suala

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Unahisi ni nani alifikisha suala la Feisal kwa Rais Samia na kwa lengo gani?

    Kauli ya Rais Samia leo ni kama ameinyooshea kidole Dar Young African (Yanga), Yanga mnaugomvi na Feisal! Unaweza kumsikiliza tena Mh Rais alafu ukapata jibu kuwa ni nani alienda kumuelezea Mh Rais issue ya Feisal? Na je! Aliefikisha ujumbe kwa Mh Rais alikuwa wa mlengo gani? Hakuwa na upande...
  2. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Suala la Rais Samia kutoa pesa na ndege kwa timu kusafiria ni kwa gharama ya nani?

    Habari ndugu zangu, Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo. Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania...
  3. Suley2019

    JamiiForums Tanzania JKT yakanusha suala la kunyanyasa vijana

    Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limewataka Wazazi na Walezi wa Vijana kupuuza taarifa za uzushi unaolenga kuwatia hofu Vijana waliopangiwa kuhudhuria Mafunzo ya JKT katika makambi mbalimbali kutokwenda kuripoti makambini, kwa kile kinachodaiwa kuwa eti, mafunzo ya JKT ni mateso, yana unyanyasaji...
  4. Intelligent businessman

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume tukumbushane katika suala hili

    Bro, Kikao cha hiki kijiwe sio kama kile cha wanaume wa UWABATA, Hachana na wanaume wasiojielewa, hatuna haja ya kuunda 'hashtag' hizo pigo waachie wanawake.! Hachana na wanaume wasiojielewa, wao na wake zao wanalumbana kila siku, Unajua kwa nini.!? Kwa sababu hawajielewi.! Hawavai kilemba cha...
  5. Palestine Will be free

    JamiiForums Tanzania Mufti Al Khalil: Mapambano ya Rais wa Uganda dhidi ya ushoga

    Allah amjaalie Mufti huyu afya njema na umri mrefu wa kuishi, Aamiin! Museven, Mwenyezi Mungu akubariki, hakika upo 💪🏽 huyumbishwi na wamagharibi. Moderator kwa hisani yenu, mmeshanifutia nyuzi zangu zaidi ya moja, nimeongea hamkunielewa, basi kwa leo nawaombeni muiache hii Waabheja sana bhabhaa
  6. Raia Fulani

    JamiiForums Tanzania Suala la elimu na likizo za watoto

    Nasoma gazeti la Mwananchi hapa kuhusiana na mvutano aidha watoto waende likizo au wabaki shuleni kujisomea. Mjadala huu ulikuwa Bungeni. Kuna hoja kuwa baadhi ya mikoa kupitia wakuu wa mikoa imepanga utaratibu wa kuongeza "ufaulu". UFAULU kwenye maeneo yao. Sehemu nyingine Mbunge na mmiliki wa...
  7. P

    JamiiForums Tanzania Rais wa Zanzibar tafuta washauri wazuri suala la ardhi ya Bagamoyo

    Hili sakata la ardhi ya Bagamoyo ya hekari elfu sita kuwa ni mali ya Zanzibar lina ukakasi na halifai kupita bila ya kupata mawazo mbalimbali yenye lengo la kuboresha uelewa mpana wa raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni kweli Mwalimu Nyerere aliwapa Zanzibar ardhi ya Bagamoyo ili waweze...
  8. GoldDhahabu

    JamiiForums Tanzania Tanzania na Suala la Uraia Pacha

    Katika Bara la Afrika lenye nchi 54, ni nchi chache tu, takriban nchi 10, ndizo zizsizokubali uraia pacha. Nchi hizo ni pamoja na Tanzania, Ethiopia na Congo D.R.C. Hata nchi jirani ambako baadhi ya Watanzania wamekuwa wakijinasibu kutaka kuhamia, yaani, Burundi, wametupiku katika hilo. Lakini...
  9. Wakili wa shetani

    JamiiForums Tanzania Hili Suala la siasa michezoni lingekemewa vikali.

    Hii habari ya kuleta mapicha ya Rais na mwenyekiti wa CCM uwanjani ni mchezo mbaya sana. Mpira ni mpira na siasa ni siasa. Msiwagawe wa Tz kwa kitu pekee kilichobaki kuwaunganisha. Kesho mtu akija na picha za Ahsante Mbowe au Ahsante Zitto mtaanza kuwarushia mabomu. Acheni hizo mambo...
  10. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuachane na yote. Hili suala ni la muhimu sana kujiuliza.

    Tuachane na issues nyingine nk. Nakuuliza mdada wa JF. Kama nawe umewahi tuliza makalio yako ukapata muda wa kutafakari jambo hili. Kwa mfano Usipoolewa. Umejipangaje?
  11. A

    JamiiForums Tanzania SoC03 Jinsi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa kwa Maendeleo ya Nchi yetu

    Rushwa ni tatizo kubwa sana katika nchi yetu na linahitaji kushughulikiwa kwa njia ya uwajibikaji na utawala bora. Kwa miaka mingi, rushwa imekuwa ikiathiri maendeleo ya taifa letu kwa kuzuia maendeleo ya uchumi, kuongeza umaskini na kupunguza uaminifu wa wananchi kwa serikali. Kuna sababu...
  12. A

    JamiiForums Tanzania Andiko kuhusiana na suala zima la kudhibiti utoro wa wanafunzi mashuleni

    Utoro wa wanafunzi mashuleni ni tatizo kubwa ambalo linahitaji kushughulikiwa kwa dhati katika suala la utawala bora na uwajibikaji. Tatizo hili linasababisha athari mbalimbali ikiwemo kupungua kwa ufaulu, kuongezeka kwa idadi ya watoto wanaoacha shule na kuathiri maendeleo ya taifa kwa ujumla...
  13. A

    JamiiForums Tanzania SoC03 Andiko kuhusiana na suala zima la Uoto na Maliasili

    Uoto na maliasili ni rasilimali muhimu sana kwa maendeleo ya nchi yetu. Hata hivyo, kumekuwa na changamoto kubwa katika suala la utawala bora na uwajibikaji katika usimamizi wa rasilimali hizi. Kuna haja ya kuimarisha utawala bora na uwajibikaji ili kuhakikisha kuwa uoto na maliasili zinatumika...
  14. A

    JamiiForums Tanzania SoC03 Andiko kuhusiana na suala zima la sensa ya watu na Makazi

    Sensa ya watu na makazi ni zoezi muhimu sana katika kuhakikisha kuwa serikali inapata taarifa sahihi za idadi ya watu na makazi katika nchi. Hata hivyo, kumekuwa na changamoto kubwa katika suala la kufikia malengo ya sensa kutokana na ukosefu wa utawala bora na uwajibikaji. Serikali inahitaji...
  15. A

    JamiiForums Tanzania SoC03 Andiko kuhusiana na suala zima la Uzazi wa Mpango

    Uzazi wa mpango ni suala muhimu sana katika maendeleo ya nchi na ustawi wa wananchi. Hata hivyo, kumekuwa na changamoto kubwa katika suala la kufikia malengo ya uzazi wa mpango kutokana na ukosefu wa utawala bora na uwajibikaji. Serikali inahitaji kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha kuwa...
  16. A

    JamiiForums Tanzania SoC03 Andiko kuhusiana na suala zima la matumizi ya chanzo mbadala cha Nishati

    Suala la nishati ni muhimu sana katika maendeleo ya nchi na ustawi wa wananchi. Hata hivyo, nishati ya mafuta na gesi imekuwa ikileta changamoto kubwa katika suala la mazingira na afya ya binadamu. Kuna haja ya kuangalia chanzo mbadala cha nishati ambacho kitakuwa salama kwa mazingira na afya ya...
  17. A

    JamiiForums Tanzania SoC03 Andiko kuhusiana na suala zima la Katiba ya Nchi

    Katiba ya nchi ni nyaraka muhimu sana katika kuhakikisha uwajibikaji na utawala bora. Hata hivyo, kuna changamoto nyingi katika utekelezaji wa katiba hii, ambazo zinahitaji hatua za haraka kutoka kwa serikali na wananchi. Moja ya changamoto kubwa ni ukosefu wa uwazi na uwajibikaji. Serikali...
  18. A

    JamiiForums Tanzania SoC03 Andiko kuhusiana na suala zima la utunzaji wa mazingira

    Mazingira ni muhimu sana katika maendeleo ya binadamu. Tunategemea mazingira kwa ajili ya chakula, maji, hewa safi na rasilimali nyinginezo. Hata hivyo, mazingira yanazidi kuharibika kutokana na shughuli za kibinadamu kama vile uchimbaji wa madini, kilimo cha kibinafsi, uvuvi haramu na uchafuzi...
  19. A

    JamiiForums Tanzania SoC03 Andiko kuhusiana na suala zima la huduma za kifedha

    Utandawazi wa huduma za kifedha umekuwa na athari kubwa katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii duniani kote. Hata hivyo, pamoja na faida zake, utandawazi huu pia umesababisha changamoto kadhaa katika suala la utawala bora na uwajibikaji. Kwa hiyo, ni muhimu kuchukua hatua za haraka za kuboresha...
  20. A

    JamiiForums Tanzania SoC03 Andiko kuhusiana na suala zima la utandawazi

    Utandawazi umekuwa na athari kubwa katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii duniani kote. Hata hivyo, pamoja na faida zake, utandawazi pia umesababisha changamoto kadhaa katika suala la utawala bora na uwajibikaji. Kwa hiyo, ni muhimu kuchukua hatua za haraka za kuboresha utawala bora na...
Back
Top Bottom