📍DODOMA - Yohana Mathias, Mkazi wa Nzuguni B, amefariki dunia asubuhi ya leo baada ya kuugua kwa muda mrefu tatizo la tezi dume lililoambatana na kupooza kwa sehemu kubwa ya mwili wake.
Kifo cha Mathias kinatokea siku chache baada ya Jambo TV kuchapisha habari akiomba msaada wa matibabu, akiwa...
Huwa najiuliza sipati majibu sasa leo naamua kulileta humu huenda mkanielewesha...
Tunasikia mara nyingi kuwa maiti zinachomwa sindano ili zisiharibike hasa zile zinazocheleweshwa kuzikwa au nyingine zinachomwa sindano ili kuzisambaratisha.
Sasa swali langu ni kwamba hiyo sindano inaenea...
Miaka ya nyuma, sindano baada ya matumizi zilikuwa hazitupwi. Zikitumika zinachemshwa kwenye maji ya moto kama inavyoonekana pichani na baadaye hutumika kuchoma tena watu wengine. Sindano inatoka kwenye sufuria huku maji yakiwa moto balaa.
Nakumbuka kuna kipindi bro alikwenda shule na wakapewa...
Haikuwa rahisi kuamiini YANGA imetolewa na mamelody kwa goli la dhuluma
NDUGU majirani wakajanna fedhehaa kubwaaa mpambane na hali zenu
Tukajipanmoyo kulalamikia lakini haikusaidia
Yt
SINDANO ikaingia kwa Amani
Jana kwa mapenzi MEMA sindano Ile Ile iliooingizwa na rubani yule yule refarii...
Kwa Mtanzania Hassan Jumbe mwenye umri wa miaka 26, matatizo ya kukosa usingizi siku zote wakati usiku ilikuwa ni maumivu na mfadhaiko mkubwa kwake.
Usiku mmoja baada ya mwingine, maumivu makali ya kichwa yasiyoisha yalimwandama mfanyakazi huyu mbichi wa ujenzi, na kumfanya ashindwe kupumzika...
wana jamii ushauri wenu kwa ufupi..... baby mama wangu ameenda hospitali kubwa ya nchi... Kuangalia kwanini hashiki mimba.. Hapo nyuma alikuwa anatumia sindano za uzazi kuepusha kushika mimba.. Sasa daktari amemwambia inawezekana mayai yake yamekaushwa na hizo sindano ...Hivyo inabidi kufanya...
Yaani sijajua ni sumu fulani kwenye ile sindani au ni aina yake kutokana na dawa ile au maana ukichomwa ile sindano lazima jeraha litaota usaha kidogo na muwasho alafu baadae linakuwa kovu kabisa hivi ni aina ya dawa au ni ile sindano inafanya hivyo au ni nini.Je!kuna ulazima wowote uwe na...
Watu wasiopenda mabadiliko na hasa kutoka CCM wameanza kuamka usingizini na wengine kuingiwa na hofu ya hatma yao baada ya hotuba ya mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu. Wengine wanalalamika kama wehu et "Lissu asitutishe"! Hii ni dadili nzuri sana kwamba wameanza kuona mwisho wao ukiwa karibu...
Mwaka Fulan niliwah ishi sehem , Sasa pale nikafahamiana na Jamaa Mmoja darasa la Saba ila ana helaaa ( jamaa wa migodini).
Hivo tumekua washikaji tu wa salaam na mastori ya Maisha.
Muda fulan kanipigia Simu, Oyaaa kuna Manzi nmempima HIV Kwa kipimo Cha mdomo, Et kuna kamstari...
Wana JF members Kuna siri gani inayofichwa mpaka kocha Gamond kufukuzwa kihuni na wahuni wa mjini.
1 .Je issues ni kuruhusu wachezaji kufanya mambo ya kijinga mpaka kulishwa visivyolishwa.
2. Je wachezaji wa club ya Yanga wanatumia dawa za kututumua misuli waingipo uwanjan.
Ushahidi wanao Azam...
Vijana Dicksoni Job, Ibrahim Bacca, Mudathir Yahya na Clement Mzize walipiga kazi ya uhakika wakiwa na pumzi Ile Ile mwanzo mwisho mpaka nikajiuliza Hawa wamechomwa sindano za kuongeza nguvu wakiwa kwenye kambi ya timu ya taifa kama tulivyoaminishwa na wajinga wachache ama imekuwaje?
Pumzi za...
Wakuu
Kuna hii video imezua mijadala na kuibua tuhuma mbaya kwa klabu ya Yanga kuwa hudungwa Sindano wakati wa mechi zao ambayo mchambuzi wa Soka nchini Jemedari Said amezi-share kupitia ukurasa wake wa Instagram na maelezo haya:
Kama unapitia changamoto ya ugonjwa kukurudia Mara Kwa mara au kutopona .
Mfano marelia , Typhoid, UTI n.k
Ikiwa umetumia vidonge Ila haujafanikiwa kupata matokeo chanya Kwa haraka ebu jaribu sindano .
Sinadano zinatoa majibu Kwa haraka japo ni gharama na zinaumiza Ila zinasaidia Sana...
Hawa wagombea sijui kama watatoboa! Wanagusa maslahi ya wakubwa wa dunia! Walikuwa wanaongea wenyewe ,kumbe hawajui kuna msikilizaji mwingine! Hatimaya zimevuja! Tumepona??
US presidential candidate Robert F. Kennedy Jr. has apologized after his son posted a video recording of a recent phone...
Huyu bwana ni kama tulikua tumeshampoteza, lilikua ni suala la kuhesabu siku tu maana hata mkewe alikua kamkatia tamaa. Wakuu mambo haya yasikieni nyie akina min -me , hiv watu mnapata wapi ujasiri wa kusema hakuna uchawi??
Kwakwel kila nikitafakari sipati jibu kwamba hivi ni mahubiri gani...
Tukio la Ally Kamwe kuzimia limekuwa tukio la kusisimua sana kutokana na mkasa wenyewe kuwa mzito na kuepushwa matokeo ambayo yangekuwa ya huzuni.
Ally Kamwe alibeba vitu vizito siku ile. Kabla ya match alikuwa akihangaika sana na wazee ambao tunashukuru Ally Kamwe aliamua kujitoa mhanga...
Huu ni mwaka wangu wa 30 toka mama angu mpendwa aliponileta duniani lakini wallah nawambia sindano haizoeleki.
NB mimi ni mkurya wa Mara sio mwanaume wa Dar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.