sio

Silicon monoxide is the chemical compound with the formula SiO where silicon is present in the oxidation state +2. In the vapour phase, it is a diatomic molecule.
It has been detected in stellar objects and has been described as the most common oxide of silicon in the universe.

View More On Wikipedia.org
  1. Mtoto Teule

    JamiiForums Tanzania Daah! Na imagine kama fedha ingekuwa inachimbwa.. dunia ingekuwa mashimo adi sio powaa!!

    Daah! Na imagine kama fedha ingekuwa inachimbwa.. dunia ingekuwa mashimo adi sio powaa!!
  2. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Chuki ni Mzigo Unaoubeba Mwenyewe, Sio Adhabu Kwa Unayemchukia

    Kuna kitu watu wengi huwa hatukikubali. Ukimweka mtu moyoni kwa chuki, hasira au maumivu aliyokutendea, mara nyingi si yeye anayeteseka bali ni wewe mwenyewe. Fikiria mtu anayetaka kupanda mlima huku amebeba magunia mazito mgongoni. Atafika juu kweli, lakini kwa shida sana. Ndivyo ilivyo kwa...
  3. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hapa kama tumechekesha kweli:waziri wa vijana ila motivation sio mtendaji ila alikuwa kama msanii wa mr nguruwe,vanira na kuku.

    Tanzania kuna sehemu ukiweza kuwa dotto magari kwa uwezo mdomo wako basi umeweza kufika kukomboa nchi. Hapa naongelea uwezo wa ndani ya nchi kujumu domo vs matendo. Kuna jamaa yule yeriko Nyerere kwa kujifanya vingwa wa vitabu na matendo ni kitu tofauti sana. Leo uwezi kumuona mtu kama mwenye...
  4. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Wanawake mna Mapepo Kama sio Laana

    Miaka miwili iliyopita nilikuwa penzini na bidada mmoja na ukweli n kwamba kipindi kile sikuwa vzr kiuchumi Sasa huyu bidada alinidharahu na kuniona kuwa Mimi sio type yake Aliwahi kunitamkia kuwa yupo na Mimi ila Kuna idadi kubwa ya wanaume wanamfuata kumtongoza , hii kauri ilinifanya...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kujua elimu sio chochote mbele ya Mamlaka angalia Zanzibar, ipo nyuma kielimu ila ndio jamii iliyojaa kwenye vyeo vizito na taasisi kubwa,n.k.

    Waweza kuingia hata tovuti za Necta kuthibitisha hayo, miaka nenda miaka rudi nafasi za mwisho huwa ni Zanzibar. Kwa wale wanaofika vuoni ambao asilimia kubwa husomea Bara, uwezo wao ni wa kawaida sana, Lakini kitakwimu hakuna sehemu ambayo ina watu wengi maofisi ya taasisi kubwa au kwenye...
  6. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Taifa ni kuu kuliko Rais; Mahakama ni kubwa kuliko Jaji Mkuu na Bunge ni kuu kuliko Spika. Uzalendo ni kulipenda taifa sio serikali..!

    Katika demokrasia: 👉Mahakama ni kubwa kuliko Jaji Mkuu. 👉Bunge ni kubwa kuliko Spika. 👉Taifa ni kubwa kuliko Rais. 👉Katiba ni kubwa kuliko chama tawala. Hii ni kwa sababu taasisi zinapaswa kudumu, wakati viongozi ni wa muda. 1. TAIFA NI KUBWA KULIKO RAIS Rais ni kiongozi wa muda. Taifa ni la...
  7. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Sio binadamu wote wanajitafakari, kufikiri ni kipaji

    Ni kazi kubwa kumkomboa mtu anayefikiri kuna mchawi wa maisha yake kumbe mchawi ni yeye mwenyewe kayakoroga, mtu wa aina hii ni ngumu kuyatatua matatizo yake .
  8. B

    JamiiForums Tanzania Sio kwamba Ukiachia hiyo Ajira Utakonda au utakufa njaa, ni Hofu tu

    Kwenye haya maisha kuna vitu huwa tunajitia wasi wasi na mashaka, mwisho wa siku unakuta mtu anahangaika Kuanzia ujana hadi uzeeni yeye ni wa kuamka saa kumi na moja kurudi saa mbili usiku. Cha maana anachofanya zaidi Sana ni kula, kulala, kujenga nyumba baasi. Sio kwamba hayo Mateso ukiyaacha...
  9. Rijali jandoni

    JamiiForums Tanzania Early 2027 to 2029, its either us, or you but not them- 2027 mpaka 2029 huenda ni sisi, au nyie ila sio wale

    Hii ni tofauti na iliopita, walioshinda kwa sasa hawana cha kupoteza, usisimame kama unatambua miguu haina stamina, na hauna uwezo wa kukinga ukiwa hewani. Uzuri wa sayansi ya kufikiria ilio na vitendo kisha kupelekea matokeo, inahitaji uharaka wa kujua mienendo, namna utakavyo himili tendo...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Samia anajali familia na marafiki zake tu sio Tanzania!

    1. Angalieni safari ya Urusi kajaza ndugu zake na watoto. Hakuna hata kitu kimoja cha kunufaisha 2. Ni mkataba gani wa maana tumepewa au uwekezaji gani wa maana!!! 3. Yaani tukio kubwa eti ni kupewa PHD ya heshima!!!! Haya mambo yote ni ya kufurahisha nafsi yake lakini manufaa kwa nchi hakuna
  11. Gulio Blog

    JamiiForums Tanzania Kwa mujibu wa Biblia, kufa chini ya miaka chini 70 sio mpango wa Mungu

    Habari wadau Kwa wakristo waliompokea Yesu kama neno linavyosema kwamba kufa chini ya 70 inaonekana sio mpenzi ya Mungu hasa maisha ya sasa ambayo RIP ZA vijana zimekuwa nyingi sana Karibu tujadili
  12. Stability

    JamiiForums Tanzania Sababu huyo mdada uliyenae hajamrudia ex wake sio kwa sababu eti anakupenda wewe kumzidi, no, ni kwa sababu ex wake hajaonesha effort ya kumtaka tena

    Niliwahi kuwa na girlfriend back in 2018, Alienielezea namna jamaa alivyokuwa anamchapa makofi na muda mwingine kumuingilia kinguvu kingono. Na akasema hataka amrudie tena huyo mbwa Red flag ilikuja pale yule demu akawa anamzungumzia jamaa kila mara, nikagundua huyu fala bado bado ana miss...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Kuwa MJASIRIAMALI na SIO MCHUUZI

    Kama wewe ni mfanya biashara, zalisha bidhaa mwenyewe au ongeza thamani kwa namna moja au nyingine au toa huduma ( services) na sio kufanya uchuuzi.uchuuzi ni ujinga haukupeleki popote. bora ukaajiriwe uwe mtumwa halmashauri ya mpimbwe
  14. IamChasulwa

    JamiiForums Tanzania Mtoto halali au sio halali

    Familia natumai mko poa sana! Kuna nimekutana na habari mahali fulani kiukweli inahuzunisha kwa kiwango chake. Ipo hivi.... Kuna jamaa alikuwa kwenye mahusiano na mwanamke (single mama) wakaishi kwa muda,huyo mama alikuwa na ajira yake. Maisha yao yamekuwa yalikuwa ya kawaida tu namaanisha...
  15. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Angalizo la Kiusalama: Makabila Hayafanani. Usiparamie paramie watu bila kuwajua makabila yao

    Wanabodi Huu ni uzi wa ushauri wa bure wa angalizo la kiusalama kuhusu makabila ya Tanzania hayafanani!,kuna makabila laini laini unaweza kuwachezea wengine hadi kucheza nao kidali po,na kuna makabila magumu magumu ambayo ni makabila very serious,sio makabila ya mchezo mchezo,haya sio makabila...
  16. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Tanzania Kuna hili jina sasa hivi kila Mtoto anaezaliwa anapewa sio kwa ubaya mimi nimesema tu

    Alvin and The Chimpanzee Monkey ni katuni fulani ya watoto inayofurahisha sana watoto. Sasa hivi kila nyumba ninayokatisha imejaa Alvin and the Chimpanzee Monkey. I am Outside.
  17. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Bruh jiheshimu kamwe usi Double text Huyo sio mwanamke peke yake Duniani

    Gentleman ijue thamani yako usitumie nguvu nyingi kwa mwanamke ambaye ha match energy yako . Statistics inaonesha wanawake ni wengi zaidi , look for the other , usizingue tutakuvua ubingwa
  18. F

    JamiiForums Tanzania Anna Makinda: Lissu sio wa kwenda kuhojiana naye, ni wa kwenda kukubaliana naye anachosema

    Spika mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda ameshirikisha uzoefu wake wakati akiwa kazini. Amesema katika bunge aliloliongoza alipata kuwa na wabunge wenye akili kupita kiasi. Soma zaidi hapa chini upate kuona alichokisema.
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Baba Levo: Huwezi kumlea Mtoto Miaka 10 halafu mwanawake akuambiwe siyo wako

    "Mhe. Mwenyekiti, huwezi kuwa umeishi na mwanamke ndani, anakusingizia ujauzito unaolea miezi tisa. Una—anazaa mtoto, unamlea mtoto anafikisha miaka kumi, baadaye mnakombana kidogo anakwambia, 'Hata huyo mtoto mwenyewe sio wako!' Ipo namna mwanaume yeyote ipo namna ambayo mwanaume anaweza...
  20. steve_shemej

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara unapokea malipo kupitia lipa namba ya VODACOM haupo sehem salama

    Nimeona hii niilete kwenu Kama unajijua wew ni mfanyabiashara unapokea malipo kupitia lipa namba ya VODACOM haupo sehem salama Mm Leo nimepata mteja kutoka Moshi kanipa oda kalipia 60000 nikamfungia mzigo kamtuma mtu kuja kuuchukua baada ya kuuchukua karidisha muamala Voda hawajanipa taarifa...
Back
Top Bottom