Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,693
- 36,070
Habari!
Hii hali ya wanawake kuwa tegemezi imekuwa kubwa sana hasa dunia hii ya tatu. Hata awe mwajiriwa serikalini au sekta binafsi bado utamkuta amejipa haki ya kuwa tegemezi. Yaani wanapenda kupewa kuliko kutoa.
Inafika wakati wanakera, unashindwa kujua kama wana upendo wa dhati kwako au wanakuigizia tu wakutie kwenye umaskini zaidi.
Ukimpa elfu 5, kesho atakuomba elfu 10, ukimpa elfu 10 kesho atakuomba elfu 20, dau litaoanda mpaka utakaposhtuka.
Ukimjibu sina pesa mara 3 mfululizo utaona kitakachotokea.
Sasa Mimi kabla ya kumwacha demu mpenda pesa namuuliza maswali haya;
1. Unanipenda?
Akijibu ndio namuuliza swali namba 2
2.Je, umewahi kunifanyia nini kudhihirisha upendo wako kwangu kwa level yako hiyohiyo ya maisha?
Mwisho namwambia hivi: Kama unaona hujawahi hata kunifanyia kitu au hukuwahi kunipa zawadi hata ya kitu chenye thamani ya elfu 5 kuanzia sasa tupoteane kila mtu akamtafute ampendaye. Biashara inaisha hapo.
Akipiga sipokei, akituma sms sijibu na mwisho wa siku ni kumblock basi.
Kijana mwenzangu usipokuwa makini hapa mjini unaweza kujikuta hata mama yako kule Mtambaswala anakosa dagaa na unga.
Hii hali ya wanawake kuwa tegemezi imekuwa kubwa sana hasa dunia hii ya tatu. Hata awe mwajiriwa serikalini au sekta binafsi bado utamkuta amejipa haki ya kuwa tegemezi. Yaani wanapenda kupewa kuliko kutoa.
Inafika wakati wanakera, unashindwa kujua kama wana upendo wa dhati kwako au wanakuigizia tu wakutie kwenye umaskini zaidi.
Ukimpa elfu 5, kesho atakuomba elfu 10, ukimpa elfu 10 kesho atakuomba elfu 20, dau litaoanda mpaka utakaposhtuka.
Ukimjibu sina pesa mara 3 mfululizo utaona kitakachotokea.
Sasa Mimi kabla ya kumwacha demu mpenda pesa namuuliza maswali haya;
1. Unanipenda?
Akijibu ndio namuuliza swali namba 2
2.Je, umewahi kunifanyia nini kudhihirisha upendo wako kwangu kwa level yako hiyohiyo ya maisha?
Mwisho namwambia hivi: Kama unaona hujawahi hata kunifanyia kitu au hukuwahi kunipa zawadi hata ya kitu chenye thamani ya elfu 5 kuanzia sasa tupoteane kila mtu akamtafute ampendaye. Biashara inaisha hapo.
Akipiga sipokei, akituma sms sijibu na mwisho wa siku ni kumblock basi.
Kijana mwenzangu usipokuwa makini hapa mjini unaweza kujikuta hata mama yako kule Mtambaswala anakosa dagaa na unga.