Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,299
- 3,411
Siku moja Yesu katika harakati zake ,Wayahudi hasa mafarusayo wale ambao hawakumuelewa hasa kuhusu Asili yake ,aliwatandika Swali ambalo liliwaziba mdomo
Hawa Wayahudi walikuwa wanajifanya wanayaamini maandiko asilimia 100, Na Yesu alikuwa hasumbuani nao Sana anawatandika kwa maandiko
Kisa kinaanzia hapa
LUKA 20
41Yesu akawauliza, “Yasemekanaje kwamba Kristo ni mwana wa Daudi? 42Daudi mwenyewe anasema katika Zaburi:
‘Bwana alimwambia Bwana wangu:
Keti upande wangu wa kulia
43mpaka niwaweke maadui zako kuwa kiti cha kuwekea miguu yako.’
44Ikiwa Daudi anamwita yeye, ‘Bwana,’ basi, atakuwaje mwanawe?”
WAYAHUDI walikuwa na doubt Sana kuhusu hasa Uungu wa Yesu, Sasa kuwafunga midomo anawarejesha katika Moja ya Kitabu wanachokiamini yaani Zaburi
Zaburi 110
1 Neno la Bwana kwa Bwana wangu, Uketi mkono wangu wa kuume, Hata niwafanyapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako.
Lakini Zaburi ina andiko hili ambalo lashahabihana na Hilo
Zaburi 45:7
Umeipenda haki; Umeichukia dhuluma. Kwa hiyo MUNGU, Mungu wako, amekutia mafuta, Mafuta ya furaha kuliko wenzako.
Kwa Yesu kuwapiga Wayahudi kwa Maandiko haya walipoonesha mashaka kuhusu Uungu wake ,
Mathayo ndiye Kaelezea vzr hiki kisa
Mathayo 22
44 ‘Bwana alimwambia Bwana wangu:
Keti upande wangu wa kulia,
mpaka niwaweke maadui zako chini ya miguu yako.’
45Basi, ikiwa Daudi anamwita Kristo ‘Bwana,’ anawezaje kuwa mwanawe?”
46Hakuna mtu yeyote aliyeweza kumjibu neno. Na tangu siku hiyo hakuna aliyethubutu tena kumwuliza swali.
MWISHO INAONESHA KABISA WALIZIBWA MIDOMO NA ANDIKO LINASEMA
Na tangu siku hiyo hakuna aliyethubutu tena kumwuliza swali.
Hawa Wayahudi walikuwa wanajifanya wanayaamini maandiko asilimia 100, Na Yesu alikuwa hasumbuani nao Sana anawatandika kwa maandiko
Kisa kinaanzia hapa
LUKA 20
41Yesu akawauliza, “Yasemekanaje kwamba Kristo ni mwana wa Daudi? 42Daudi mwenyewe anasema katika Zaburi:
‘Bwana alimwambia Bwana wangu:
Keti upande wangu wa kulia
43mpaka niwaweke maadui zako kuwa kiti cha kuwekea miguu yako.’
44Ikiwa Daudi anamwita yeye, ‘Bwana,’ basi, atakuwaje mwanawe?”
WAYAHUDI walikuwa na doubt Sana kuhusu hasa Uungu wa Yesu, Sasa kuwafunga midomo anawarejesha katika Moja ya Kitabu wanachokiamini yaani Zaburi
Zaburi 110
1 Neno la Bwana kwa Bwana wangu, Uketi mkono wangu wa kuume, Hata niwafanyapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako.
Lakini Zaburi ina andiko hili ambalo lashahabihana na Hilo
Zaburi 45:7
Umeipenda haki; Umeichukia dhuluma. Kwa hiyo MUNGU, Mungu wako, amekutia mafuta, Mafuta ya furaha kuliko wenzako.
Kwa Yesu kuwapiga Wayahudi kwa Maandiko haya walipoonesha mashaka kuhusu Uungu wake ,
Mathayo ndiye Kaelezea vzr hiki kisa
Mathayo 22
44 ‘Bwana alimwambia Bwana wangu:
Keti upande wangu wa kulia,
mpaka niwaweke maadui zako chini ya miguu yako.’
45Basi, ikiwa Daudi anamwita Kristo ‘Bwana,’ anawezaje kuwa mwanawe?”
46Hakuna mtu yeyote aliyeweza kumjibu neno. Na tangu siku hiyo hakuna aliyethubutu tena kumwuliza swali.
MWISHO INAONESHA KABISA WALIZIBWA MIDOMO NA ANDIKO LINASEMA
Na tangu siku hiyo hakuna aliyethubutu tena kumwuliza swali.