The Sukari mine or Alsukari mine (Arabic: السكري Al-Sukkari, Egyptian pronunciation: El-Sokkari) is a gold mine located in the Nubian Desert/Eastern Desert near the Red Sea in Egypt, in the south-east of the country in the Red Sea Governorate, 30 km south of Marsa Alam. It is exploited jointly by the Egyptian Ministry of Mineral Resources and Centamin. It is Egypt's first modern gold mine, an industry considered to have scope for expansion in the country. Egypt was known in the ancient world as being a source of gold, and one of the earliest available maps shows a gold mine at this location.It is a combination of an open-pit mine and an underground mine, with estimated reserves of 15.4 million ounces of gold. The site is supplied by a 30 km long pipeline bringing water from the Red Sea.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za wizi baada ya kuvunja Mahakama ya Wilaya ya Njombe na kuiba vitu mbalimbali vya ofisi hiyo ikiwemo Laptop tatu (3) na Sukari kiasi cha Kg 25, waliokamatwa yupo aliyeiba na mwingine aliyeenda kuuziwa Laptop hizo.
Taarifa...
Kwa tatizo hili la ugonjwa wa kisukari hapa nzchini kwanini wanasiasa wanaotengeneza ilani ya vyama vyao asiwepo mmoja akaliona hili tatizo na kuja na sera ya matibabu yake yawe bure Kama magonjwa ya TB na Homa ya ini, hasa chanjo.
Kwani kwa Sasa swala la chanjo ya Homa ya ini ni tatizo kuipata...
Kushusha Sukari Kienyeji
Pole kwa wote wanaosumbuliwa na sukari iliyozidi kwenye damu (kisukari).
Nimepata kusikia kwa watu fulani wakisimulia walivyofanikiwa kushusha sukari kwa haraka na kwa mafanikio. Kabla ya kueleza zaidi, tafadhali zingatia yafuatayo:
1. Mimi siyo daktari wa tiba za...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipokuwa akizungumza na maafisa kilimo, wafanyakazi wa kiwanda cha sukari cha Bagamoyo Mkoani Pwani,
ameeleza uzalishaji wa sukari ya mezani nchini unafikia tani 380,000 ambapo bado kuna bakaa ya tani 70,000, hivyo kuna kila sababu ya kuongeza uzalishaji wa sukari...
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA) Godbless Lema ameonya wanachama na wapenzi wa chama hicho juu ya ukimya ulioonyeshwa na jeshi la polisi jana wakati wa mapokezi ya makamu wa mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu alipowasili nchini.
Lema ameonya hayo kupitia ujumbe aliotuma kwenye...
Wadau habari,
Nimekuwa ni mpenzi sana wa kutumia sukari, chumvi na pilipili nyingi siku za nyuma, nina miaka 27 na siku ambazo nilitumia sukari kidogo ni zile tu ambazo nilikuwa shuleni boarding (std 1 had form 6) na chuo sikuwa nakunywa chai, chumvi na pilipili nimetumia nyingi kwa kipindi...
Kama inavyojieleza hapo juu ningependa kufahamu kama Sugar Beets ambayo ni mbadala wa Sugar Cane (MIWA) kwenye kutengeneza sukari ya majumbani inalimwa wapi hapa Tanzania.
Professionally, huyu jamaa ni muigizaji maarufu kidogo, tena ni mtanzania anaeongea kiswahili, na ni mwanaume aliezaliwa na kukulia Dar, aliigiza kwenye ile movie inayoitwa huba, half kimuonekano jamaa hana hela, wala ha-post maisha ya kifahari kwenye Instagram page yake. Anaji-post yeye akiwa...
Ndugu zangu wana jukwaa hebu tujadili pamoja jambo hili la Sukari kwa Tanzania na bei yake ambayo sasa ni kero kwa nchi nzima, tulishuhudia Waziri akitangaza bei elekezi lakini cha ajabu bei iko juu palepale kwa maana ya Tshs 3000 na kuendelea.
Sasa tuamini hii ni biashara ya vigogo wenyewe...
Wakati mwingine huwa nashindwa kuelewa kama hizi sifa wanazopewa vipngozi wa nchi hii huwa zinazingatia misingi gani.
Hivi kweli serikali imeshindwa kabisa mushughulikia bei ya sukari.
Nimekua na muda mrefu kidogo sinunui sukari kwa sababu nilikua na stock kubwa kidogo. Leo nimepita dukani...
Je, mtaani kwako sukari inapatikana?
Kama inapatikana bei elekezi inazingatiwa?
Una maoni gani mengine kuhusu sukari.
Nategemea kuonana na waziri wa biashara soon so nilitaka nimpelekee hoja hii maana wengi mlilalamika hapa kwamba mmeacha kunywa chai na wengine mkadai sasa mnaamkia mbege na...
Kiwanda cha sukari Mtibwa Turiani kinatangaza fursa za ajira ya ukataji miwa kwa watanzania wenye umri kuanzia miaka 20-35, sifa za mwombaji awe ni mtanzania, aweze kufika kiwandani kusajiriwa akiwa na vitu vifuatavyo paspot size nne, kitambulisho cha mpiga kura au cha taifa, aje na kadi ya ATM...
Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Profesa Adelardus Kilangi
BUNGE limepitisha muswada wa marekebisho ya sheria ya tasnia ya sukari, kwamba wasambazaji wa bidhaa hiyo ni miongoni mwa watu watakaotakiwa kusajiliwa pamoja na kupewa leseni.
Akiwasilisha muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria...
Hii pesa inayotumika kuwanunua wapinzani na inayotumika kisiasa kuwatesa wapinzani Je, haiwezi kusaidia viwanda vya sukari kuzalisha kukidhi mahitaji ya ndani na kuzalisha ziada?
Nchi kama Uganda ndio ya kuisaidia Tanzania Sukari na hawajawahi kuwa na uhaba wa sukari, je wao ndio wanayo...
Waziri wa viwanda na biashara mh Bashungwa amesema tatizo la sukari sasa limekwisha baada ya shehena ya tani 20,000 kupokelewa jijini Mwanza kutokea Uganda.
Bashungwa amewataka wafanyabiashara kuzingatia bei elekezi na atakayekiuka hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.
Source: Star...
Kiukweli hili swala la uhaba wa sukari kama litaendelea tutashuhudia mengi.
Nimemwona Mkuu wa wilaya ya Igunga mh Mwaipopo kupitia Star tv akiwa na lundo la askari polisi waliochanganyika na JW pamoja na migambo wakisaka walanguzi wa sukari mitaani.
Kumbe hii nayo ni vita kama ile ya Corona...
Spika Job Ndugai amesema kesho Bungeni kutakuwa na uwasilishwaji wa Bajeti ya Wizara ya Kilimo na Waziri wa Wizara hiyo atatolea ufafanuzi suala la kuadimika kwa sukari nchini
Spika Ndugai amewaomba Wabunge kuwa na subira kwani kesho watapata nafasi ya kuchangia na kuzungumzia suala hilo wakati...
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage amesema nchi ina sukari ya kutosha na kilichojitokeza ni propaganda ya watu wasioitakia mema.
Akihitimisha hoja ya bajeti ya wizara yake ya mwaka 2018/19 leo Mei 11, 2018 bungeni, Mwijage amesema tayari ameagiza Shirika la Viwango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.