Mambo 10 ya Kukera/Kukereketa yaliyopo katika Klabu ya Simba ambayo TFF, CAF na FIFA iyatolee macho makali

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,347
11,447
Mambo 10 ya Msingi yanayokera nliyoyaona katika team ya Simba

1. Nasisitiza TFF ifikirie kuongeza dakika matches za Simba. Najisikia vibaya sana kuona Simba inacheza mpira huu wa kwenye game, mpira dont touch my shoes, mpira burger, pizza, sambusa, biriani, juices, maziwa,asali e.t.c Inapangiwa dk zile zike zilizowekwa na FIFA miaka na miaka. Dk 90. This isnt fair.

2. Simba walipaswa wacheze dk angalau basi 120. Najua team itakayokutana nayo italalamika. Team pinzani ziruhusiwe zenyewe kubadili wachezaji mpaka 8 wanapokutana na Simba ktk Dk 120.

3. Simba wachezaji wapya na wa zamani utashindwa kuwatambua. Wote ni kama walikuwa wanafahamiana toka utotoni. Wakati mwingine huwa nawaza pengine kuna lugha wanatumia ambayo wapinzani wao hawaielewi au kuisikia.utashangaa zile passes za visigino, migongo, kichwa zinaenda kwa wahusika utadhani wameambiwa nakutumia mpira huo.

4. Kila mchezaji anayecheza Simba ana vitu vitu mwilini...anaweza piga pass anaweza pokea anaweza piga chenga na anaweza funga.

5. Referees mwangalieni sana Bernard Morrison. Kuna watu either wametumwa au wanamkamia sana kwa rough na ghadhabu.

6. Tanzania imepata bahati ya kuwa na wachezaji ambao wana usomi mbalimbali. Huyu ni wakili msomi, kuna prof Chama, Kuna watu kama Larry Bwalya huyu ni msambazaji mpira ambaye anacheza mpira kama hataki.

7. Naomba tena TFF na FIFA matches za Simba ziongezwe dakika.dk 90 ni chache sana watazamaji tunapunjwa sana.

8. Pia na sisi watazamaji.ni aibu kulipa matches za simba kiwango kile kile tunacholipia Yanga ikicheza na Coast Union. Tuongeze kiingilio.

9. Azam TV wekeni channel maalum kwa ajili ya kuonesha matches za Simba. Na iwe inalipiwa tsh 50,000 kwa mwezi. Mtapata sana pesa. Ni aibu Simba kuoneshwa channel moja na Yanga.

10. Mashabiki wa Simba najiuliza wanakuwa wamesoma shule/chuo kimoja? Wna ustaarabu wa hali ya juu sana.mashabiki wa Yanga wanakaa majukwaa yao hawapigwi hata kwa njiti ya kiberiti. Wanatania wapendavyo na Simba wanacheka nao tu.
 
Wanasimba Wanaroho nzuri sana na wengi ni waelewa pia. Yanga pia siyo wabaya tatizo ni Msongo wa mawazo ndio unawafanya wafanye yanayotokea leo. Nakumbuka kwa msongo ule ule wa mawazo tuliokuwa Wanamsimbazi kipindi cha nyuma tuliwahi kufanya tukio la aibu pale Taifa. Hivyo TFF wampe kazi Chris Mauki wawape ushauri wa Kitaalam wa Kisaikolojia warudi kwenye hali yao.
 
Mambo 10 ya Msingi yanayokera nliyoyaona katika team ya Simba

1. Nasisitiza TFF ifikirie kuongeza dakika matches za Simba. Najisikia vibaya sana kuona Simba inacheza mpira huu wa kwenye game, mpira dont touch my shoes, mpira burger, pizza, sambusa, biriani, juices, maziwa,asali e.t.c Inapangiwa dk zile zike zilizowekwa na FIFA miaka na miaka. Dk 90. This isnt fair.

2. Simba walipaswa wacheze dk angalau basi 120. Najua team itakayokutana nayo italalamika. Team pinzani ziruhusiwe zenyewe kubadili wachezaji mpaka 8 wanapokutana na Simba ktk Dk 120.

3. Simba wachezaji wapya na wa zamani utashindwa kuwatambua. Wote ni kama walikuwa wanafahamiana toka utotoni. Wakati mwingine huwa nawaza pengine kuna lugha wanatumia ambayo wapinzani wao hawaielewi au kuisikia.utashangaa zile passes za visigino, migongo, kichwa zinaenda kwa wahusika utadhani wameambiwa nakutumia mpira huo.

4. Kila mchezaji anayecheza Simba ana vitu vitu mwilini...anaweza piga pass anaweza pokea anaweza piga chenga na anaweza funga.

5. Referees mwangalieni sana Bernard Morrison. Kuna watu either wametumwa au wanamkamia sana kwa rough na ghadhabu.

6. Tanzania imepata bahati ya kuwa na wachezaji ambao wana usomi mbalimbali. Huyu ni wakili msomi, kuna prof Chama, Kuna watu kama Larry Bwalya huyu ni msambazaji mpira ambaye anacheza mpira kama hataki.

7. Naomba tena TFF na FIFA matches za Simba ziongezwe dakika.dk 90 ni chache sana watazamaji tunapunjwa sana.

8. Pia na sisi watazamaji.ni aibu kulipa matches za simba kiwango kile kile tunacholipia Yanga ikicheza na Coast Union. Tuongeze kiingilio.

9. Azam TV wekeni channel maalum kwa ajili ya kuonesha matches za Simba. Na iwe inalipiwa tsh 50,000 kwa mwezi. Mtapata sana pesa. Ni aibu Simba kuoneshwa channel moja na Yanga.

10. Mashabiki wa Simba najiuliza wanakuwa wamesoma shule/chuo kimoja? Wna ustaarabu wa hali ya juu sana.mashabiki wa Yanga wanakaa majukwaa yao hawapigwi hata kwa njiti ya kiberiti. Wanatania wapendavyo na Simba wanacheka nao tu.
Yote uliyoelez yana ukweli
 
Ha ha ha, mbavu zangu.
Morrison
Miquisson
Chamason
Bwalison

Naona 18/10 mbaaali, Vyura wanatamani COVID19 irudi tena. Ili ligi Ihairishwe.
 
Wanasimba Wanaroho nzuri sana na wengi ni waelewa pia. Yanga pia siyo wabaya tatizo ni Msongo wa mawazo ndio unawafanya wafanye yanayotokea leo. Nakumbuka kwa msongo ule ule wa mawazo tuliokuwa Wanamsimbazi kipindi cha nyuma tuliwahi kufanya tukio la aibu pale Taifa. Hivyo TFF wampe kazi Chris Mauki wawape ushauri wa Kitaalam wa Kisaikolojia warudi kwenye hali yao.
Simba sio waliofanya tukio la aibu bali tukio la aibu lilifanywa na mwamuzi wa malinzi aliyeruhusu goli huku mpira umeshikwa na kutoa kadi nyekundu na siku ile si tu tuling'oa viti tungemshugulikia hadi mwamuzi
 
Simba sio waliofanya tukio la aibu bali tukio la aibu lilifanywa na mwamuzi wa malinzi aliyeruhusu goli huku mpira umeshikwa na kutoa kadi nyekundu na siku ile si tu tuling'oa viti tungemshugulikia hadi mwamuzi
Vip lile tukio la Mwamnyeto dhidi ya Kagera Sugar likitokea Oktoba 18?? Naona watu watang'oa paaa kabisaa
 
Mambo 10 ya Msingi yanayokera nliyoyaona katika team ya Simba

1. Nasisitiza TFF ifikirie kuongeza dakika matches za Simba. Najisikia vibaya sana kuona Simba inacheza mpira huu wa kwenye game, mpira dont touch my shoes, mpira burger, pizza, sambusa, biriani, juices, maziwa,asali e.t.c Inapangiwa dk zile zike zilizowekwa na FIFA miaka na miaka. Dk 90. This isnt fair.

2. Simba walipaswa wacheze dk angalau basi 120. Najua team itakayokutana nayo italalamika. Team pinzani ziruhusiwe zenyewe kubadili wachezaji mpaka 8 wanapokutana na Simba ktk Dk 120.

3. Simba wachezaji wapya na wa zamani utashindwa kuwatambua. Wote ni kama walikuwa wanafahamiana toka utotoni. Wakati mwingine huwa nawaza pengine kuna lugha wanatumia ambayo wapinzani wao hawaielewi au kuisikia.utashangaa zile passes za visigino, migongo, kichwa zinaenda kwa wahusika utadhani wameambiwa nakutumia mpira huo.

4. Kila mchezaji anayecheza Simba ana vitu vitu mwilini...anaweza piga pass anaweza pokea anaweza piga chenga na anaweza funga.

5. Referees mwangalieni sana Bernard Morrison. Kuna watu either wametumwa au wanamkamia sana kwa rough na ghadhabu.

6. Tanzania imepata bahati ya kuwa na wachezaji ambao wana usomi mbalimbali. Huyu ni wakili msomi, kuna prof Chama, Kuna watu kama Larry Bwalya huyu ni msambazaji mpira ambaye anacheza mpira kama hataki.

7. Naomba tena TFF na FIFA matches za Simba ziongezwe dakika.dk 90 ni chache sana watazamaji tunapunjwa sana.

8. Pia na sisi watazamaji.ni aibu kulipa matches za simba kiwango kile kile tunacholipia Yanga ikicheza na Coast Union. Tuongeze kiingilio.

9. Azam TV wekeni channel maalum kwa ajili ya kuonesha matches za Simba. Na iwe inalipiwa tsh 50,000 kwa mwezi. Mtapata sana pesa. Ni aibu Simba kuoneshwa channel moja na Yanga.

10. Mashabiki wa Simba najiuliza wanakuwa wamesoma shule/chuo kimoja? Wna ustaarabu wa hali ya juu sana.mashabiki wa Yanga wanakaa majukwaa yao hawapigwi hata kwa njiti ya kiberiti. Wanatania wapendavyo na Simba wanacheka nao tu.
Yote ya Yote ili haki itendeke na ionekane kua imetendeka basi Simba wawe wanacheza Sita Uwanjani akiwemo kipa kwenye hii hesabu.
 
Mleta mada ni jiniaz Sana no wonder ukawa fan wa Simba. Yote hayo ni kweli tupu hususani Swala kuongeza viingilio na dk uwanjani.
 
Mambo 10 ya Msingi yanayokera nliyoyaona katika team ya Simba

1. Nasisitiza TFF ifikirie kuongeza dakika matches za Simba. Najisikia vibaya sana kuona Simba inacheza mpira huu wa kwenye game, mpira dont touch my shoes, mpira burger, pizza, sambusa, biriani, juices, maziwa,asali e.t.c Inapangiwa dk zile zike zilizowekwa na FIFA miaka na miaka. Dk 90. This isnt fair.

2. Simba walipaswa wacheze dk angalau basi 120. Najua team itakayokutana nayo italalamika. Team pinzani ziruhusiwe zenyewe kubadili wachezaji mpaka 8 wanapokutana na Simba ktk Dk 120.

3. Simba wachezaji wapya na wa zamani utashindwa kuwatambua. Wote ni kama walikuwa wanafahamiana toka utotoni. Wakati mwingine huwa nawaza pengine kuna lugha wanatumia ambayo wapinzani wao hawaielewi au kuisikia.utashangaa zile passes za visigino, migongo, kichwa zinaenda kwa wahusika utadhani wameambiwa nakutumia mpira huo.

4. Kila mchezaji anayecheza Simba ana vitu vitu mwilini...anaweza piga pass anaweza pokea anaweza piga chenga na anaweza funga.

5. Referees mwangalieni sana Bernard Morrison. Kuna watu either wametumwa au wanamkamia sana kwa rough na ghadhabu.

6. Tanzania imepata bahati ya kuwa na wachezaji ambao wana usomi mbalimbali. Huyu ni wakili msomi, kuna prof Chama, Kuna watu kama Larry Bwalya huyu ni msambazaji mpira ambaye anacheza mpira kama hataki.

7. Naomba tena TFF na FIFA matches za Simba ziongezwe dakika.dk 90 ni chache sana watazamaji tunapunjwa sana.

8. Pia na sisi watazamaji.ni aibu kulipa matches za simba kiwango kile kile tunacholipia Yanga ikicheza na Coast Union. Tuongeze kiingilio.

9. Azam TV wekeni channel maalum kwa ajili ya kuonesha matches za Simba. Na iwe inalipiwa tsh 50,000 kwa mwezi. Mtapata sana pesa. Ni aibu Simba kuoneshwa channel moja na Yanga.

10. Mashabiki wa Simba najiuliza wanakuwa wamesoma shule/chuo kimoja? Wna ustaarabu wa hali ya juu sana.mashabiki wa Yanga wanakaa majukwaa yao hawapigwi hata kwa njiti ya kiberiti. Wanatania wapendavyo na Simba wanacheka nao tu.
Vitu adimu kama hivi vinapatikana Simba tu
 
Back
Top Bottom