social media

  1. youngkato

    Pata elfu kumi kila siku kwa kuuza social media followers

    Ndio! Kuna website kama victoriaboost.shop zinazokuruhusu kununua followers kwa bei ya chini kabisa, kisha kuwauzia wateja kwa bei ya juu. Unapata faida papo hapo. Lakini unahitaji kujifunza JINSI ya kuifanya hii biashara kwa usahihi… Nitakupa mwongozo wa hatua kwa hatua: Jinsi ya kujiunga...
  2. Mtu Alie Nyikani

    Bila shaka hizi social media zimefungwa Tanzania? (Facebook, Whatsapp & Instagram), au lah!! Basi ni tatizo la kiufundi

    WanaJF habari za wakati? Nimeamka Leo tangu asubuhi kwa ajili ya harakati za hapa na pale , ghafura nashangaa Simu yangu inakua nzito kwenye upande wa mtandao, Whatsapp nikituma message haziendi, Facebook same to Instagram hili jambo limenishangaza sana mpaka nimejiuliza labda bando limeisha...
  3. Stuxnet

    Grok: Kuna Watanzania 21 Millioni kwenye social media

    Kwa mujibu wa AI ya Grok; Idadi ya Watanzania kwa Ujumla: Kulingana na sensa ya 2022, idadi ya Watanzania ilikuwa milioni 61.7, na inakadiriwa kuwa itaongezeka hadi milioni 77.9 ifikapo 2030, ikiwa na ongezeko la takriban watu milioni 1.6 kila mwaka. Hii inamaanisha kuwa mnamo 2025, idadi ya...
  4. Dabil

    CHAUMMA kuweni makini, John Mrema atahama na account za social media za chama

    John Mrema kahama na accounts za social media za CHADEMA na kuzibadili jina kuwa CHAUMA,siku akiondoka CHAUMA atazibadili tena majina,kuweni makini na huyu tapeli.
  5. P

    Social media marketing

    Wazee habarini. Aisee kwa wale waliokuwa wanatangaza matangazo kupitia facebook,google,toka wafanye mabadiriko yao mambo yamegeuka na kuwa magumu sana. Yani unatangaza hupati matokeo kabisa,tupeane mbinu ndugu,tutoboe hii..zote na matangazo ya google Najua humu wapo walioyawezea.
  6. funaku

    Intellegent President Samia has experimented Pavlov theory on Kenyans Social media!

    For us intelligentsia community we are very happy to see how a disgrased people of certain nation swallowed a bait. Her excellency President of URT Dr Samia Suluhu Hassan has in a carefully calculated manner has proveked a wake up call to.. not one but all of East African Nations on how...
  7. S

    Mbinu za kujificha mtandaoni na kwa social media

    Hizi ni mbinu za kuficha ID yako: 1. Tumia VPN (Virtual Private Network) kila mara Inaficha IP address yako halisi. Inaifanya shughuli zako zisifuatiliwe kirahisi. VPN nzuri: NordVPN, ProtonVPN, ExpressVPN. 2. Tumia Browser ya TOR Huficha utambulisho wako kwa kuzungusha mawasiliano yako...
  8. FestoKaguo

    App tano unazotakiwa kuwa nazo kama mfanya biashara

    Kama wewe ni mmiliki wa biashara ndogo, kuna apps ambazo ni lazima uwe nazo kwenye simu yako. App hizi zinaweza kukuokolea muda, kukuongeza ufanisi wa kazi pamoja na kukurahisishia maisha ya kila siku kwenye biashara yako. Nakuwekea list ya app hizi tano ambazo hautakiwi kuzikosa kabisa...
  9. Forgotten

    Modern Slavery: They’re Winning While You Watch!

    You’re not in chains. You’re not behind bars. But you’re not free either. Your attention is bought and sold. Your time is farmed. Your life is quietly slipping into someone else’s highlight reel. Here’s how entertainment, celebrity culture, and social media are the new plantation, and we’re...
  10. BabaMorgan

    Ashton Hall the power of social media mwamba dunia nzima inamtambua sasa

    mkali wa morning routine tayari duniaini Dunia inamtambua
  11. N

    Elon Musk says xAI has acquired X in deal that values social media site at $33 billion

    Elon Musk said on Friday that his startup xAI has merged with X, his social network, in an all-stock transaction that values the artificial intelligence company at $80 billion and the social media company at $33 billion. More...
  12. Last_Joker

    Vijana wa Siku Hizi na Nguvu ya Mtandao: Tunajenga au Tunabomoa?

    Siku hizi, mtu akisema hana social media tunamshangaa kama kiumbe cha ajabu. Kila kitu kipo mtandaoni—kuanzia meme, trending stories, biashara, hadi mahusiano. Ila swali linabaki: Vijana tunatumia nguvu hii kujenga maisha yetu au tunajiharibia? 🤔 Nguvu ya Mtandao: Fursa au Burudani Tu? Kuna...
  13. Jamii Opportunities

    Graphic Designer & Social Media Marketer at Dark Earth Carbon March 2025

    Dark Earth Carbon on behalf of Masika Venture, is seeking a Graphic Designer & Social Media Marketer Job Location: Dar es Salaaam Short Brief of the Company: Masika Ventures is an umbrella organization that encompasses the business services functions of our companies including Upendo Honey...
  14. COLTAN

    Natumia Iphone 7 plus ila haifungui Social Media Mpaka Na Data

    Habarini. Natumia iphone 7 plus nikifungua whatsapp,Facebook,instagram,tiktok. Mpaka niwe na Data’ wakati iphone zingine hata kama hauna data zinafungua whatsapp,facebook,IG.
  15. B

    Digital marketing and social media manager nipo hapa

    Mambo vp wadau Leo nmekuja km digital market. Ni sekta muhimu sana wa wafanya biashara na watoa huduma. Km unakampuni au biashara yoyote ile lazma utahitaji kuwafikia wateja wengi. Na njia rahisi ya kufikia watu ni kwa njia ya mtandao( website au social media) Basi ukisha hitaji soko la...
  16. kali linux

    Anahitajika social media and content manager wa kike

    =========UPDATE======== NAFASI ZIMEKWISHA JAA, NA HILI TANGAZO LIMEFUNGWA, ASANTE. ================ Hello bosses and roses... Anahitajika binti wa kufanya majukumu yafuatayo kwenye kampuni inayojihusisha na utengenezaji wa software. Ataanza majukumu hayo remotely (kufanyia kazi popote alipo)...
  17. RMK Freelancers Agency

    Je, unahitaji content kwa ajili ya blog, website, au social media posts? Tuko hapa kukusaidia!

    Unahitaji content(maudhui) inayovutia, yenye uhalisia, na inayobadilisha wasomaji kuwa wateja? Iwe kwa ajili ya blog/ website yako, product descriptions, email marketing, business documents, video scripts, au social media posts! Tuna uzoefu wa kuandika makala, blog posts, SEO content, na hata...
  18. youngkato

    Jinsi ya Kupata Pesa Online kwa Kutumia Social Media kama Instagram, X, na Facebook

    Katika dunia ya sasa, social media imekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku, na kwa wale wanaojua kuitumia vizuri, ni chanzo kizuri cha kipato. Hapa nitakuelezea njia rahisi na za uhakika za kupata pesa online kupitia majukwaa kama Instagram, X (zamani Twitter), na Facebook. 1. Kuanzisha...
  19. M

    Team Lissu inanadiwa na social media

    Kwa wenzetu nchi za Uarabuni hii imetumika sana na imeleta mabadiko makubwa ktk kisiasa, sababu kubwa mwamko wa elimu kwa vijana upo juu Tanzania bado kabisa, wengi wanaona kama sehemu ya burudani, matusi, propaganda na sio sehemu sahihi za mabadiliko. Hili team Lissu mumedanganyika. Lema, Heche...
  20. F

    Mtaani na kwenye social media CCM imesahaulika kabisa wiki hii kwenye tasnia ya siasa wakati habari za CHADEMA zikitawala.

    Kwa kweli ukiangalia Jamii Furums, WhattsApp, Instagram, n.k. kati ya post 10 za siasa, 9 ni kuhusu CHADEMA. Ni kama vile CCM imeondoka kabisa kwenye ulingo wa siasa wa Tanzania, na hili jambo linasemwa kuwa linonesha hali halisi ya nguvu za vyama hivi vya siasa hasa CHADEMA ambayo habari zake...
Back
Top Bottom