tahadhari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Waziri Ummy: CoronaVirus bado ipo, tuendelee kuchukua tahadhari

    Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema idadi ya wagonjwa wa Corona nchini waliobaki kwenye vituo vya matibabu imepungua mno. Akizungumza Leo mkoani Tanga wakati wa ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mkoani humo amesema: “Tanga hatuna mgonjwa wa Corona, Amana wamebaki 3, Mloganzila 1, Kibaha 0...
  2. P

    JamiiForums Tanzania Tahadhari za corona zinapuuzwa

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida maeneo mengi ya jiji la Dar wakazi wake wameacha au kupunguza kuwa na tahadhari na ugonjwa huu .... Watu hawavai barakoa watu hawànawi kama ilivyokuwa siku chache gonjwa likipopamba moto. Mwanzoni ilikuwa tahadhari ipo kila mahala na hata ndani ya mabasi ya...
  3. Brilucy

    JamiiForums Tanzania Cheka kwa tahadhari

    Kichaa mmoja wa kiume alikatiza porini akiwa uchi kama alivyozaliwa wanyama wote wakatoka spidi kumkimbia. Fisi akamuuliza simba, imekuwaje hadi wewe mfalme wetu umekimbia? Simba akamjibu weee! nani hajipendi? Tokea nzaliwe sijawahi ona mnyama mwenye mkia kwa mbele. #MAN_VIBES
  4. mkiluvya

    JamiiForums Tanzania TANAPA yatakiwa kuongeza idadi ya Mabango ya tahadhari barabarani kupunguza idadi ya wanyamapori wanaogongwa

    Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu ametoa agizo kwa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) kuongeza idadi ya mabango ya barabarani yanayoonyesha tahadhari na faini kwa madereva watakaogonga wanyamapori katika barabara ya Babati kuelekea Arusha. Ametoa agizo hilo...
  5. Maleven

    JamiiForums Tanzania Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Uzi huu ni mrefu. Ukichangia naomba ujikite Zaidi katika kutoa maoni yako lakini kukosoa kunaruhusiwa. Binafsi nadhani maamuzi haya yangechukuliwa mwezi mmoja uliopita pale Waziri Mkuu alipotangaza kuzifunga shule na vyuo, lakini haikuwa hivyo badala yake shule zilifungwa kisha hakukuwa na...
  6. No Escape

    JamiiForums Tanzania Tahadhari: Watu hawa wanaokuzunguka

    1. Kuna watu wanapenda kusikia taarifa zako mbaya kuliko njema. 2. Kuna watu wanakuwa wa kwanza kukupa taarifa mbaya kuliko njema. 3. Kuna watu Ukipata tatizo lolote wao ndio wa kwanza kukupigia simu wakati hujatoa taarifa popote. 4. Kuna watu kila unachokifanya wanakifatilia halafu wanacomments...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wakati tunaambiwa: "Chapa kazi, chukua tahadhari" Hali halisi ni hii...

    Mkakati - kama mtu anaweza kuuita hivyo- wa serikali ya awamu ya tano kupambana na COVID-19 kuwaambia watu "waendelee kuchapa kazi huku wakichukua tahadhari". Binafsi ninachokiona ni kuwa serikali hii imeamua kufuata falsafa ya "do-nothing-and-the-problem-will-go-away". Kwa nini? 1. Naomba mtu...
  8. Tz boy 4tino

    JamiiForums Tanzania Kuweni makini sana kipindi hichi cha mvua. Tazama video mpaka mwisho

    Hii imetokea jijini Kampala nchini Uganda katika barabara ya Jinja. Tazama mpaka mwisho
  9. Deejay nasmile

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kuna vyakula ambavyo husabisha kifo vikiliwa kwa wakati mmoja?

    Katika pitapita zangu nimekutana na hii habari, kuwa kuna vyakula/vinywaji hutakiwi kula kwa wakati mmoja. Yaani "mfano" ule yai wakati huo huo ule ndizi utakufa. Je ni kweli na kama kweli vipo? Msaada wa kuvitaja
  10. Invisible

    JamiiForums Tanzania TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

    Wakuu, Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua kufanya biashara yoyote nje au ndani ya JF bila kutushirikisha msiilaumu JF. Tunafahamu kuna ambao...
Back
Top Bottom