Nape na ombi la CAG kukagua mikopo; kuna watu wamepanic!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,314
24,176
CAG kimsingi amekubali kukagua fedha za mikopo iliyoingiwa na serikali ya Awamu ya 5.

CAG Kichere amesha sema anasubiri maelekezo tu.

Kutokana na mijadala, hata humu JF, kuna watu wamepanic.

Kisirisiri wengi wanajua fedha zilivyoliwa, mitambo nyeti imenunuliwa at inflated prices, na hakuna aliyeuliza.

Miradi haikuhakikiwa na bunge, hilo linajulikana.

Nenda Tegeta A, Mbweni na kwingineko, majumba yalipaa kama uyoga, na ni watu fulani tu.

Nape umetonesha kidonda.
 
Huo uchunguzi ukishafanyika ikagunduoika kuna watu waliharibu hao wahusika watachukuliwa hatua au watafichwa kama ile ripoti ya fedha zilizochotwa BOT Magufuli alipofariki?

Huyu Nape naamini kabisa anapiga hizo kelele kwa malengo yake binafsi kisiasa ili akamate nyumbu wake, lakini anazijua vizuri tabia za chama chake kuwalinda wahalifu, anajua hakuna watakachofanywa hizi kelele zake ni upepo tu utapita.
 
Huo uchunguzi ukishafanyika ikagunduoika kuna watu waliharibu hao wahusika watachukuliwa hatua au watafichwa kama ile ripoti ya fedha zilizochotwa BOT Magufuli alipofariki?

Huyu Nape naamini kabisa anapiga hizo kelele kwa malengo yake binafsi kisiasa ili akamate nyumbu wake, lakini anazijua vizuri tabia za chama chake kuwalinda wahalifu, anajua hakuna watakachofanywa hizi kelele zake ni upepo tu utapita.
Waziri wa fedha wa kipindi hicho ndio makamu wa rais sa hivi.Watamfanya Nini?
 
Zimbabwe kuna waziri alikumbwa na tuhuma za rushwa, na kwakua ilimhusisha mkuu, walipomfuata kumhoji akasema "go on but I will not sink alone" aliishia kubadilishwa wizara tu.

Nnachotaka kusema ni kwamba, hata ukifanyika ukaguzi madudu yakabainika, hakuna wa kumuwajibisha mwenzake, wengi sio wasafi. Watu ni walewale waliokuwepo awamu iliyopita.

Nnachojiuliza sasa, Nnnnape anafanya haya yote sasa hivi kwa uzalendo au kwa vile hakunufaika na ufisadi?
 
CAG kimsingi amekubali kukagua fedha za mikopo iliyoingiwa na serikali ya Awamu ya 5.

CAG Kichere amesha sema anasubiri maelekezo tu.

Kutokana na mijadala, hata humu JF, kuna watu wamepanic.

Kisirisiri wengi wanajua frdha zilivyoliwa, mitambo nyeti imenunuliwa st inflated prices, na hakuna aliyeuliza.

Miradi haikuhakikiwa na bunge, hilo linajulikana.

Nenda Tegeta A, Mbweni na kwingineko, majumba yalipaa kama uyoga, na ni watu fulani tu.

Nape umetonesha kidonda.
Msumeno hukata ukienda mbele na nyuma, tunaomba wao wachunguzwe na yeye achunguzwe
 
Kuna kitu hawa wanasiasa lazima wakijue, kwanza hakuna mtanzania wakudanganywa kwa miaka hii, pili dunia imebadirika sana kiasi kwamba tunazo kumbukumbu zote na yote yaliyofanyika kabla ya Late John Joseph Pombe na yanayoendelea sasa.

Tusianze na lolote lile kati ya Richmond au Dowans either wanajua kila kitu or wanatafuta kumchafua mtu kwa kile alichofanya kuonekana was fashisti than those still living, hii ni nchi yetu sote siyo ya wezi na wanyang'anyi flani.

Huyo CAG tutamuomba arudi kuanzia nyuma wkt mmea ndiyo umeamishiwa eneo lingine ukiwa bado haujazoea aridhi mpya.
 
Wale walioshiriki kumwondoa CAG Prof Hasad kinyemela bado wapo kwenye viti vyao na wote tunawaona wanavyojivunia ushetani wao.
Jaji mkuu akijifanya HAONI wakati katiba hii hii mbofumbofu nayo inavunjwavunjwa waziwazi.
Ninasuburi kwa hamu kuiona HIYO miujiza mipya ya BUNGEZUZU
 
Zimbabwe kuna waziri alikumbwa na tuhuma za rushwa, na kwakua ilimhusisha mkuu, walipomfuata kumhoji akasema "go on but I will not sink alone" aliishia kubadilishwa wizara tu.

Nnachotaka kusema ni kwamba, hata ukifanyika ukaguzi madudu yakabainika, hakuna wa kumuwajibisha mwenzake, wengi sio wasafi. Watu ni walewale waliokuwepo awamu iliyopita.

Nnachojiuliza sasa, Nnnnape anafanya haya yote sasa hivi kwa uzalendo au kwa vile hakunufaika na ufisadi?

Ukiangalia sana Nape ana hasira amewekwa pembeni, anataka akumbukwe nae anyamazishwe kwa kupewa ulaji, Nape ni mnafiki sana, sasa hivi anapiga kelele kwakuwa hayuko mezani.
 
Back
Top Bottom