Kiwanda cha sukari Mtibwa Turiani kinatangaza fursa za ajira ya ukataji miwa kwa watanzania wenye umri kuanzia miaka 20-35, sifa za mwombaji awe ni mtanzania, aweze kufika kiwandani kusajiriwa akiwa na vitu vifuatavyo paspot size nne, kitambulisho cha mpiga kura au cha taifa, aje na kadi ya ATM ya CRDB Bank kama anayo, kwa asiye nayo atasaidiwa kufungua account bank. Jinsi ya kufika Turiani Morogoro , panda basi hadi Msamvu stend Morogoro kisha tafuta gari za kwenda Turiani kutoka Msamvu.
Malipo ni Tsh 6,000/= KWA SIKU, Gharama zingine kama chakula, sehemu ya kulala na matibabu ni juu ya Kiwanda cha SUKARI NJOO TUUNGE MKONO JITIHADA ZA MH. RAIS KUIFANYA NCHI YETU YA VIWANDA.
===