JET SALLI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,991
- 1,194
Ndugu zangu wana jukwaa hebu tujadili pamoja jambo hili la Sukari kwa Tanzania na bei yake ambayo sasa ni kero kwa nchi nzima, tulishuhudia Waziri akitangaza bei elekezi lakini cha ajabu bei iko juu palepale kwa maana ya Tshs 3000 na kuendelea.
Sasa tuamini hii ni biashara ya vigogo wenyewe Serikalini ndio maana bei haiwezi kushuka au tuamini kwamba serikali katika hili imeinua mikono na kusurrender.
Maana matangazo ni mengi,tumenunua ndege, sijui tunajenga treni ya mwendo kasi, umeme bwawa la Mwl nyerere, lakini tusipoangalia Hii sukari inayotumiwa na watu masikini itatutia aibu kubwa sana kwa sababu tutafanya mengi lakini hatutagusa maisha ya watu maskini.
Sasa tuamini hii ni biashara ya vigogo wenyewe Serikalini ndio maana bei haiwezi kushuka au tuamini kwamba serikali katika hili imeinua mikono na kusurrender.
Maana matangazo ni mengi,tumenunua ndege, sijui tunajenga treni ya mwendo kasi, umeme bwawa la Mwl nyerere, lakini tusipoangalia Hii sukari inayotumiwa na watu masikini itatutia aibu kubwa sana kwa sababu tutafanya mengi lakini hatutagusa maisha ya watu maskini.