aah hiyo haizoeleki kweliSindano unayochoma kuingiziw dawa mwilini
Kafanye mazoezi na wagonjwa wa kisukari ya kujifunga sindano mwenyewe au mateja wa dawa za kulevyaHuu ni mwaka wangu wa 30 toka mama angu mpendwa aliponileta duniani lakini wallah nawambia sindano haizoeleki.
NB mimi ni mkurya wa Mara sio mwanaume wa Dar.
Kwani wewe ulifikiri sindano ipi?!aah hiyo haizoeleki kweli
sijui hataKwani wewe ulifikiri sindano ipi?!
Hahaha. Kataa tu lakini ulivyouliza iliashiria kuna sindano aina nyingine!sijui hata
ya kushona nguo au viatuHahaha. Kataa tu lakini ulivyouliza iliashiria kuna sindano aina nyingine!
Inabidi nikubali tu shingo upande...!ya kushona nguo au viatu