Roho mbaya, ubinafsi ni sumu tunayoilea.
Ukiinuka, wananyamaza.
Ukidondoka, wanatabasamu.
Ukifaulu, wanahoji: “Aliwezaje?”
Ukishindwa, wanafurahi.
Hakuna uchungu mkubwa kama kupambana mbele ya macho yanayotamani uanguke.
Watu hawakuombei ufanikiwe… wanakuombea usiwapite.
Unaweza kuwapa...