ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,894
Kwanini Makampuni Makubwa yaliyowekeza nchi mbalimbali duniani ikiwemo Urusi, Ulaya, USA na China yameorodheshwa kwenye stock market za nchi husika Ila Tanzania Makampuni Makubwa ya Gesi na Madini hayapo, Tena mengine yanafanya kazi hapa lakini yapo kwenye masoko ya Hisa ya Ulaya.
Au mi mbumbumbu, wataalamu hakuna namna tunaweza kukuza soko letu au ndio tununue Hisa za kitapeli za Mr. Chicken
Wataalamu wa security market tufumbueni macho
Au mi mbumbumbu, wataalamu hakuna namna tunaweza kukuza soko letu au ndio tununue Hisa za kitapeli za Mr. Chicken
Wataalamu wa security market tufumbueni macho