Rafiki yangu mpendwa,
Watu wengi wanaposikia soko la hisa, huwa wanadhani ni kitu kikubwa na kigumu sana ambacho hakiwahusu wala hawawezi kukielewa.
Lakini huo siyo ukweli, soko la hisa ni kitu rahisi kueleweka na kutumika na kila mtu kwenye kujenga utajiri na uhuru wa kifedha.
Mwandishi J L...