Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,669
- 40,917
Inafahamika kwamba Vietnam ndiye mnunuzi mkubwa wa Korosho hapa nchini na muuzaji mkubwa wa zao hilo katika nchi za ulaya na Marekani.
Katika mwaka 2019 alifanya biashara ya korosho yenye kiasi cha thamani ya Bilioni 3 za Kimarekani ( sawa na Shilingi Trilioni sita za Kitanzania)
Katika siku za hivi karibuni , Balozi wa Vietnam hapa nchini alifanya ziara ya kimkakati mkoani mtwara kuangalia fursa za wafanyabiashara toka taifa hilo mkoani humo.
Moja kati ya mambo yaliyoteka hisia za wengi ni dhamira yao ya kujenga kiwanda cha kuongeza thamani ya zao hilo hapa nchini.
Kinachofanyika ni kuongeza thamani ya zao tu na sio kutengeneza final product kama ile inayotengenezwa nchini mwao na kuisamabaza katika nchi za Ulaya na marekani.
Kinachoonekana hapa ni kuwa mnunuzi mkuu, amekuja hapa kulilinda soko lake la korosho kwa kuhakikisha kwamba yeye anamabia mnunuzi mkuu na muuzaji mkuu bila ushindani toka kwa mwingine.
Swali langu ni kuwa kama kweli Vietnam wanataka kuisaidia Tanzania kwanini wasijenge kiwanda kitachotengeneza final product kama za kule kwao Vietnam.
Ni jambo gani linaizuia serikali kujenga kiwanda huko mtwara na kuiuza korosho hiyo katika masoko ya Ulaya na Marekani.
Kuna faida gani ya kukubali uwekezaji wa Vietnam ambaye ananunua ili akauze kwingine kwa faida ya juu.
Katika mwaka 2019 alifanya biashara ya korosho yenye kiasi cha thamani ya Bilioni 3 za Kimarekani ( sawa na Shilingi Trilioni sita za Kitanzania)
Katika siku za hivi karibuni , Balozi wa Vietnam hapa nchini alifanya ziara ya kimkakati mkoani mtwara kuangalia fursa za wafanyabiashara toka taifa hilo mkoani humo.
Moja kati ya mambo yaliyoteka hisia za wengi ni dhamira yao ya kujenga kiwanda cha kuongeza thamani ya zao hilo hapa nchini.
Kinachofanyika ni kuongeza thamani ya zao tu na sio kutengeneza final product kama ile inayotengenezwa nchini mwao na kuisamabaza katika nchi za Ulaya na marekani.
Kinachoonekana hapa ni kuwa mnunuzi mkuu, amekuja hapa kulilinda soko lake la korosho kwa kuhakikisha kwamba yeye anamabia mnunuzi mkuu na muuzaji mkuu bila ushindani toka kwa mwingine.
Swali langu ni kuwa kama kweli Vietnam wanataka kuisaidia Tanzania kwanini wasijenge kiwanda kitachotengeneza final product kama za kule kwao Vietnam.
Ni jambo gani linaizuia serikali kujenga kiwanda huko mtwara na kuiuza korosho hiyo katika masoko ya Ulaya na Marekani.
Kuna faida gani ya kukubali uwekezaji wa Vietnam ambaye ananunua ili akauze kwingine kwa faida ya juu.
The European market potential for cashew nuts | CBI
The popularity of nuts as a source of healthy fats, protein and fibre is driving the increase in demand for cashews on the European market. European cashew nut consumers still prefer cashew nuts as simple, roasted, salty snacks, but consumption of unsalted and less-processed cashew nuts is also...
www.cbi.eu