Hivi tunajuaje kwamba mtu fulani kapokewa peponi saaafi kabisa?
Maana nilikuwa na jamaa yangu, daa!! Alikufa kwa accident, alikuwa nazo kidogo.
Hayo maombi bana, we acha tu!
Tulizuiwa hata kulia tusije tukawakasirisha wahusika! Maana wakati huo mahali saaafi ndio palikuwa panaandaliwa...