kusafiri acheni kukariri
 
Naunga mkono jitihada za kuifungua nchi, ila sikubaliani na approach inayotumika katika kufanya hivyo.

Ni kweli tunahitaji wawekezaji , ni kweli tunahitaji ajira lakini namna tunavyowatafuta na kushirikiana nao sioni hiyo faida inayosemekena itapatikana.

Tunaweka mazingira mazuri ya uwekezaji ndio , at the expense ya kurisk rasilimali zetu lakini tunachokipata hakilingani na risk yenyewe.

Hizo Multinational Corporations ni wazoefu wa kufanya investments katika developed countries, wanajua namna ya kufanya ili kupata faida.

Wanajua udhaifu wa watendaji na viongozi wa developed countries, na pia wana wataalam lukuki wa namna ya kukwepa kodi , hivyo naamini kabisa kuwa hatutaambulia chochote. Historia ni shahidi na tumeona namna Accacia ilivyotufanya over the years.

Moja ya mambo ambayo wawekezaji hao wanayataka ni upatikanaji kwa urahisi kwa Work Permit.
Sasa kama tunataka watanzania wafaidike na hizo ajira sioni namna gani watafaidika nazo kama wageni nao watafurika kupigania hizo nafasi.

Hao wawekezaji ndio hulalamika kuwa watanzania hawaajiriki kwakua ni wezi, hivyo wanapenda kutoa wafanyakazi nje ya nchi sasa kama watanzania ni wezi, kwanini wageni wanapewa nafasi ya kuwekeza katika nchi ya wezi.

Kwakweli sijawahi kuona nchi ikipata maendeleo kwa njia ya uwekezaji wa Taifa jingine.

Kwa Mfano Rais wa Taifa kubwa kabisa lenye uchumi mkubwa marekani , Bwn Trump katika kipindi cha miaka mi nne alisafiri mara 19 tu katika nchi 24 duniani, sasa Rais wetu kwa miezi sita tu anazo safari zaidi ya 6 unaweza ona miaka yake 10 itakua na safari si chini ya mia na zaidi.

Tunapenda nchi yetu iendelee na ifunguke lakini tujadiliane na kuangalia ni namna gani tunaweza kufanya hivyo na tukanufaika, ila binafsi sioni kama kusafiri sana nje ya nchi ndio suluhu, na pia sioni sana kama Direct Foreign Investment ni suluhu tosha.

Nawasilisha.
Raisi kikwete alisafili kila taifa kwa kipindi chake lakini tatizo la ajira lilikuwa linaitwa bomu la taifa,

Alikutana na hao wanaoitwa wawekezaji na wengine wakawa matapeli lakini uchumi bado ukawa chini na nchi ikaendelea kuitwa masikini na watu wenye shida wengi.

Kama alikuja obama akaja clinton akaja bill gate na wengine,
Ikasainiwa mikataba ishilini kwa raisi wa china lakini mpaka sasa umasikini upo palepale na hakuna tathimini ya kuonyesha watazania wamefaidikaje na hao watu, na inchi yenye rasilimali kibao
Sasa huyu wa sasa atamleta nani atakaewashinda wale wa kikwete?

Kwa sasa tunamsubili yesu na muhamad pekee labda ndo watamaliza hizi shida za uwekezaji kama tumeshindwa kutumia akili zetu sisi kama taifa.

Raisi akae atulie, wenye shida ya uwekezaji watakuja tu kwa kua kila kitu tunacho hapa TZ, najua watajileta tu kuliko kuongeza matumizi yasiokua na faida zaidi ya kulamba hata kile tulicho kusanya.
 
Raisi kikwete alisafili kila taifa kwa kupindi chake lakini tatizo la ajira lilikuwa linaitwa bomu la taifa,

Alikutana na hao wanaoitwa wawekezaji na wengine wakawa matapeli lakini uchumi bado ukawa chini na nchi ikaendelea kuitwa masikini na watu wenye shida wengi.

Kama alikuja obama akaja clinton akaja bill gate na wengine,
Ikasainiwa mikataba ishilini kwa raisi wa china lakini mpaka sasa umasikini upo palepale nabhakuna tathimini ya kuonyesha watazania wamefaidikaje na hao watu na inchi yenye rasilimali kibao
Sasa huyu wa sasa atamleta nani atakaewashinda wale wa kikwete?

Kwa sasa tunamsubili yesu na muhamad pekee labda ndo watamaliza hizi shida za uwekezaji kama tumeshindwa kutumia akili zetu sisi kama taifa.

Raisi akae atulie, wenye shida ya uwekezaji watakuja tu kwa kua kila kitu tunacho hapa TZ, najua watajileta tu kuliko kuongeza matumizi yasiokua na faida zaidi ya kulamba hata kile tulicho kusanya.
Umemelaza kila kitu hapo chini,wewe una dhahabu anayetaka atakuja tu,ukimufuata atakupa mashariti anayotaka yeye.
Rais wetu sijui kadanganywa na Nani tu! Maana aliona kila kitu JPM alivyofanya.
Au wanafikiri alikuwa mwehu.
 
Naunga mkono jitihada za kuifungua nchi, ila sikubaliani na approach inayotumika katika kufanya hivyo.

Ni kweli tunahitaji wawekezaji , ni kweli tunahitaji ajira lakini namna tunavyowatafuta na kushirikiana nao sioni hiyo faida inayosemekena itapatikana.

Tunaweka mazingira mazuri ya uwekezaji ndio , at the expense ya kurisk rasilimali zetu lakini tunachokipata hakilingani na risk yenyewe.

Hizo Multinational Corporations ni wazoefu wa kufanya investments katika developed countries, wanajua namna ya kufanya ili kupata faida.

Wanajua udhaifu wa watendaji na viongozi wa developed countries, na pia wana wataalam lukuki wa namna ya kukwepa kodi , hivyo naamini kabisa kuwa hatutaambulia chochote. Historia ni shahidi na tumeona namna Accacia ilivyotufanya over the years.

Moja ya mambo ambayo wawekezaji hao wanayataka ni upatikanaji kwa urahisi kwa Work Permit.
Sasa kama tunataka watanzania wafaidike na hizo ajira sioni namna gani watafaidika nazo kama wageni nao watafurika kupigania hizo nafasi.

Hao wawekezaji ndio hulalamika kuwa watanzania hawaajiriki kwakua ni wezi, hivyo wanapenda kutoa wafanyakazi nje ya nchi sasa kama watanzania ni wezi, kwanini wageni wanapewa nafasi ya kuwekeza katika nchi ya wezi.

Kwakweli sijawahi kuona nchi ikipata maendeleo kwa njia ya uwekezaji wa Taifa jingine.

Kwa Mfano Rais wa Taifa kubwa kabisa lenye uchumi mkubwa marekani , Bwn Trump katika kipindi cha miaka mi nne alisafiri mara 19 tu katika nchi 24 duniani, sasa Rais wetu kwa miezi sita tu anazo safari zaidi ya 6 unaweza ona miaka yake 10 itakua na safari si chini ya mia na zaidi.

Tunapenda nchi yetu iendelee na ifunguke lakini tujadiliane na kuangalia ni namna gani tunaweza kufanya hivyo na tukanufaika, ila binafsi sioni kama kusafiri sana nje ya nchi ndio suluhu, na pia sioni sana kama Direct Foreign Investment ni suluhu tosha.

Nawasilisha.
Mwambieni huko kwenye vikao vya chama.
 
Back
Top Bottom