kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,233
- 12,508
Katika hali ya kawaida watanzania wanafikishwa mahali pabaya na utawala wa CCM. Kuibinya demokrasia kwenye taifa kunasababisha taifa kupata raia wakakamavu sana bila sababu.
Utawala wa makaburu, wareno, Idd Amin, au Gadaffi ulizaa raia wakakamavu sana kwenye mataifa hayo.
Kazi ya ulinzi inakuwa ngumu sana kama Serikali inayotawala ikiiminya demokrasia ya wazi. Hii inasababisha hata magaidi kupata sehemu za kufikia kiurahisi sana ndani ya nchi, kunasababisha vyama vya upinzani na waumini wa mabadiliko kujaa fukuto kwenye ubongo wao.
Kupiga marufuku shughuli za vyama vya siasa nchini na mambo yanayofanyika kwenye chaguzi sio afya kwa ulinzi na usalama wa taifa katika zama hizi.
Hakuna ubishi kuwa demokrasia ya aina hii inatoa kazi ya ziada kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama nchini. Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wapeni angalizo wanasiasa kuhusu aina hii ya demokrasia katika zama hizi za utandawaazi.
Ni wazi kuwa aina hii ya demokrasia itazaa akina mbowe wengi sana. Ni ukweli kuwa kesi hii itakwenda hadi 2025 ili wapinzani wawe bize na kesi badala ya kuimarisha demokrasia nchini.
Kama hukumu itatolewa mwezi July 2025 na uchaguzi ukawa October 2025 Kutakuwa na nini tena hapo?
Nionavyo Mimi sisi tunapita lakini Taifa halipiti, taifa ni kubwa kuliko mtu au kikundi, tuifikirie zaidi Tanzania kuliko madaraka na kundi, maana Iko siku historia yetu itaandikwa upya, IPO siku Mali zitagawanywa upya kwa usawa, nyumba yako iko siku itageuka kuwa hostel ya wanafunzi kutokana na ulivyoipata Leo, hata punje moja ya wizi itarejea kwa wenyewe.
Utawala wa makaburu, wareno, Idd Amin, au Gadaffi ulizaa raia wakakamavu sana kwenye mataifa hayo.
Kazi ya ulinzi inakuwa ngumu sana kama Serikali inayotawala ikiiminya demokrasia ya wazi. Hii inasababisha hata magaidi kupata sehemu za kufikia kiurahisi sana ndani ya nchi, kunasababisha vyama vya upinzani na waumini wa mabadiliko kujaa fukuto kwenye ubongo wao.
Kupiga marufuku shughuli za vyama vya siasa nchini na mambo yanayofanyika kwenye chaguzi sio afya kwa ulinzi na usalama wa taifa katika zama hizi.
Hakuna ubishi kuwa demokrasia ya aina hii inatoa kazi ya ziada kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama nchini. Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wapeni angalizo wanasiasa kuhusu aina hii ya demokrasia katika zama hizi za utandawaazi.
Ni wazi kuwa aina hii ya demokrasia itazaa akina mbowe wengi sana. Ni ukweli kuwa kesi hii itakwenda hadi 2025 ili wapinzani wawe bize na kesi badala ya kuimarisha demokrasia nchini.
Kama hukumu itatolewa mwezi July 2025 na uchaguzi ukawa October 2025 Kutakuwa na nini tena hapo?
Nionavyo Mimi sisi tunapita lakini Taifa halipiti, taifa ni kubwa kuliko mtu au kikundi, tuifikirie zaidi Tanzania kuliko madaraka na kundi, maana Iko siku historia yetu itaandikwa upya, IPO siku Mali zitagawanywa upya kwa usawa, nyumba yako iko siku itageuka kuwa hostel ya wanafunzi kutokana na ulivyoipata Leo, hata punje moja ya wizi itarejea kwa wenyewe.