Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) watangaza Securities Investment and Trading Course kuanza mwezi Novemba

KingOligarchy

Senior Member
Sep 28, 2013
130
351
DSE watangaza certification yao itakayoanza mwezi ujao. Nilifanya course iliyopita na kwakweli madini niliyoyapata yalikuwa yamesimama. huwa naattend sana forums nyingi za investments na personal finance lakini hii course ilinifanya nijue kiundani jinsi soko la mitaji linavyofanaya kazi.

Nimezoea kufanya analysis kwenye masoko ya nje lakini nimeona pia soko letu linakuwa na linaleta matumaini.

Vitu nilivyopenda nilivyoattend course hii mojawapo ni topic ya portfolio Management, hii tulfunishwa na CEO wa UTT AMIS, Aiseee jamaa ni kichwa sanaaaaa.. sio tu alifundisha topic lakini nimetoka najua kila kitu kuhusiana na UTT AMis, nilikuwa nina hamu ya kufahamau open ended na closed ended jinsi ya kuestablish n kuzirun yani kuwa na kampuni kama UTT Amis VS kuwa na kampuni kama NICOL PLC.

Nafurahi mr simon alifundisha kwa weredi mkubwa sanaaaaaa. Kuna topic inaitwa how to become a stock broker, Legal na Highlights za DSE Rules hapa wakufunzi walikuwa mtu kutoka CMSA na Chief legal Officer wa dse(Ambae sasa hivi ndo AG.CEO). siwezi kuelezea yote lakini DSE mmeupiga mwingi.

Makala zangu nyingi naandika kuhusu investment, how to raise funds na mambo ya Private Equities utaona madini mngi sana na huwa naweza kufanya hivi sababu huwa najiongeza sana kwenye course kama hizi. na nilifanikiwa kufanya kozi zote zinazotolewa na DSE pamoja na ile ya CMSA.

Huwa nasoma sana Daily Market report ya soko kwa ajili ya Taasisi nazoziadvice kufanya investment na kutrack prices za Bond na Hisa, uelewa wangu ulipanuka sana baada ya mtu kutoka kitengo cha Trading kuelezea namna ya kusoma ile report na hua inatengenezwaje.

Niache maneno mengi na nisipige promo lakini kizuri share na mwenzako.

You can lead a horse to water, but you can't make it drink​

1665941417500.png


post zinazohusiana na soko la Hisa

 

Attachments

  • SECURITIES INVESTMENT AND TRADING (SIT) COURSE - November 2022_0.pdf
    118.6 KB · Views: 62
DSE watangaza certification yao itakayoanza mwezi ujao. Nilifanya course iliyopita na kwakweli madini niliyoyapata yalikuwa yamesimama. huwa naattend sana forums nyingi za investments na personal finance lakini hii course ilinifanya nijue kiundani jinsi soko la mitaji linavyofanaya kazi.

Nimezoea kufanya analysis kwenye masoko ya nje lakini nimeona pia soko letu linakuwa na linaleta matumaini.

Vitu nilivyopenda nilivyoattend course hii mojawapo ni topic ya portfolio Management, hii tulfunishwa na CEO wa UTT AMIS, Aiseee jamaa ni kichwa sanaaaaa.. sio tu alifundisha topic lakini nimetoka najua kila kitu kuhusiana na UTT AMis, nilikuwa nina hamu ya kufahamau open ended na closed ended jinsi ya kuestablish n kuzirun yani kuwa na kampuni kama UTT Amis VS kuwa na kampuni kama NICOL PLC.

Nafurahi mr simon alifundisha kwa weredi mkubwa sanaaaaaa. Kuna topic inaitwa how to become a stock broker, Legal na Highlights za DSE Rules hapa wakufunzi walikuwa mtu kutoka CMSA na Chief legal Officer wa dse(Ambae sasa hivi ndo AG.CEO). siwezi kuelezea yote lakini DSE mmeupiga mwingi.

Makala zangu nyingi naandika kuhusu investment, how to raise funds na mambo ya Private Equities utaona madini mngi sana na huwa naweza kufanya hivi sababu huwa najiongeza sana kwenye course kama hizi. na nilifanikiwa kufanya kozi zote zinazotolewa na DSE pamoja na ile ya CMSA.

Huwa nasoma sana Daily Market report ya soko kwa ajili ya Taasisi nazoziadvice kufanya investment na kutrack prices za Bond na Hisa, uelewa wangu ulipanuka sana baada ya mtu kutoka kitengo cha Trading kuelezea namna ya kusoma ile report na hua inatengenezwaje.

Niache maneno mengi na nisipige promo lakini kizuri share na mwenzako.

You can lead a horse to water, but you can't make it drink​

View attachment 2389355

post zinazohusiana na soko la Hisa

Ni nzuri hii na ilipaswa wananchi wengi wafahamu mambo ya uwekezaji.

Bei sio rafiki millioni 1.5 nikubwa sana..maana hata ofisi hazipeleki watu kwenye short course za gharama hivyo hiyo wataenda seniors na wafanyabiashara wakubwa tu ..
 
Ni nzuri hii na ilipaswa wananchi wengi wafahamu mambo ya uwekezaji.

Bei sio rafiki millioni 1.5 nikubwa sana..maana hata ofisi hazipeleki watu kwenye short course za gharama hivyo hiyo wataenda seniors na wafanyabiashara wakubwa tu ..

N kwel kabsa tunataman na shahuku kubwa san ya kujua hz mambo Ila bei si lafk san kwa tulio weng na ni kwa mda mfup sn
 
Soko la hisa la DSM halitabiriki..yaliyotokea kwenye hisa za Vodacom PLC yanatosha kuonyesha hali halisi..invest at your own risk.

Kuhusu hiyo kozi bei sio rafiki.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sehemu yenye fursa (Opportunity) kubwa ina hatari kubwa


Hivyo maamuzi ya mwisho juu ya jambo fulani yapo kichwani mwa mtu
 
Back
Top Bottom