NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,032
- 4,028
Mtanzania aliyeko Marekani na ni raia wa kule anaweza kuja kuridhi mali au viwanja vya baba yake aliyeko Tanzania?
Hii imekaaje kisheria?
Hii imekaaje kisheria?
Hivi ukiwa raia wa nje kunakutoa kwenye uhalali wa family uliyozaliwa?Mtanzania aliyeko Marekani na ni raia wa kule anaweza kuja kuridhi mali au viwanja vya baba yake aliyeko Tanzania?
Hii imekaaje kisheria?
Mtoa mada anawaza Mali za wazazi tuHivi ukiwa raia wa nje kunakutoa kwenye uhalali wa family uliyozaliwa?
Kurithi kupo pale pale.
Anataka kudhurumu mali za ndugu yake aliyekuwa Marekani!!Mtoa mada anawaza Mali za wazazi tu
Kigeugeu na kisebu papo. (Sikumbuki vizuri methali hii inavyosemwa).Mtanzania aliyeko Marekani na ni raia wa kule anaweza kuja kuridhi mali au viwanja vya baba yake aliyeko Tanzania?
Hii imekaaje kisheria?
Urithi hauna uraiaMtanzania aliyeko Marekani na ni raia wa kule anaweza kuja kuridhi mali au viwanja vya baba yake aliyeko Tanzania?
Hii imekaaje kisheria?
HakunaKwani mimi mwenye mali hata nikiamua kuachia mali zangu mizimu au taasisi yoyote nani wa kunikataza ?
Juma1967 imebidi nicheke kidogo umenifurahishaMtoa mada anawaza Mali za wazazi tu
Mimi niko fit sana sisi tunajua kutafuta bro ni kweli alinituma niulizie maana ukweli tayari ana viwanja vyake huku sasa yuko kule kakaa miaka30 anataka kurudi bongo.home is best.Anataka kudhurumu mali za ndugu yake aliyekuwa Marekani!!
Sio katika ardhi..hawezi kurithi mali ambayo inahusisha ardhi kama sio mtanzania.Urithi hauna uraia
Sio tanzania wageni kibao wanamiliki ardhi bila shida...nliuza shamba langu arusha mateves kwa mzungu mkataba aliandika jina lake....mkewe ni mtanzania ila hakumuwekaHapa bongo hatuna uraia pacha kwa hiyo ukichukua uraia wa Marekani au nchi yoyote ile, automatically unakuwa umeukana uraia wa Tanzania.
Hivyo kama wewe si raia wa Tanzania utakuwa huna uwezo wa kumiliki ardhi (nyumba, mashamba, kiwanja n.k) ISIPOKUWA utaweza miliki kama muwekezaji tu. Yaani hiyo ardhi itakuwa inamilikiwa na TIC na wewe unakuwa kama mpangaji tu.
Kwa kumalizia huyo ndugu yako unayemuita Mtanzania raia wa Marekani hata weza kurithi hati miliki za mirathi yenye uhusiano na ardhi. Ila atapata mkwanja utokanao na kuuzwa kwa mali za mirathi ihusuyo ardhi. Period.