Mnatutia hasara sana.
Kipindi cha JPM mlikuwa mnatoa taarifa siku moja kabla ya kukata umeme ,pia mlikuwa mnakwepa kukata umeme kwa kumuhofia JPM.
Sasahivi kukata umeme siku nzima ni kawaida tena bila kutoa taarifa.
Mnaboa sana nyie watu. I wish Mama afanye mabadiliko TANESCO kuondoa...